Bunge la Ulaya: Hii ni bahati mbaya au ni malengo maalum?

Bunge la Ulaya: Hii ni bahati mbaya au ni malengo maalum?

Roman empire ndio msingi mkuu wa ulaya iliyoungana.Kabla ya akina Constantine na emperors wengine wa kirumi kuleta vision ya kuunganisha ulaya chini ya himaya ya kirumi,hakukuwa na ulaya iliyoungana.Ni wakati wa ukoloni wa warumi ndipo hizi idea za kuungana na kuwa na superstate ya ulaya zikaletwa.

Constantine alifanya kazi kubwa kuintergrate culture za wazungu wa ulaya,na silaha yake ya kutumia dini ya ukristo kuunganisha himaya ya rumi ilisaidia sana.

Hivyo ni ngumu kuzungumzia asili ya muungano wa ulaya bila kutaja roots zake ambazo ni ancient roman empire.
Enzi zile,emperors na popes walitumia vitu viwili,doctrine of apostolic succession na doctrine of temporal powers kuunganisha kanisa na serikali na kupata nguvu kubwa ya utawala.
Kwa kiasi kikubwa ukristo ule uliowekwa na Constantine ilikuwa gundi iliyounganisha makabila ya ulaya na ukawa mwanzo wa taswira ya ulaya iliyoungana inayotafutwa leo.
Kuanguka kwa himaya ya kirumi kulileta power struggle kati ya mabaki ya himaya hiyo na baada ya kipindi kirefu cha mivutano,yakazaliwa mataifa haya makubwa ya ulaya tuyaonayo leo.
Leo hii ulaya inataka kuungana tena.Na sio kuungana wao tu,bali kuunganisha dunia nzima.
Zipo challenge nyingi sana zinazoukabili muungano huu,na ukichunguza kwa makini,mojawapo ya obstacles kubwa ni tofauti za kiuchumi na kiutamaduni kati ya nchi za ulaya mashariki na ulaya magharibi.Hizi tofauti zina asili yake katika anguko la Rumi,ilipogawanyika na kuleta civilization tatu,Western,Byzantine na Islam pale middle east.Civilization hizo zina influence fulani katika kushape culture,uchumi na politics za maeneo zilipokuwepo.
The only way kwa ulaya kurudia enzi zake za utukufu ni kutumia method ile ile iliyosababisha izaliwe,nayo ni kufuata njia za Rome.Na mzee Benedict XVI ameshawashauri,kuwa ili wafanikiwe,they have to go back to their roots.
Katika his third encyclical,Benedict alisema,"there is a need for world political authority that would have wide-ranging influence in other areas as well,to manage the global economy,to revive economies hit by the crisis,to avoid any deterioration of the current crisis and the greater imbalances that would result,to bring about integral and timely disarmament,food security and peace,to guarantee the protection of the environment and to regulate migration,for all this,there is urgent need of A TRUE WORLD POLITICAL AUTHORITY."
Mwaka 2005,wakati akihojiwa na Eberhard von Gemmingen wa idhaa ya kijerumani ya radio Vatican,Pope Benedict XVI alisema,"many heavy burdens exist in our modern western society,driving us away from Christianity.There should be a renewal of Europe's Christian roots.Extrapolating the continent's civilization and technology from its deep roots in Christianity,and attach them to less secure moorings,was a mistake.I believe civilization,with all it's dangers and hopes,can only be tamed and led back to greatness if it recognises again the sources of it's power."
Hivi karibuni,akiwa ametembelea jumuiya ya Sant'Egidio huko Roma,papa Francis alitamka kauli kama ya mtangulizi wake,akisema,"Europe is tired,We have to help Europe rejuvenate,to find its roots.It is true,Europe has disowned its roots,and we must help Europe discover those roots."
Papa Yohane wa pili nae aliwahi kuzusha mtafaruku pale alipowaomba viongozi wa ulaya wafikirie kwa kina na kuhakikisha katiba ya jumuiya ya ulaya inatambua Europe's "Christian base".
Is this a call for church and state union?
Pia,juhudi nyingi zinafanywa na Vatican kuunganisha dini za dunia.Ni wazi kwa tofauti ya kimafundisho iliyopo,kama lengo hili litafanikiwa,basi dini nyingi zitalazimika kuacha mafundisho yake mengi unique ili kwenda sawa na wengine kwenye hiyo dini moja.Kwa hiyo ni wazi papa na viongozi wa dini wengine wanapofikiria kuungana,wanaelewa vizuri gharama ya muungano huo kwenye mafundisho makali ya dini hizo.Ni wazi yataachwa.Na katika mtazamo wa kidini,kuacha doctrine za msingi ili uendane na dunia ni apostasy kubwa sana.Dunia inapaswa kukufuata,siyo wewe ufuate dunia.Ila huko ulaya wamekazana.The WCC etc.Are we heading to a new world religion?Na kama ndio,dini hiyo itaweza kubeba mafunzo yote makali ya dini zote?jibu hapana.Itabidi yachakachuliwe kutafuta common grounds in favour of the so called "world peace" na uhuru wa kila mtu kama gays etc.Na mwelekeo tumeanza kuuona.Now,effort zote hizi huko ulaya zinaleta picha gani in the near future?binafsi naona muungano wa ulaya(revived roman empire) ukileta msukosuko wa kuunganisha na dunia yote,huku juhudi za kutengeneza apostate religion(mwanamke Babel),itakayoenea na kufuatwa na watu wengi(maji ya bahari) zikipamba moto.namuona beast mwekundu akiwa kasimama, juu yake kambeba mdada,paleeee nje ya bunge la ulaya.
 
