Bunge la Ulaya: Hii ni bahati mbaya au ni malengo maalum?

Bunge la Ulaya: Hii ni bahati mbaya au ni malengo maalum?

Yes hapo ndo tatizo.. maana Mkuu wa chuo alisema kuwa 70AD Unabii ulikamilika wa kuharibiwa mahali Patakatifu. .ila bila huyo mkuu kujulikana..

Na wakati Daniel anapewa huu unabii mambo yalikuwa bado hayajatimia Inamaana yalitimia baadae wakati wa Kukataliwa kwa YESU kristo. . Ila Mkuu wa chuo anasema tena kwamba yametimia ila ni Nusu bila Mkuu mwenyewe kujulikana ni nani

Yaani hapo tu ndo nachanganyikiwa na kujiuliza swali Hili
● Kama watu wa huyo mkuu ndo walioharibu mwaka 70AD na tayari wameshakufa wote. Inakuwaje huyo mkuu aje atokeze baadae na awe na hao watu tena. Yaani tuseme huyo mkuu ajitokeze leo 2014.. atakuwaje na watu wale wake wa 70AD?

Mkuu hapa umenena ....

Ngoja tumsubiri mkuu Mkuu wa chuo aje atoe ufafanuzi!
 
Last edited by a moderator:
Kuna Tabaka la watu LEO HII 2014 Wanajiita WAFUASI WA ANTI-CHRIST.

Na wanaanda mipango ya kumkaribusha huyo antichrist (so they say).

Kwa hivyo tukirudi kwenye Sentensi Hio ya "NA WATU WA MKUU ATAKAEKUJA".... Basi hatunabudi KUKUBALI KUWA Upo uwezekano wa KUWEPO TABAKA LA WATU ambao wanajiita ni WATU WA MTU FULANI japo kuwa HUYO MTU HAJAWAHI KUTOKEA lkn ANATARAJIWA KUTOKEA.

Ni kweli unachokisema maana hata kwa sasa hiyo roho ya mpinga kristo ipo na inatenda kazi, lakini kufunuliwa kwake ni bado kwani baadhi ya mambo hayatokea bado, kama tunavyoona katika Danieli 9:27 agano bado hajaweka...

1 Yohana 2:18 Watoto, ni wakati wa mwisho; na kama vile mlivyosikia kwamba mpinga Kristo yuaja, hata sasa wapinga Kristo wengi wamekwisha kuwapo. Kwa sababu hiyo twajua ya kuwa ni wakati wa mwisho.
 
Kuna Tabaka la watu LEO HII 2014 Wanajiita WAFUASI WA ANTI-CHRIST.

Na wanaanda mipango ya kumkaribusha huyo antichrist (so they say).

Kwa hivyo tukirudi kwenye Sentensi Hio ya "NA WATU WA MKUU ATAKAEKUJA".... Basi hatunabudi KUKUBALI KUWA Upo uwezekano wa KUWEPO TABAKA LA WATU ambao wanajiita ni WATU WA MTU FULANI japo kuwa HUYO MTU HAJAWAHI KUTOKEA lkn ANATARAJIWA KUTOKEA.

Sasa hapa mkuu naona kuna concept mpya.

Wewe na Mkuu wa chuo mnaamini hivi
● Daniel 9:26 kwamba huyo mkuu hajaja bado na atakuja baadae

Ila kuna jambo Mkuu wa chuo alisema limetimia kwamba Kuharibiwa kwa mahali Patakatifu pameshatimia mwaka 70AD....

Sasa kama hao watu wa mkuu atakayekuja walishafanya hayo inakuwaje tena Kuna watu wewe unawazungumza hapa kwamba wanatayarisha kumkaribisha huyo mpinga kristo
 
Wajinga ndio waliwao.

Hizo picha zinafanana? au hujuwi maana ya kufanana?

