Ndio jibu hawataki kuumiza kichwaNajaribu kuwaza tu kwa nni marais wa kanda ya pwani wanapenda kubinafsisha Mali za uma je uwezo wao wa kufikkli ni mdgo ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio jibu hawataki kuumiza kichwaNajaribu kuwaza tu kwa nni marais wa kanda ya pwani wanapenda kubinafsisha Mali za uma je uwezo wao wa kufikkli ni mdgo ?
Nilikua sijui.Dubai na Saudi ni kitu kimoja. Ukisema Dubai sawa na Arusha ndani ya Tz. Ila Dubai imefahamika zaidi kama nchi ksbb ya utawala wa majimbo na ni mji mkubwa wa kibiashara. Dubai ni sehemu ya Saudi Arabia.