pata darsa dogo kisha ujibu swali hapo chini:

Kwa maneno yasiotatanisha Yesu Kristo anasema kuwa yeye hakutumwa ila kwa "kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli." Hakuwajia Waarabu, wala Wazungu, wala Wahindi, wala Waafrika, wala Machina. Kama hayo hayakutosha kuonyesha kuwa yeye hakuwajia wasio Mayahudi anazidi kufahamisha kwa mfano wa kumkata mtu kiu: Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa." Ikiwa ipo shaka yo yote katika akili ya mtu kuwa maana ya maneno hayo ni kuwa Yesu anasema kuwa hakutumwa kwa kabila nyengine zo zote ila Waisiraili tu na atazame mwenye shaka tafsiri kubwa kabisa ya Wakristo inayoeleza maana wazi maneno ya Biblia, The Interpreter's Bible, sahifa 441 jalada VII ambamo imeandikwa hivi: "Yaonekana wazi kuwa Yesu hakika aliamini kuwa ujumbe wake kwanza na khasa ni kwa watu wake mwenyewe." Ndio maana alisema:
Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.Mathayo 7.6
Mbwa na nguruwe ni watu wa mataifa yasiyokuwa wana wa Israili. Ukristo haufai kufundishwa watu wo wote isipokuwa Mayahudi. Hayo ndiyo mawazo ya Yesu, au ya hao walioandika Injili na wakatia maneno hayo kinywani mwa Yesu. Kama asemavyo Isaac Asimov katika kitabu chake Guide to the Bible (Uwongozi kwa Biblia):
"Suala liliopo ni nani hao mbwa na nguruwe wnaokusudiwa katika mstari huu? Yaweza kuwa maana ya mstari huu ni kuwa haifai kufunza ukweli wa dini kwa wale wasiotubu katika kejeli zao, au wale waliozama katika madhambi, lakini hayo hayaelekei kabisa. Basi mtu amfundishe nani? Wale waliokwisha amini? Yesu mwenyewe anakanya hayo, kwani aliposhutumiwa kuwa anachanganyika na wenye dhambi ananukuliwa kusema:Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio hawawezi.

Kutokana na Biblia, na kama isemavyo hapo juu, Jee, wewe ni mbwa au nguruwe uliyeitwa na Yesu? maana katika ukondoo haupo.
Pedagogist at Heart.

Faiza Foxy, nguruwe ni nguruwe na binadamu ni binadamu, km Yesu alisema nguruwe akimaanisha ni binadamu, basi atakuwa alimaanisha hao nguruwe pia ni wale waarabu maana nao hawakumkubali na hawakutii mafundisho yake. Lakini pia tambua kuwa Yesu hakuja kwa ajili ya Wayahudi tu na ndio maana hawakumkubali wakaamuru asulubiwe na auawe.
 
Mkuu juve2012 .....

