Bunge liitishe kikao cha dharura kujadili kufungwa kwa ubalozi wa Denmark 2024

Bunge liitishe kikao cha dharura kujadili kufungwa kwa ubalozi wa Denmark 2024

Nani kabambikiwa kesi Mkuu? Mother kesi ya Mbowe kaikuta, na tayari upelelezi ulikuwa umekamilika, according to polisi, ulitaka afanye nini mzee? Aingilie? Siyo rahisi kihivyo, imani yangu jamaa atatoka na maisha yataendelea, ila hii ya kushangilia mapolisi kuuwawa siyo poa mkuu! TZ itaendelea kusimama mkuu, ishakutana na maadui wengi sana wenye nguvu, bado ilisimama! Lissu alisumbuliwa na Magu, now anaweza kurudi akiamua
Kwa walinzi hawahawa wa amani yetu,walioshindwa kumkamata mshambuliaji wake,au walio mshambulia m.kiti pale Dom na hatimae kumbambikia?hawa wanaonyanyasa raia wanaokusanyika kujadili upatikanaji wa katiba na mikutano mingine halali ya kisiasa ina haramishwa na waliotakiwa kuwapa ulinzi.?Hawa ambao ni walinzi wa chama korokocho usiku na mchana,jua,mvua masika?Hawa wanaosimamia na kuwezesha wizi wa kula/uchafuzi/guzi?
 
Diplomasia ni zoezi linajengwa muda mrefu, tatizo toka 2015 Tanzania iliona nchi zingine ni mabeberu, wanaingilia mambo ya nchi zingine hata kama kuna kubambikiza kesi, utekaji, ukabaji wa demokrasia, uchafuzi wa uchaguzi n.k

Wakati hela hizo Tanzania inazosaidiwa zinatoka kwa wananchi wa nchi zinazoamini ktk haki, uhuru na demokrasia.

Serikali kama ya Denmark imechoka kuhojiwa na wananchi wake walipa kodi juu ya kuendelea kusaidia serikali za ki dictator kandamizi zisizojali utu na kuamua kuibwaga Tanzania baada ya kujaribu kuibeba kwa kushawishi kina Palamagamba Kabudi, Bunge la Tanzania, Polepole na CCM waache kuminya demokrasia lakini CCM Mpya na serikali zake za awamu ya 5 na 6 zimenogewa kukiukwa haki na uhuru wa binadamu.
Kumbe bado mabeberu yanatakiwa?
 
Nikitukana watu humu huwa naonekana kuwa ni mtu mbaya sana!Huu uzi ni kituko,unahitaji PhD ili kujua kuwa Tanzania haina bunge?!WTF!!!
 
Ni matokeo ya Tundu Lissu kuichafua nchi nje ya nchi, Bunge msipoteze muda kwa ujinga kama huu, waTZ tutaprevail tu, hawa wapinzani uchwara wanaoomba nchi yao ikose hela kwa manufaa yao ya kisiasa watashindwa tu, TZ will stand always

Mamlaka zinakobambikiza kesi zikadhudulumu watu haki, hujichafua zenyewe
 
Denmark wanasema wanataka kuhakikisha watu wao wako SAFE kwenye Dunia inayozidi kupoteza muelekeo wa kidemokrasia na HAKI za Binadamu.

Wameamua kufunga ubalozi wao Tanzania kutokana na mambo ya hovyo tunayoyashuhudia Tanzania sasa hivi kama vile uvunjaji mkubwa wa haki za binadamu, ukandamizaji wa demokrasia, kukosekana kwa utawala bora, kukosekana kwa utulivu na usalama,ugaidi(fake) na kadhalika.

Wa kulaumiwa katika hili ni hii serikali fake ya CCM ambayo haina kibali cha wananchi ambayo imefikia hadi hatua ya kutengeneza ugaidi fake ili tu kutengeneza uhalali wa kubakia madarakani kwa mabavu.
im76543age12.png
 
Hizi ni balozi za Danmark Africa
Ni Tanzania tu wanafunga. Ni nini kimetokea?
Je na wenzao katika Nordic group (Norway, Sweden na Finland) wana mipango hiyo?
Watanzania janjajanja imezidi,democrasia ipo,huku uhuni, na uharamia unaratibiwa na wanaoiimba democrasia midomoni, uchaguzi unafanyika, kumbe janjajanja na uhuni unaoratibiwa na wenye maslahi yao binafsi kwa mgongo wa uzalendo uchwara. Nabado sehemu ya uratibu wa uovu ni misaada.
 