Na huyo ndio mnyama mwenye mapembe kumi?

e
Upunguani mwingine ni wa hali ya juu.
kwa mara ya kwanza nimekuunga mkono,hizo pembe kumi sizioni wala hayo majengo hayafanani,pale nairobi kuna jengo laduara pia basi nalo tusemeje
 
Hapana.
Ni wewe tu umechanganya madawa.
Biblia Inasema Huyo MPINGA KRISTO ATAKUJA SIKU ZA MWISHO WA HUU ULIMWENGU.

Kwa Point Hii peke yake Hilo Tukio la 70AD linajitoa lenyewe kuwa SIO HILI LINALODHAMIRIWA HAPA.

Thessalonians 2:3-4

3 Let no one deceive you in any way. For that day will not come, unless the rebellion comes first, and the man of lawlessness
[a] is revealed, the son of destruction
, 4 who opposes and exalts himself against every so-called god or object of worship, so that he takes his seat in the temple of God, proclaiming himself to be God.

Daniel 11:21
In his place shall arise a contemptible person to whom royal majesty has not been given. He shall come in without warning and obtain the kingdom by flatteries.

Hapo tukisoma Hizo sifa za Huyo Antichrist tunakuta kuwa Mpaka sasa HATUJAPATA MTU AU MNYAMA Aliyefanya hivi DUNIANI.
labda vijijini huko mtu alewe pombe zake halafu ajiite yeye ni Mungu.na kujiona yeye ni ufalme usio na kikomo!

Na kuhusu SIKU YA MWISHO kwa Mujibu wa QURAAN na BIBLIA Hakuna ANAEWEZA Kuitambua na Kusema Eti Huu ndio Mwisho WENYEWE.

Matthew 24:36

No One Knows That Day and Hour

36 “But concerning that day and hour no one knows, not even the angels of heaven, nor the Son,[a] but the Father only

Antichrist Yuko Njiani. BADO HAJAFIKA na Huo ndio UKWELI.


Basi Aliyefanya Ya kwenye Daniel 9:26 ni Mpinga Kristo mwingine ambaye si huyu anayekuja mwishoni

Na kama Unakataa kwamba 70AD haikulenga hilo utakuwa Tofauti kimtazamo na Mkuu wa chuo. . Na Daniel 9:26 haijatimia yote kabisa
 
kwa mara ya kwanza nimekuunga mkono,hizo pembe kumi sizioni wala hayo majengo hayafanani,pale nairobi kuna jengo laduara pia basi nalo tusemeje

Ndo maana hatujaconclude kabisa.. Tatizo tunajiuliza kwanini zina Biblical View.. ? Na kwanini wajenge jambo ambalo linaonekana limetabiriwa kwenye Biblia. .

Hata kama pembe hizo hazipo ila kuna Mnyama mwenye pembe mbili na yupo Mwanamke anayembeba mnyama mwingine mwenye pembe kumi
 
nimependa mjadara.imenibidi nijikusanye kwanza kabla sijatoa maoni yangu maana nimejifunza humu kutoa maoni bila evidence ni sawa na upotoshaji
 
uyo atakuwa allah subhaanau tu mpinga kristo unaonaje jembe

Ok Tatizo ni Evidence na sifa za Mpinga Kristo ziendane na hayo unayonena..

Mpinga Kristo hata Wewe unaweza ukawa ila Tatizo unazo kwa asilimia 100%

Mfano Mpinga kristo ni yule anayemkana Mwana Wa Mungu kwahiyo kama Hiyo ipo Basi Huyo ni Mpinga Kristo. ...
 
Mi nadhani hapa hujapaelewa vizuri.. inakuwaje watu wanakuja kuangamiza mji bila kuwa na Kiongozi wao.. ?