Inawezekana kabisa kuwa kuna harakati ambazo zinaendelea Ulaya za kuiunganisha tena,lakini mimi kwa mtazamo wangu hizi harakati kama ni za kuirudisha Rumi hazitafanikiwa,kwanini nasema hivyo,nasema hivyo kwakuwa kwa mtazamo wangu hili ni kinyume na unabii,ngoja nifafanue hapa chini

Hili nimeshalisema kule jukwaa la dini na nalirudia hapa;

Historia ya mnyama aliyemchukua mwanamke inaanzia kwenye mnyama huyu bila ya kuonekana mwanamke huyu kwenye Ufunuo 13 ambae mnyama huyu anaonekana kuibukia baharini au kwenye maji mengi

Kuna sababu mwanamke huyu kutooonekana kwenye Ufunuo 13 kwakuwahuko mwanamke ambae ni mji [Ufunuo 17:18] [wengi wamekuwa wakikosea kwa kudai kuwa mwanamke huyu ni kanisa au dini] haukuonekana mwanzo kwakuwa ulikuwa bado haujayafanya yale ambayo uliyafanya [kufanya biashara mbali mbali kwa njia ambayo sio halali ambayo unabii umesema ni ukahaba] na ndio maana unakuja kuonekana kwenye Ufunuo 17 ukiwa umelewa damu ya watakatifu [kushiriki kuwauwa]

Kama vile ambavyo tunajuwa taifa au mamlaka yoyote haiwezi kufanya kazi bila ya kuwa na makao makuu ambayo huwa kwenye mji fulani,basi hata hii system ambayo inakuja itakuwa na makao makuu ambayo Biblia imeyasema kuwa ni mwanamke,kwasababu hiyo basi,mamlaka yoyote au hukumu yoyote itakuwa inatokea hapo

Sasa ili tuweze kujua system hii ni Roman mpya au ni kitu kingine ni hadi turudi kwenye unabii

Tukianzia kwenye unabii wa Danieli 7 tunaona kuwa Danieli anaoneshwa maono ya wanyama wanne,mmoja anafanana na Simba,mwingine anafanana kama Chui,mwingine anafanana kama Dubu na wa mwisho hana mfanano wowote ule

Ili kujua hawa wanyama wanawakilisha nini tunapaswa kurudi tena kwenye maandiko ambapo kwenye Danieli 7 hiyo hiyo kuna majibu ambayo "mzee wa siku" anasema kuwa ni falme 4 ambazo zitainuka duniani,kwakuwa tumejua kuwa ni falme,je ni falme zipi hizo?

Majibu ya maswali haya tunayapata kwenye njozi ya mfalme wa Babeli ambae ni Nebukadnezar,aliota njozi ya sanamu kubwa ambayo ilikuwa ina madini ya aina 5 tofauti,njozi hii inapatikana kwenye Danieli 2,Njozi hii ambayo Danieli mwenyewe ndie aliyekuja kutoa fasiri ilikuwa na madini ya Dhahabu,shaba,chuma,fedha na Chuma ikiwa imechanganyika na Udongo,Danieli alimuambia Nebukadnezzar kuwa Dhahabu ilikuwa inamuwakilisha yeye,Fedha ilikuwa inawakilisha utawala uliofuatia baada ya Babel,Shaba ilikuwa inawakilisha utawala utakaofuatia baada ya ule uliowakilishwa na Fedha,Chuma ilkuwa inafuata baada ya utawala ule ambao ulikuwa unafuatia na Mchanganyiko wa chuma na udongo ulikuwa unafuata mwishoni na jiwe ambalo halijafanywa kwa mikono lilikuwa ni Utawala wa Mungu ambao utakuja kuusambaratisha ufalme ambao unawakilishwa na chuma na udongo

Hadi hapo tunaweza kuona kuwa tumepata jibu moja tu kuwa yule mnyama ambae ni wa kwanza [simba] ambae Danieli alianza kumuona kwenye maono yake ya Danieli 7 ni Babeli,sasa basi zile tawala zilizofuatia ni zipi ambazo zinawakilishwa na Dubu [Fedha kwenye sanamu ya nebukadnezzar] Chui? [Shaba kwenye sanamu ya nebukadnezzar]

Majibu ya haya tunayapata kwenye Danieli 8,ambapo alikuwa kwenye maono na alionyeshwa wanyama wawili ambao ni Kondoo na Beberu,hapa maandiko yanasema wazi kuwa wanyama hao ni Umadi na Uajemi na Uyunani,kwakuwa kwenye Danieli 2 tumeona kuwa baada ya Dhahabu kuna falme zingine zitafuatia na tumeona kuwa dhahabu ni Babeli na Ufalme ambao ulifuatia babeli ni Umadi na Uajemi basi ile fedha ya kwenye sanamu ya Nebukadnezzar ni Umadi na Uajemi

