Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Mbowe alikuwa anaongea kama sehemu ya kujifurahisha tu .maana wakati ni mbunge hakuwahi kusema popote pale kuwa alikuwa anapokea millioni 13. Lakini ukitaka kufahamu ya kuwa CHADEMA ni waropokaji ropokaji rejea kauli ya John Heche ambaye naye alitamka kuwa wabunge wanapokea kwa sasa millioni 16. Kwa hiyo mpaka hapo unaweza kuona kuwa wanafanya upotoshaji na kutafuta sifa za kijinga jinga tu.ndio maana wanafanya kazi ya kuropoka ropoka tu wakiwa majukwaani.
Hivi hawa CHADEMA huwa wanaletaga uthibitisho wowote pale wanapotoa madai na shutuma zao?Mbowe alikuwa anaongea kama sehemu ya kujifurahisha tu .maana wakati ni mbunge hakuwahi kusema popote pale kuwa alikuwa anapokea millioni 13. Lakini ukitaka kufahamu ya kuwa CHADEMA ni waropokaji ropokaji rejea kauli ya John Heche ambaye naye alitamka kuwa wabunge wanapokea kwa sasa millioni 16. Kwa hiyo mpaka hapo unaweza kuona kuwa wanafanya upotoshaji na kutafuta sifa za kijinga jinga tu.ndio maana wanafanya kazi ya kuropoka ropoka tu wakiwa majukwaani.
Hawawezi kuleta wala kuwa nao .kazi wanayoiweza ni kuropoka tu na kutunga uongoHivi hawa CHADEMA huwa wanaletaga uthibitisho wowote pale wanapotoa madai na shutuma zao?
Au hii ndio Kiki tu?
Tuone.
Maneno ya kukana hoja Hizo yametolewa na Kitengo cha mawasiliano na uhusiano wa kimataifa Bungeni..
Jana Ijumaa tarehe 22 Machi, 2024 alipokuwa anahutubia mkutano wa hadhara Mjini Babati Mkoa wa Manyara na kisha Video yake kusambaa kwenye Mitandao ya Kijamii Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Freeman Mbowe amedai kwamba mishahara ya Waheshimiwa Wabunge imeongezwa mwaka 2023 kutoka shilingi milioni kumi na tatu (sh.13,000,000/=)
hadi shilingi milioni kumi na nane (sh.18,000,000/=)
View attachment 2942304
Sasa hiyo ni kwa mbunge mmoja zidisha mara 393 (Idadi ya wabunge wote)Mshahara wa mbunge wa zaidi ya bilioni moja kila mwaka (miezi 12) ktk kikokotoo:
Mchanganuo wa mshahara wa miaka mitano wa mbunge ni Bilioni 1 na milioni themanini :
Shilingi 18,000,000 x miezi 12 = 216,000,000
Shilingi 216,000,000 Γ miaka 5 =1,080,000,000
- Bado hapo pia anapokea allowance za vikao vya bajeti
- Ziara za mafunzo Dubai, India n.k
- Vikao vya Kamati za Kudumu za Bunge PAC, LAAC, Mambo ya Nje na ulinzi usalama n.k
- Marupurupu ya mkopo wa gari n.k
- Bima ya Afya kwa mbunge hospitali VIP Class n.k
- Pensheni ya mkupuo akimaliza ubunge miaka
Acha upoyoyo,mzee Mbowe aweke nyaraka za kuthibitisha alichoropoka ,vinginevyo anakaribia kuingia kwenye kundi la lema na mdudeWaongo hao. Si waweke wazi ni kiasi gani wabunge wanalipwa badala ya kukanusha tu. Na kama waliaita akina Paskali Mayalla kwenye Kamati ya Bunge kwa mambo mdago kwa nini wasimuite Mbowe kwa hili.... Hapo ndipo nitaamini.
Chadema wana Mbunge wao mmoja bungeni. Amuombe atoe payslip yake hadharani.
Sasa hiyo ni kwa mbunge mmoja zidisha mara 393 (Idadi ya wabunge wote)
Wewe ni mbunge?Salary sio milion 13,
Ila maokoto Yao yote ukichanganya ni 13 Kwa mwezi
Walijiongeza kutoka 12 mpaka 13..Habari ya wabunge kujiongezea mshahara si ya leo wala jana. Hii ni taarifa ya siku nyingi sasa kwa nini imechukua muda mrefu kukanusha?
Hatudanganyiki kwa kuwa Bunge na Serikali hii wamekuwa waongo kupita maelezo!
Na wewe kazi unayoweza ni uchawa tuHawawezi kuleta wala kuwa nao .kazi wanayoiweza ni kuropoka tu na kutunga uongo
Sasa hao wanakanusha mbona hawasemi Wanalipwa Tshs ngapi. Wajinga endeleeni kuamini.Acha upoyoyo,mzee Mbowe aweke nyaraka za kuthibitisha alichoropoka ,vinginevyo anakaribia kuingia kwenye kundi la lema na mdude
Ndo hapo SASA.au kwa sababu wanapitisha wao mapato na matumizi?Pamoja na kukana je wanavyojiona wana sifa gani special ya kuwafanya wao kupokea mshahara Tsh 13,000,000/= pamoja na marupurupu chungu mbovu na bima za maisha za uhakika?