Iko wazi tu, mipango yao imekamilika, walichokuwa wanakitafuta wameshakioata. Tanzania haina kazi tena kwao.
Kikao cha dharura cha kuitishwa hivi sasa ni chakutafuta katiba mpya basi,mengine janjajanja kama kawaida ya mtanzania.
 
Kama tulivyosikia Denmark ambae ni moja ya nchi mshirika mkubwa na mdau wa maendeleo wa nchi yetu "Development partners" wanafunga ubalozi wao Tanzania ifikapo 2024.

Denmark walianzisha ushirikiano wa kimandeleo na Tanzania mara tu nchi yetu ilipopata uhuru wake mwaka 1963.

Kupitia mfuko wake wa maendeleo ujulikanao kwa jina la DANIDA Denmark imekuwa mdau mkubwa ambae amekuwa akitoa fedha za maendeleo kwenye maeneo kama haki za binadamu, ukuzaji demokrasia, utawala bora, utulivu na usalama, vita dhidi ya ugaidi, misaada ya wakimbizi na mazingira.

Pia DANIDA imekuwa ikisaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi.

Kupitia mfuko wake wa Danida Fellowship Centre nchi hiyo imekuwa ikifadhili shahada za uzimivu katika masuala mbalimbali kwa baadhi ya wanafunzi kutoka Tanzania na nchi zingine zinazoendelea.

Habari za kufungwa kwa ubalozi wake Denmark ni za kustua kwa wengi kwani zinagusa kila anehusika moja kwa moja na misaada yake kwa nchi zinazoendelea na pia wale wanohusika moja kwa moja na usimamizi wa mfuko huo kwa Tanzania, maofisa ubalozi ambao wengi wamezoea nchi yetu na hata kuzungumza kiswahili sanifu na pia watumishi wa kitanzania ambao wamekuwa wakifanya kazi ubalozi hapo.

Sababu kubwa ya Denmark kufunga ubalozi wake imesemwa kuwa ni kutaka kupata muda wa kujipanga upya na kutengeneza upya mikakati yake ya sera ya nje na mwelekeo wa mkakati mpya wa dunia au "New Global Stretegy".

Lakini pia ni suali la kuuliza je kwanini Denmark ije na uamuzi huo sasa?, je wamegundua kitu gani? na je, wataendelea kutoa msaada kwa Tanzania baada ya 2024?

Au je, wameona tunatumbua tena fedha zao ambazo kuna kipindi zilikuwa zikitumika ipasavyo?

Haya ni masuali ambayo yanapaswa kujibiwa na waziri mhusika wa mambo ya nje balozi Mulamula na maelezo hata ya alert tu kuwa Denmark kufunga ubalozi wao ulodumu nchini Tanzania tangu mwaka 1963.

Lakini cha msingi kwa sasa ningependa kushauri kwamba hili ni jambo la dharura, kuwa mdau wetu mkubwa wa maendeleo Denmark anafunga ubalozi wake ifikapo 2024.

Hivyo Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lingechukua hatua za kuitisha kikao cha dharura kujadili uamuzi huo wa Denmark na kwamba ni hatua zipi zitafuatwa kujaribu kutafuta kama Denmark inaweza kubadili msimamo wake huko mbele wa kuisaidia Tanzania kupitia njia zingine.

Waziri wa mambo ya nje anapaswa kutoa taarifa rasmi ya serikali bungeni kuelezea uamuzi huo wa Denmark.
Sasa Denmark itaitwa Beberu.
 

Beberu ni mtu serious:

1. Kwamba alituonaje kwenye upigaji nyungu?
2. Kwamba hakusikia tukisema alikuwa na vita vya kiuchumi dhidi yetu?
3. Kwamba hakusikia tulikuwa nchi tajiri?
4. Kwamba hakusikia tukimtuhumu kupanga kutumaliza kwa chanjo?
5. Kwamba hakutusikia tukijishasha kuwa beberu alilenga kujipatia pesa toka kwetu kwenye janga hili?
6. Kwamba haoni ukiukwaji wa haki za binadamu unaoendelea?
7. Kwamba haoni wizi kwa mujibu CAG?
8. Kwamba haoni tusivyojitahidi hata kupambana na Corona hata leo?
9. Kwamba anaona tunashaurika?
10. Kwamba anaona tuna utu?
11. Nk

Huoni ndege wa kufanana huruka pamoja? Burundi ni mwenzetu KIMKAKATI.
 
na

Leo hii turkey apigii mtu magoti, wametengeneza ustaarabu wao wanauishi, leo hii wale wanazidi kuchanua na kusonga mbele kiuchumi, kiteknolojia na kila kitu...