Mfano

Jeshi haliwezi kuvamia sehemu bila kuwa na amri kutoka kwa Raisi. Na Raisi ndo anayezungumziwa hapo kwamba ndiye mkuu
Mtawala wa kipindi hicho wakati Warumi wanauangamiza mji alikuwa ni Tito, Lakini pia kama umeenda kule chini ukaangalia ule uchambuzi kuhusiana na yale majuma 70, ina maana na hayo yaliyokuwa yakifanyika ila ni baada ya majuma 69 na juma la 70 lilikuwa bado halijaingia, ndio maana nasema kuna gap kati ya juma la 69 na 70, kwa sababu kama ukisema ni Tito hajaweza kutimiza kuhusiana na lile fungu la 27 la Daniel, na hilo ndio juma moja la kwa Daniel lililobakia na Ufunuo ile ina base kwenye hiyo miaka 7 ya Daniel iliyobaki...

Fungu la 27 linahusiana na mpinga kristo...

Hapa nakubaliana na wewe kwamba ni watu ndio watakao uharibu mji ila hao watu hawawezi kuuharibu mji kama hawajapata Amri kutoka kwa Huyo mkuu ambaye amezungumzwa hapo juu

Mkuu mwenyewe ni nani sasa!? fungu la 27 linaelezea

Daniel 9:27 Naye atafanya agano thabiti na watu wengi kwa muda wa juma moja; na kwa nusu ya juma hiyo ataikomesha sadaka na dhabihu; na mahali pake litasimama chukizo la uharibifu; na hivyo, hata ukomo, na ghadhabu iliyokusudiwa imemwagwa juu yake mwenye kuharibu.

Fungu la 27 linaelezea kweli yamkini huyo mtu atatokana na Rumi, au pia Rumi inaweza ikawakilisha mataifa, Jaribu kusoma Mathayo 24, Yesu pia alitabiri hicho kitu cha kuharibiwa mji lakini baadae alikuja kuelezea chukizo la uharibifu

Pia unaweza ukaangalia Luka 21:20 na kuendelea...
Kama unakumbuka ulisema kuwa Antious alikamilisha kusimamisha Sanamu zake mule ndani ya hekalu na ukasema kuwa

Ila hapa Tena naona nachanganyikiwa kwa weww tena kusema kuwa Mpinga Kristo anakuja na bado hayajatimia

Antiochus Epiphanes alifanya hivyo ila hakubomoa hekalu alifanya hiyo Chukizo la Uharibifu katika enzi zile za kina Makabayo, Lakini huyu jamaa atakayekuja ataweka agano tena halafu chukizo la uharibifu litasimama...
Yaani hapa ndo panatia moto akilini.. kwahiyo kama kuharibiwa kwa mahali Patakatifu palitimia kwenye majuma 69... palifanyikaje bila Huyo mkuu kuwepo kama iliyosema

●Daniel 9:26 biblia ya SUV inasema hivi
..........Na watu wa mkuu atakayekuja watauangamiza mji na mahali Patakatifu

●Daniel 9:26 BHND inasema hivi
...... mji na mahali patakatifu kabisa vitaaribiwa Na Jeshi la mtawala atakayekuja kushambulia...

●Daniel 9:26 biblia ya BHN inasema hivi

......mji na mahali patakatifu kabisa vitaaribiwa Na jeshi la mtawala atakayekuja...


Sasa Wewe wasema mkuu hapo hayupo ila ni watu wake ila yeye bado hajaja... ila baadae tena wasema kwamba ni kweli jambo hilo lilitoea mwaka 70AD kwamba Mahali Patakatifu paliharibiwa na Jeshi la Rumi na Titus sasa inamaa mkuu hapo ni Yule aliyeliongoza Jeshi

Confused
Hayo ni mambo yaliyokuwa yanaelezewa baada ya yale majuma 69 ya Daniel kutimia, ila lile juma la 70 bado halijatimia hadi sasa, hadi mwaka 90 AD hayo ya Daniel 9:27 hayakutokea, ndio maana kunakuwa na ile miaka saba ya dhiki ndio ile miaka ya juma la 70 la kwa Daniel...
 