Kwakuwa pia kwenye sanamu ile baada ya Fedha kilichofuatia ni Shaba basi ufalme uliofuatia baada ya Umedi na Uajemi ni Uyunani basi Shaba ni Uyunani,kwasababu hiyo basi,Danieli 7 majibu yake ni kuwa Simba ni Babeli,Dubu ni Umadi na Uajemi na Chui ni Uyunani,Yule mnyama wa nne ambae hajulikani umbo lake kwenye Danieli 7 bado haijuikani ni nani,wengi wamekuwa wakisema ni Rumi lakini wanashindwa kujibu maswali ambayo yanajitokeza kwenye Danieli 8 kuwa,Danieli alioneshwa wanyama wawili tu na baada ya hayo yule mnyeme wa pili ambae ni beberu alikuwa kwanza ana pembe 2 ambayo ilikuja kuvunjika baadae

Pembe hiyo unabii unasema kuwa ni mfalme wa kwanza ambae tukiangalia kutoka kwenye historia tunaweza kuona kuwa ni Aleander The Great,lakini baada ya kuvunjika pembe hiyo ziliota pembe zingine 4,kwenye mnyama wa tatu wa kwenye Danieli 7 alionekana ana vichwa vinne,hii inakuwa inakubaliana na beberu ambae anaonekana kwenye Danilei 7 kwani alikuja kuota pembe 4

Pembe hizi unabii unasema kuwa baada ya pembe moja ya kwanza kuvunjika [Alexander The Great kufariki] ziliota pembe nne,unabii unasema kuwa hiyo ni ishara ya kugawanyika kwa ufalme wa Alexander The great kwa majemedari wake wanne,ukiangalia kwenye history utaliona hili kwa uwazi kabisa na hata majina ya wale majemedari yanajulikana

Tatizo la wale ambao wanasema kuwa mnyama wa nne wa kwenye Danieli 7 ni Rumi linakuja hapa kwasababu,baada ya hawa majemedari wanne wa kwenye Danieli8 haionekani kuwepo mnyama mwingine kuwakilisha Rumi na badala yake anaonekana mfalme mwenye uso mwenye ukali ambae huyu ametabiriwa kufanya mengi sana,kinachonifanya niseme wale wanaosema mnyama wa nne ni Rumi wana tatizo ni kuwa,kwenye Danieli 8 inaelezwa kuwa huyu mfalme mwenye uso mkali atakuja kuharibiwa bila kazi ya mikono na imeelezwa kwenye Danieli 8 kuwa haya maono ni ya siku za mwisho

Kama ni ya siku za mwisho,isingekuwa rahisi Mungu kutomuonesha Danieli mnyama anaewakilisha Rumi,wengi wamekuwa wakisema kuwa unabii wa mfalme mwenye uso mkali unamhusu Athiochus Epiphunes,hili ni sawa lakini Anthiochus Epiphunes alikuwa ni kivuli cha mfalme mwenye uso mkali ambae ni Mpinga Kristo,na kufikia hapa naweza kusema kuwa mnyama wa 4 wa kwenye Danieli 7 ni huyu mfalme,ukitaka kuliona hili,soma sifa za mnyama huyu kisha nenda kasome sifa za mfalme huyu kwenye Danieli 8

Kufikia hapo tunaweza kuwa tumepata majibu kuwa Simba alikuwa anawakilisha Babeli,Chui alikuwa anawakilisha Uyunani na Dubu alikuwa anawakilisha Umedi na Uajemi,lakini pia madini ya Dhahabu yaliwakilisha Babeli Fedha Umedi na Uajemi na Shaba iliwakilisha Uyunani

Unabii wa system ya mwisho duniani tunaweza kuupata kwenye Ufunuo 13 na 17,kama unakumbuka hapo mwanzo nimesema kuwa safari ya mwanamke aliye juu ya mnyama inaanzia kwa mnyama aliyemchukua ambae safari yake imeanzia kwenye Ufunuo 13 ambapo mnyama aliyeonekana kumchukua anaonekana kwa mara ya kwanza

Lakini kama nilivyosema mwanzo tunaweza kujua hii system ni ipi kwa kupitia unabii huu huu,unabii hauoneshi kama Rumi itarudi [hili ni kwa tazamo wangu] na nafafanua hapa

Kama tulivyoona hapo juu falme zilizopita zilitambulishwa na wanyama wenye kutambuliwa kama vuile Chui,Dubu na Simba,kama vile ambavyo maandiko yalizisema falme zilizopita kwa kuzifananisha na wanyama basi hata hii system ambayo inakuja maandiko yamesema hivyo hivyo

Ukiangalia kwenye Ufunuo 13,ambako ndipo tunamuona mnyama ambae baadae alionekana amembeba mwanamke huyu,maandiko yanasema kuwa Yohana alimuona mnyama huyu akiwa na umbo kama la Chui,Kinywa [mdomo] kama cha Simba na miguu kama ya Dubu,hapa Mungu ameturahisishia kazi kabisa kwa kutuambia hii system itakuwa nani

