Kwa taarifa yako sijali sana ukijibu au ussijibu. I DON'T CARE. Yaani haniumizi kichwa kabisa. Copy and pest kutoka Vatican, kama unaona uvivu kusoma hayanihusu.
Hayo maswali ukawauliza Cathedra. Uwaulize pia kwanini wanawadanganya watu wasio na hatia kusujudia sanamu, kupeleka maombi kupitia marehemu Mariamu na wafu wengine wakati Yesu yuko hai?
Kama hawajisumbui hawa wachache wewe
Mkuu wa chuo na
RGforever mnafanya nini kupitia uzi wako wa kumsafisha Papa kuwa sie Mpinga Kristo, uzi wa
Mkuu wa chuo wa kumcritise E G. White ni kwaajili ya nini?
Nimekwishaa kwambia vita ya Jesuits dhidi ya ukweli ni kubwa kwani na wewe unajua. Unataka kuseek huruma ya wasomaji. Jesuits mna kiapo cha kumwaga damu kwaajili ya kumtetea Papa na ushahidi tunao. Sijaona msabato ukiapa kuuwa mtu bali kuokoa.
Huu huu unaopingana nao wewe.
Copy na kupest thread yako ya Sababu kwanini Papa sio Mpinga Kristo ndio jibu la swali lako hapa.
Hili swali uwaandikie email Vatican watakujibu. Mimi ninachojua ni kwamba Jesuits wanachakachua Bible ili kuendeleza propaganda za Upapa.
Kwa wale wanaotaka kuju (isipokuwa
Eiyer na wenzake) mnaweza kuangalia hii 214 - Changing the Word / Total Onslaught - Walte…:
214 - Changing the Word / Total Onslaught - Walter Veith - YouTube
Kama unafanana nao sana unataka nikuiteje sasa?
Unadhani mimi kama wewe mzee wa I was born a Catholic I will die a Catholic. Pole
Unazungumza kama Jesuit sasa. Unadhani ukikubali kuwa huu ndio ushahidi basi unakuwa... pole. Unanikumbusha admissibility of evidence. Uliisha jivalisha joho la hakimu (Jesuit).
Nikutumie Transcript yangu kutoka kitivo cha Sheria uone nina ngapi Law of Evidence?
HAHA HAHA, uwadanganye laymen wenzako. Unabahati ninatumia simu ningekupa elmu ya bure kuhusu law of evidence.
2 WATHASALONIKE 2.
Si ndio kazi yenu mliyotumwa kuifanya. To cast doubt in the hearts of men. Umefanikiwa sana. Ungeanza kutuonesha Epiphenes ambaye maJesuits mnadai ndie mpinga kristo ana fit vipi katika sifa hizo.
Tunawafahmu Perinde ac cadaver.