Daniel Imeandikwa hivi

"Na watu wa mkuu atakayekuja wataangamiza mahali Patakatifu "

MKUU NDO ATAKUJA NA WATU WAKE

Tunaambiwa na Mkuu wa chuo kuwa mahali hapo paliharibiwa mwaka 70AD.. na watu wa huyo Mkuu

Sasa ndo nauliza hao watu wameharibuje bila amri ya huyo mkuu wao
Ngojea nikuwekee Kiswahili cha kisasa upate concept, halafu pale nitakapopigia mstari ndio utaelewa

Daniel 9:26 Baada ya majuma hayo sitini na mawili, yule aliyepakwa mafuta atakatiliwa mbali hatabaki na kitu. [SUP]m [/SUP]Mji na mahali patakatifu kabisa vitaharibiwa na jeshi la mtawala atakayekuja kushambulia. Mwisho wake utafika kama mafuriko, kukiwa na vita na maangamizi kama yalivyopangwa na Mungu.

Zingatia hapo nilipopiga mstari...
 
Suala hapa sio kuwa pamoja na mwingine. Bali tunajaribu kudadavua NI NANI HASA HUYU MPINGA CHRISTO.

Sasa usijekusahau kuwa Andiko Limetaja antichrist wengi mno lkn TUNAEMDHAMIRIA HAPA ni Yule MKUU WAO Ambae Katabiriwa kuwa ATAKUJA.
Ukiangali hio Daniel 9:26 huyo ndio MASIHI aliyetajwa hapo AMBAE atauvuruga mji wa JERUSALEM kisha Watu WA MKUU watakuja kummaliza.
Kuna vitu viwili lzm uvione hapo.

1.Huyo MASIHI MWENYEWE (Muharibifu) HAYUPO bali Ametabiriwa kuwa ATAKUJA!
2.HUYO MKUU wa Watu nae PIA Hajatokea bali Anetabiriwa kuwa ATATOKEA.

Na kuyahakiki haya nenda kasome revalation 13:5-18 utaona sifa nyingi sana za huyo Mnyama ambazo Hakuna BINAADAMU WALA MNYAMA WA SASA AMETOKEA KUWA NAZO.

Unajua hapa ni km Tumeingia msituni Kutafuta JOKA KUU LENYE SIFA NYINGI NYINGI ZA KUTISHA KABISA,
Sasa ktk kupekua pekua kwetu tukikutana na Cobra wengine watasema Huyu ndie tunaemtafuta. Na wengine wakiona Chatu au ANACONDA watasema Hakika huyu ndio yule Joka kuu.

Lkn woote hao wamefuata dalili Chache tu za lile JOKA KUU na Hawakufuata DALILI ZOTE.

Soma Hio mistari Huenda ukanielewa Kitu gani nasema.
Muhammad and Allah are both Anti Christ. According to the Qur'an, the Bible contains prophecies about Muhammad (see Qur'an 7:157; 61:6). Yet, when we open the Bible, we find that Muhammad is condemned as an antichrist (1 John 2:22-23)! Muslims try to ignore this by claiming that the Bible has been corrupted. But if the Bible has been corrupted, why did Muhammad say that we should go to it to find prophecies about him? If the Bible has been corrupted, why does Allah say that no one can change his words (6:115; 18:27)? If the Bible has been corrupted, why does Allah command Jews and Christians to judge by the Torah and the Gospel (5:43-47)?
 
Muhammad and Allah are both Anti Christ. According to the Qur'an, the Bible contains prophecies about Muhammad (see Qur'an 7:157; 61:6). Yet, when we open the Bible, we find that Muhammad is condemned as an antichrist (1 John 2:22-23)! Muslims try to ignore this by claiming that the Bible has been corrupted. But if the Bible has been corrupted, why did Muhammad say that we should go to it to find prophecies about him? If the Bible has been corrupted, why does Allah say that no one can change his words (6:115; 18:27)? If the Bible has been corrupted, why does Allah command Jews and Christians to judge by the Torah and the Gospel (5:43-47)?