Sidhani kama kuna haja ya kukumbushana hao wanyama wanawakilisha nini kwakuwa tayari tumeshaona hilo

Kwa maana hiyo basi,kama system hii ndio itakuwa ya mwisho tunaweza kuona kirahisi kabisa kuwa hii sestem itakuwa ni muunganiko wa mataifa au falme za kale 3 ambazo ni Uyunani-Ugiriki [Chui],Umedi na Uajemi-Iran [Dubu] na Babel-Iraq [Simba]

Ukitazama yule mwanamke ambae anatajwa kwenye Ufunuo utaona amepambwa kwa madini na Dhahabu inaonekana hapo na huko juu tumeona kuwa dhahabu inawakilisha Babeli,lakini pia kuna madini mengine ambayo mwanamke huyu anaonekana kupambwa nayo ambayo ni "kito cha thamani" na "lulu",madini haya naweza kuyahusisha [sina hakika] na Fedha na Shaba ambayo huko nyuma tumeona ni falme zile zile za Uyunani na Umedi na Uajemi

Kama ni hivyo ninaweza kusema kuwa final emperor ni combinationa ya hayo mataifa na sio Rumi,nadhani kwa haraka haraka mnaweza kuwa umenielewa mkuu!
 
Last edited by a moderator:
pata darsa dogo kisha ujibu swali hapo chini:

Kwa maneno yasiotatanisha Yesu Kristo anasema kuwa yeye hakutumwa ila kwa "kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli." Hakuwajia Waarabu, wala Wazungu, wala Wahindi, wala Waafrika, wala Machina. Kama hayo hayakutosha kuonyesha kuwa yeye hakuwajia wasio Mayahudi anazidi kufahamisha kwa mfano wa kumkata mtu kiu: Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa." Ikiwa ipo shaka yo yote katika akili ya mtu kuwa maana ya maneno hayo ni kuwa Yesu anasema kuwa hakutumwa kwa kabila nyengine zo zote ila Waisiraili tu na atazame mwenye shaka tafsiri kubwa kabisa ya Wakristo inayoeleza maana wazi maneno ya Biblia, The Interpreter's Bible, sahifa 441 jalada VII ambamo imeandikwa hivi: "Yaonekana wazi kuwa Yesu hakika aliamini kuwa ujumbe wake kwanza na khasa ni kwa watu wake mwenyewe." Ndio maana alisema:
Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.Mathayo 7.6
Mbwa na nguruwe ni watu wa mataifa yasiyokuwa wana wa Israili. Ukristo haufai kufundishwa watu wo wote isipokuwa Mayahudi. Hayo ndiyo mawazo ya Yesu, au ya hao walioandika Injili na wakatia maneno hayo kinywani mwa Yesu. Kama asemavyo Isaac Asimov katika kitabu chake Guide to the Bible (Uwongozi kwa Biblia):
"Suala liliopo ni nani hao mbwa na nguruwe wnaokusudiwa katika mstari huu? Yaweza kuwa maana ya mstari huu ni kuwa haifai kufunza ukweli wa dini kwa wale wasiotubu katika kejeli zao, au wale waliozama katika madhambi, lakini hayo hayaelekei kabisa. Basi mtu amfundishe nani? Wale waliokwisha amini? Yesu mwenyewe anakanya hayo, kwani aliposhutumiwa kuwa anachanganyika na wenye dhambi ananukuliwa kusema:Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio hawawezi.

Kutokana na Biblia, na kama isemavyo hapo juu, Jee, wewe ni mbwa au nguruwe uliyeitwa na Yesu? maana katika ukondoo haupo.
Pedagogist at Heart.

wewe shetani uliye ndani achakufundisha injili feki
 
Ni vigumu sana kwa mwanahistoria yeyote yule kumweleza kuwa Biblia haijatoa unabii wowote kuhusu The mighty Roman empire,akaiamini tena hiyo Biblia.Kama ni kweli unabii wa biblia haukuona umuhimu wa kutoa unabii kwa ufalme mkuu wa dunia ulioacha athari nyingi kiutamaduni,kisiasa na kijamii kama Rumi,then i better be an atheist.Sanamu ya Daniel ni historia ya tawala kubwa za dunia,eiyer unataka kuniambia baada ya uyunani hakukuwa na ufalme mwingine wenye sifa ya kuwekwa katika falme zile tano hadi leo?!really?eiyer umejipa muda wa kutosha kuifahamu Roman empire mkuu?do you really know what it is historically?halafu nikuambie kitu,tukitaja Roman empire watu hufikiri ni Italia.Mkuu Roman empire ni ulaya.Italia ilianzia tu but the mighty Roman empire ni eneo kubwa la ulaya,afrika kaskazini na middle east,na base yake kuu ni ulaya.nitarudi hapa kwa kweli,hii habari ya kusema Rumi haina traces kwenye nabii za biblia siikubali completely,tukubaliane kuwa we are struggling to understand the prophecy,so,ntakuja hapa tuwekane sawa,na kama utanihakikishia Rome haipo kwenye mlolongo wa falme kuu za dunia as per biblical prophecy,i will have to rethink again about the trust i have on bible prophecy.
 
