Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Si kweli, nchi gani ina demokrasia perfect duniani kwa sasa?Wameona nyie ni washenzi tu msiofuata misingi ya demokrasia wameamua kiwaacha mkae na ushenzi wenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kweli, nchi gani ina demokrasia perfect duniani kwa sasa?Wameona nyie ni washenzi tu msiofuata misingi ya demokrasia wameamua kiwaacha mkae na ushenzi wenu
Niamini utasikia nchi zingine zikijitokeza muda mfupi.Bunge lipi? Bunge hili UCHWARA? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawamuelewi Mulamula Liberata...hata mimi simuelewi! Wameona isiwe taabu!Labda wameona juhudi zote wanazozifanya ni kama wanapiga ngoma kwenye maji. We fikria wanapoteza kiasi kikubwa kwenye suala la elimu kwa lengo la kuelimisha jamii ili wapatikane viongozi bora, nchi iwe na deokrasia bora,wasiwepo viongozi wala rushwa,wapatikane wataalamu wazuri wa kupaisha uchumi wa nchi lakini imekuwa kinyume.
SureCcm inaangamiza hij nchi.
Ulivyo mbuzi unadhani ushirikiano ni gdp pekee.kuna nchi nyingi tu tunaweza kushirikiana nazo zenye GDP kubwa kuliko Danmark..mathalan Iran, Malaysia to mention a few.. kwann tuendelee kuhemea since 1960s?? ndio uezo wetu ulipoishia?
Ungechunguza kwa nini wanaondokaCCM wenzako watajibu acha waondoke sisi tuna hela na tupo uchumi wa kati.
Wanafikiri mahusiano baina ya nchi na nchi ni pesa tu, wana akili za kidangaji.
Halafu ni wabunge gani hao unawatuma wakajadili hili jambo sensitive kiasi hiki? Hawa akina Babu Tale? we unatafuta pesa zetu zikafujwe bila matokeo yoyote chanya. Labda umuombe Jerry Silaa na wenzake wachache sana kama Halima mdee ndio wakajadili, walau wanauwezo wa kujadili hili.
Samahani lakini Ujinga sio tusi ila wewe ni mpumbavu,Bora hata huyo Tundu Lissu anazuia hiyo misaada maana ni aibu kulilia misaada wakati Nchi Ina miaka 60 ya uhuruNi matokeo ya Tundu Lissu kuichafua nchi nje ya nchi, Bunge msipoteze muda kwa ujinga kama huu, waTZ tutaprevail tu, hawa wapinzani uchwara wanaoomba nchi yao ikose hela kwa manufaa yao ya kisiasa watashindwa tu, TZ will stand always
😲😲Acha mabeberu wote waondoke, washirika wetu wa kimkakati Burundi wanatosha sana
Tunaishi kwa kutegemeana jombaa, ni kweli naweza kuwa mpumbavu mkuu, naweza kuwa nahemewa pia kiongozi, ila naamini TZ tunaelekea pazuri mzee, njoo nihemehee basi bosiSamahani lakini Ujinga sio tusi ila wewe ni mpumbavu,Bora hata huyo Tundu Lissu anazuia hiyo misaada maana ni aibu kulilia misaada wakati Nchi Ina miaka 60 ya uhuru
Kingine Mwanaume wa uliekamilika kupenda misaada utakuja olewa na kuhemewa kisogoni na dume mwenzio
Shwain!
Ndio uwezo wa akili yako ilipofikia wewe Tale Tale. Hao uliowataja wanachangia kiasi kwenye bajeti na huduma za kijamii?kuna nchi nyingi tu tunaweza kushirikiana nazo zenye GDP kubwa kuliko Danmark..mathalan Iran, Malaysia to mention a few.. kwann tuendelee kuhemea since 1960s?? ndio uezo wetu ulipoishia?
Samia alikuwa kwenye njia sahihi. Wengi walimpenda na kumheshimu, hata wale wa nje ya chama chake.Nimekusoma mkuu, since Samia kachukua nchi ni kosa gani kubwa kafanya hadi watu wamuoneshe chuki kubwa namna hii?