Quran 7-157
َ

Ambao kwamba wanamfuata huyo Mtume, Nabii, asiye soma wala kuandika, wanaye mkuta kaandikwa kwao katika Taurati na Injili, anaye waamrisha mema na anawakanya maovu, na anawahalalishia vizuri, na ana waharimishia viovu, na anawaondolea mizigo yao na minyororo iliyo kuwa juu yao. Basi wale walio muamini yeye, na wakamhishimu, na wakamsaidia, na wakaifuata nuru iliyo teremshwa pamoja naye - hao ndio wenye kufanikiwa.

Quran 61-6
ٌ

Na Isa bin Mariamu alipo sema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, ninaye thibitisha yaliyo kuwa kabla yangu katika Taurati, na mwenye kubashiria kuja Mtume atakaye kuja baada yangu; jina lake ni Ahmad! Lakini alipo waletea hoja zilizo wazi, walisema: Huu ni uchawi ulio dhaahiri!

Haya tuoneshe wapi amempinga Yesu...
 
Ngoja mkuu nikupe challenge moja
● Kama huyo mkuu atakayekuja hajulikani bado kwahiyo kilichotokea 70AD kitamuhusishaje sasa huyo mkuu ambaye unahisi atatokea baadae

Mfano huyo mkuu atokee leo.. inakuwaje wale walioharibu mahali Patakatifu 70AD wakawa ni watu wa huyu Aliyejitokeza leo?

hapo ninaweza nikakujibu roho ya mpinga kristo inatenda kazi, kwa hiyo Automatically wale walioharibu waliongozwa na hiyo roho, kwa hiyo wanaweza wakawa wanaitwa watu wa mkuu kwa muktadha huo...

Na kama unavyojuwa joka ambaye ni shetani atampa mamlaka mnyama, kwa hiyo hao watu pia waliongozwa na hiyo roho ndio waka tenda hivyo ni kama vile Shetani alivyoweza kumuingia Yuda Iskariote

kama kule chini kwenye jukwaa la dini umeweza kuyasoma yale majuma 69 kwenye ule uzi moja kwa moja, utaweza kupata concept...
 
Ngojea nikuwekee Kiswahili cha kisasa upate concept, halafu pale nitakapopigia mstari ndio utaelewa

Daniel 9:26 Baada ya majuma hayo sitini na mawili, yule aliyepakwa mafuta atakatiliwa mbali hatabaki na kitu. [SUP]m [/SUP]Mji na mahali patakatifu kabisa vitaharibiwa na jeshi la mtawala atakayekuja kushambulia. Mwisho wake utafika kama mafuriko, kukiwa na vita na maangamizi kama yalivyopangwa na Mungu.

Zingatia hapo nilipopiga mstari...

Sasa Mkuu wa chuo huoni hilo tukio la kuharibiwa ni baada ya Yesu kukataliwa ndo linatokea?

Na wewe tayari ushasema lilitimia au umebadili mawazo sa hivi...
 
Last edited by a moderator:
Yes hapo ndo tatizo.. maana Mkuu wa chuo alisema kuwa 70AD Unabii ulikamilika wa kuharibiwa mahali Patakatifu. .ila bila huyo mkuu kujulikana..

Na wakati Daniel anapewa huu unabii mambo yalikuwa bado hayajatimia Inamaana yalitimia baadae wakati wa Kukataliwa kwa YESU kristo. . Ila Mkuu wa chuo anasema tena kwamba yametimia ila ni Nusu bila Mkuu mwenyewe kujulikana ni nani

Yaani hapo tu ndo nachanganyikiwa na kujiuliza swali Hili
● Kama watu wa huyo mkuu ndo walioharibu mwaka 70AD na tayari wameshakufa wote. Inakuwaje huyo mkuu aje atokeze baadae na awe na hao watu tena. Yaani tuseme huyo mkuu ajitokeze leo 2014.. atakuwaje na watu wale wake wa 70AD?