Ni vigumu sana kwa mwanahistoria yeyote yule kumweleza kuwa Biblia haijatoa unabii wowote kuhusu The mighty Roman empire,akaiamini tena hiyo Biblia.Kama ni kweli unabii wa biblia haukuona umuhimu wa kutoa unabii kwa ufalme mkuu wa dunia ulioacha athari nyingi kiutamaduni,kisiasa na kijamii kama Rumi,then i better be an atheist.Sanamu ya Daniel ni historia ya tawala kubwa za dunia,eiyer unataka kuniambia baada ya uyunani hakukuwa na ufalme mwingine wenye sifa ya kuwekwa katika falme zile tano hadi leo?!really?eiyer umejipa muda wa kutosha kuifahamu Roman empire mkuu?do you really know what it is historically?halafu nikuambie kitu,tukitaja Roman empire watu hufikiri ni Italia.Mkuu Roman empire ni ulaya.Italia ilianzia tu but the mighty Roman empire ni eneo kubwa la ulaya,afrika kaskazini na middle east,na base yake kuu ni ulaya.nitarudi hapa kwa kweli,hii habari ya kusema Rumi haina traces kwenye nabii za biblia siikubali completely,tukubaliane kuwa we are struggling to understand the prophecy,so,ntakuja hapa tuwekane sawa,na kama utanihakikishia Rome haipo kwenye mlolongo wa falme kuu za dunia as per biblical prophecy,i will have to rethink again about the trust i have on bible prophecy.

Mkuu inaonekana hujanielewa

Sijasema kuwa Rome haipo kwenye unabii,ila sijui kama ipo au haipo

Kuna falme nyingi sana zilikuwepo kwenye uso wa dunia na biblia haijazungumza chochote kuzihusu,kama kuna kitu hakipo kuna sababu ya kutokuwepo kwake

Kama Rumi haikuwekwa kwenye unabii hakuwezi kuifanya Biblia kuwa sio Valid kwasababu Mungu anafanya mambo yake kwa utaratibu wake yeye na sio wa binadamu

Pamoja na hayo,Rumni inaweza kuwa imetajwa kwenye unabii lakini sio kwa namna ambavyo watu wanasema kuwa ndio utawala wa mwisho wakati utawala wa mwisho umesemwa kuwa ni tofauti,ninachokataa ni kuwa Rumi itarudi kwa mukatadha wa mpinga Kristo

Watu wamejichanganya wenyewe,mfano wa hili ni watu kudai kuwa Rumi ilikuwa ni kiti cha Shetani wakati maandiko yanasema kuwa kiti cha Shetani kiko mahali pengine kabisa ambapo ni Pergamo

Kinachowafanya watu wajipoteze wenyewe ni kutaka kulazimisha vile ambavyo wanadhani ni sahihi kuwa,Rumi imekuwa ikihusishwa na kurudi kwasababu ya watu wanaofanya hivyo kulihusisha kanisa katoliki pamoja na Papa kuwa ni Mpinga Kristo,kama maandiko yanakataa yataendelea kukataa tu

Mkuu usidhani kuwa ni mimi peke yangu ninaetilia mashaka uwepo wa Rumi kwenye ile vision ya Danieli 7,wapo wengi sana na mmoja wao ni Walid Shoebat

Kila nikiangalia nashindwa kuelewa ni kwanini Danieli hakuona mnyama mwingine kwenye Danieli 8 wakati yale ni maono ambayo yanahusiana na wakati wa mwisho

Labda unaweza kunisaidia hilo mkuu!
 
Mkuu tunaweza kujadili hapa kwa kifupi ili wengine wapate hata mwanga na kujua haya mambo .....

Si unajua kuwa kule chini wachache wana access ....!!
Mkuu hebu nifahamishe ili uwe mwalikwa wa jamvi lile unahitaji kuwa na vigezo gani?kwa kweli nalihitaji!
 