Hili nafikiri tayari nimekwisha lijibu hapo juu, nimekwambia kwamba kuna gap yaani kama kuna pause fulani, matukio ambayo yalihaidiwa katika majuma 69 yamekwisha timizwa baada ya kukamilika hayo majuma 69 baada ya muda ndio ikaja kule kuharibiwa kwa mji mwaka 70 AD ambayo hapo juma la 70 lilikuwa bado halijaanza, na juma la 70 hadi kwa sasa halijatimia maana hatujaona mpinga kristo akiweka agano kama inavyoelezewa na fungu la Daniel 9:27

Cha kujiuliza ni kwanini waliitwa watu wa mkuu!? hapo juu nimekupa concept na Daniel 9:27 inalezea habari za mpinga kristo

Na katika Yohana 5:43, Yesu anawaambia Wayahudi yeye alikuja kwa jina la Baba yake wakamkataa ila kuna ambae atakuja kwa jina lake mwenyewe watamkubali huyo, kwa hiyo Mpinga kristo kwa lugha nyingine anatambulika kama Masihi wa uongo ambaye atakapokuja Wayahudi watamkubali, ndio atafanya agano nao kwa muda wa juma moja yaani miaka 7, na katikati ya juma atavunja agano ndipo chukizo la uharibifu litakaposimama, ndio hilo fungu la Daniel 9:27 linaeleza hivyo, kwa hiyo bado hilo fungu la 27 halijatimizwa yaani lile juma la 70 bado, angalia hiyo Yohana 5:43

Yohana 5:43 Mimi nimekuja kwa jina la Baba yangu, wala ninyi hamnipokei; mwingine akija kwa jina lake mwenyewe, mtampokea huyo.
 
Mkuu mimi na wewe HATUWEZI KUTOA HITIMISHO kuwa Mpinga KRISTO ALIYETABIRIWA ktk Vitabu vyote TAYARI KAUSHAFIKA.
La hasha!

Wengi kati yetu tunakwenda kwa Nadharia tu kwa kujumlisha 1+1.
Lkn KUMBUKA sifa Za MPINGA KRISTO zimetajwa Ktk QURAAN na BIBLIA kwa Upana sana.

Na japokuwa Baadhi ya Hawa tunaowahisi kuwa Ni wapinga kristo wana Baadhi ya ALAMA HIZO lkn HAWANA ALAMA ZOTE za ANTICHRIST.

Mfano hai ni Huyu PAPA! Ukitazama Kwenye Mitandao utakuta RUNDO ZIMA la Conspiracy theories zinazo mdadavua kuwa YEYE NI MPINGA KRISTO!
Lkn Wote wale wasemayo hiyo Hakuna hatta mmoja atakuwa tayari kwenda ktk mahakama na Kuleta Evidence ya HAKIKA 100% kuwa Huyu mjamaa ndio HUYO ANTICHRIST.

Sasa wanasema Waungwana "Time will tell" sisi wajibu wetu ni Kusubiri tu na kufanya Yale yaliosawa, hizi dhana peke yake zinaweza kututia hatiani mbele ya MUNGU.

Na nadhani km killa mmoja wetu leo hii angekuwa anajua 100% Ukweli wa mambo nadhani Wala haya malumbano tusingekuwa nayo.

Usome na Uislamu kidogo Mkuu wa chuo.
Tazama Concept ya Antichrist ktk Islamic prospective pia.

Elimu haina mwisho.

Okay sawa mkuu, itabidi pia nizame kwenye hiyo concept ila nimeshaipitia kwa juu juu itabidi nije nizame zaidi...

Ni kweli Elimu Haina mwisho...

Shukrani sana...
 
Back
Top Bottom