Pole sana mpiga debe tupu. Hii mada ipo juu ya uwezo wako ndio maana umeshindwa kuchangia cha maana zaidi ya kuonyesha inferiority complex ya hali ya juu sana. Kile kitabu chenu hakuna cha maana ndani yake ndio maana Mnatumia Biblia ku hakikishia kitabu chenu.
Lakini mkuu ungemjibu tu maswali yake badala ya kumshambulia yeye na kitabu chake na pengine imani yake. Inawezekana akawa hajui lakini usingemshambulia. We muonyeshe tu kuwa huyo ndo yule mnyama aliesemwa ktk Ufunuo 17:3 kwamba mnyama huyo ana vichwa 7 na mapembe 10 au labda hiyo sanamu inamuwakilisha huyo mnyama. Tueleweshe mkuu inawezekana wewe ni mmoja wa mitume mlioshushiwa ufahamu wa mambo ya bibilia na habari ya wakati ujao.
 
Ok Eiyer nimekuelewa.Kwa hiyo wewe doubt yako ni pale kwenye Daniel,kwamba Rumi haipo.Labda tujiulize kidogo,ni sifa gani zilitumika kuziingiza falme katika unabii wa Sanamu?Falme ni nyingi duniani,lakini pale tumepewa tano tu,which means kwamba kuna sifa maalum zilizotumika kuchuja wengine wote na kupata falme hizo tano.Then baada ya hapo tutazame katika historia kama vimeshakuwepo vitu vyenye sifa hizo au bado.Then tujadili hawa wanyama na Mungu atuongoze.
 
Last edited by a moderator:
Labda nikuulize pia,Mwanamke ni nini katika unabii wa biblia?kwa nini alitumika mwanamke pale juu ya mnyama mwekundu?
 
Mkuu hebu nifahamishe ili uwe mwalikwa wa jamvi lile unahitaji kuwa na vigezo gani?kwa kweli nalihitaji!

Hakuna kigezo chochote kile

Unachotakiwa ni kum-PM Invisible ukimuomba access tu basi na atakupa!
 
Labda nikuulize pia,Mwanamke ni nini katika unabii wa biblia?kwa nini alitumika mwanamke pale juu ya mnyama mwekundu?

Mwanamke kwenye biblia ametajwa kuwa na maana zaidi ya moja,kuna mahali anatajwa kama taifa la Israel kuna mahali ametajwa kama kanisa

Lakini kwenye kesi ya Ufunuo 17,mwanamke ametajwa kama Mji-Ufunuo 17:18!
 
Ok Eiyer nimekuelewa.Kwa hiyo wewe doubt yako ni pale kwenye Daniel,kwamba Rumi haipo.Labda tujiulize kidogo,ni sifa gani zilitumika kuziingiza falme katika unabii wa Sanamu?Falme ni nyingi duniani,lakini pale tumepewa tano tu,which means kwamba kuna sifa maalum zilizotumika kuchuja wengine wote na kupata falme hizo tano.Then baada ya hapo tutazame katika historia kama vimeshakuwepo vitu vyenye sifa hizo au bado.Then tujadili hawa wanyama na Mungu atuongoze.

Ninachodhani mimi sifa kubwa ni mtazamo wa ufalme husioka na Imani pia,imani hii nadhani ni ile inayohusiana na Babel mja kwa moja!
 
Labda nikuulize pia,Mwanamke ni nini katika unabii wa biblia?kwa nini alitumika mwanamke pale juu ya mnyama mwekundu?

Katika unabii wa Biblia... Naweza kusema kuwa "Mwanamke analiwakilisha kanisa"
 
Mkuu juve2012 .....

Ninachokiona leo ni kuwa,majority ya serikali za Ulaya zinaamini katika imani ya babeli

Hata hizi dini zilizoko leo ukizi trace unakuja kujikuta kule kule japokuwa vinavyoabudiwa vina majina tofauti lakini asili ni ile ile

Kuna wakati dunia itafikia marufuku kuwepo watu wa imani fulani hivi na kuna baadhi ya imani zitakuwa ndizo zinaruhusiwa japokuwa zitakuwa zina majina tofauti

Hao watakuwa tofauti kwa nje lakini kwa ndani wako sawa,hili kwa wale ambao wanatumia muda wao kulikagua wanaweza kuliona kwa uwazi mkubwa sana

Sidhani kama itatangazwa dini fulani ndio ambayo itakuwa ni ya kufuatwa kama watu wanavyodhani,ila dini ambazo hazitapigwa marufuku na system inayokuja zitakuwa na utofauti nje lakini ndani zitakuwa ni moja na kufikia hapo ndipo unakuja kupata maana ya jina la "siri"!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu juve2012 .....

Ninachokiona leo ni kuwa,majority ya serikali za Ulaya zinaamini katika imani ya babeli

Hata hizi dini zilizoko leo ukizi trace unakuja kujikuta kule kule japokuwa vinavyoabudiwa vina majina tofauti lakini asili ni ile ile

Kuna wakati dunia itafikia marufuku kuwepo watu wa imani fulani hivi na kuna baadhi ya imani zitakuwa ndizo zinaruhusiwa japokuwa zitakuwa zina majina tofauti

Hao watakuwa tofauti kwa nje lakini kwa ndani wako sawa,hili kwa wale ambao wanatumia muda wao kulikagua wanaweza kuliona kwa uwazi mkubwa sana

Sidhani kama itatangazwa dini fulani ndio ambayo itakuwa ni ya kufuatwa kama watu wanavyodhani,ila dini ambazo hazitapigwa marufuku na system inayokuja zitakuwa na utofauti nje lakini ndani zitakuwa ni moja na kufikia hapo ndipo unakuja kupata maana ya jina la "siri"!

Mkuu,zipo harakati za kuunganisha dini.Mojawapo ya institutions zinazotumika kwa suala hilo ni World Council of Churches WCC.Kapitie hayo mkuu.Na haya ni marejeo ya jambo ambalo lilishawahi kufanyika.Himaya ya Rumi katika historia yake imeua wakristo wengi sana.Kwa sababu wafalme wa Rumi walitaka system moja,huku wakiabudiwa wao pia,contrary to Christian beliefs,pakawa na mvutano,wakristo wakauawa sana na maemperors akina Hadrian,Nero etc.Pale political leaders wanapotaka kila kitu kifanyike kwa maslahi yao,ndipo hali kama hizi hutokea.Tutazame kwa kina ni sura gani hii system itachukua,kwa mazingira nionayo,nadhani itakuwa official,sio siri,tena inaleta mantiki kutokana na source ya tatizo,vita kati ya Mungu na shetani,mwishowe shetani atajifunua.Kama leo ipo satanic worshipping,basi sio ajabu ikikubalika na wengi ikawa rasmi,na ushahidi upo,kwamba katika historia ya dunia maeneo fulani,watu waliabudu hizi dini kwa wazi bila kificho,mfano ni kule Babylon.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu,zipo harakati za kuunganisha dini.Mojawapo ya institutions zinazotumika kwa suala hilo ni World Council of Churches WCC.Kapitie hayo mkuu.Na haya ni marejeo ya jambo ambalo lilishawahi kufanyika.Himaya ya Rumi katika historia yake imeua wakristo wengi sana.Kwa sababu wafalme wa Rumi walitaka system moja,huku wakiabudiwa wao pia,contrary to Christian beliefs,pakawa na mvutano,wakristo wakauawa sana na maemperors akina Hadrian,Nero etc.Pale political leaders wanapotaka kila kitu kifanyike kwa maslahi yao,ndipo hali kama hizi hutokea.Tutazame kwa kina ni sura gani hii system itachukua,kwa mazingira nionayo,nadhani itakuwa official,sio siri,tena inaleta mantiki kutokana na source ya tatizo,vita kati ya Mungu na shetani,mwishowe shetani atajifunua.Kama leo ipo satanic worshipping,basi sio ajabu ikikubalika na wengi ikawa rasmi,na ushahidi upo,kwamba katika historia ya dunia maeneo fulani,watu waliabudu hizi dini kwa wazi bila kificho,mfano ni kule Babylon.

Mkuu unajua nyakati za kale ni tofauti na sasa,ustaarabu ulivyokuwa wakati ule ni tofauti na sasa,naamini kama baadhi ya dini zilizoko leo zingekuwa zinaanzishwa leo zisingekuwepo na wala zisingeruhusiwa kuwepo,lakini zamani iliwezekana kwasababu ya ustaarabu ulivyokuwa wakati ule,uliruhusu haya

Lakini leo mkuu ni vigumu sana,kama maelezo yako yako sahihi basi muda bado ni mrefu sana hadi yaje yatimie kwani leo hii ukisema mtu fulani anamuabudu shetani anaweza kutengwa na jumuia karibia yote

Lakini watu wanamuabudu shetani bila wao kujua na nadhani mbinu hii ndio itakayofanya kazi,na nadhani lile neno la siri kwenye paji la uso wa mwanamke aliye juu ya mnyama lina maana hiyo

Sijui ila nadhani ni hiyo mkuu!
 
Back
Top Bottom