Huku kuna majitu yanataka tuendelee kuimbia mapambio wazungu ambao walikuwa wakoloni tumewasoma kwenye historia walivyotesa mababu zetu halafu eti tuanze kulambana matako.....

Africa ijifunze kujisimamia sasa na kuhimiza watu wake kufanya kazi kwa bidii na kujisimamia kwa lolote huku tukiacha hizi tabia za kulamba lamba wazungu na kujibebisha kwao...
Hiyo uturuki unayoizungumzia sasa ivi currency yao ipo hoi baada ya kuwekewa vikwazo na marekani.

Hapa tulipo tutaongea maneno mengi ya kupeana moyo.lakini ukweli utabaki pale pale kwamba wazungu wameushikilia uchumi wa dunia na wana uwezo wa kuyumbisha uchumi wa nchi yoyote wakiamua.
 
Ni matokeo ya Tundu Lissu kuichafua nchi nje ya nchi, Bunge msipoteze muda kwa ujinga kama huu, waTZ tutaprevail tu, hawa wapinzani uchwara wanaoomba nchi yao ikose hela kwa manufaa yao ya kisiasa watashindwa tu, TZ will stand always
Hebu na wewe weka hapa mchango wako kwa taifa ni upi ili tujue taifa litakacho pata mbadala wa madenishi.
 
Kama tulivyosikia Denmark ambae ni moja ya nchi mshirika mkubwa na mdau wa maendeleo wa nchi yetu "Development partners" wanafunga ubalozi wao Tanzania ifikapo 2024.

Denmark walianzisha ushirikiano wa kimandeleo na Tanzania mara tu nchi yetu ilipopata uhuru wake mwaka 1963.

Kupitia mfuko wake wa maendeleo ujulikanao kwa jina la DANIDA Denmark imekuwa mdau mkubwa ambae amekuwa akitoa fedha za maendeleo kwenye maeneo kama haki za binadamu, ukuzaji demokrasia, utawala bora, utulivu na usalama, vita dhidi ya ugaidi, misaada ya wakimbizi na mazingira.

Pia DANIDA imekuwa ikisaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi.

Kupitia mfuko wake wa Danida Fellowship Centre nchi hiyo imekuwa ikifadhili shahada za uzimivu katika masuala mbalimbali kwa baadhi ya wanafunzi kutoka Tanzania na nchi zingine zinazoendelea.

Habari za kufungwa kwa ubalozi wake Denmark ni za kustua kwa wengi kwani zinagusa kila anehusika moja kwa moja na misaada yake kwa nchi zinazoendelea na pia wale wanohusika moja kwa moja na usimamizi wa mfuko huo kwa Tanzania, maofisa ubalozi ambao wengi wamezoea nchi yetu na hata kuzungumza kiswahili sanifu na pia watumishi wa kitanzania ambao wamekuwa wakifanya kazi ubalozi hapo.

Sababu kubwa ya Denmark kufunga ubalozi wake imesemwa kuwa ni kutaka kupata muda wa kujipanga upya na kutengeneza upya mikakati yake ya sera ya nje na mwelekeo wa mkakati mpya wa dunia au "New Global Stretegy".

Lakini pia ni suali la kuuliza je kwanini Denmark ije na uamuzi huo sasa?, je wamegundua kitu gani? na je, wataendelea kutoa msaada kwa Tanzania baada ya 2024?

Au je, wameona tunatumbua tena fedha zao ambazo kuna kipindi zilikuwa zikitumika ipasavyo?

Haya ni masuali ambayo yanapaswa kujibiwa na waziri mhusika wa mambo ya nje balozi Mulamula na maelezo hata ya alert tu kuwa Denmark kufunga ubalozi wao ulodumu nchini Tanzania tangu mwaka 1963.

Lakini cha msingi kwa sasa ningependa kushauri kwamba hili ni jambo la dharura, kuwa mdau wetu mkubwa wa maendeleo Denmark anafunga ubalozi wake ifikapo 2024.

Hivyo Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lingechukua hatua za kuitisha kikao cha dharura kujadili uamuzi huo wa Denmark na kwamba ni hatua zipi zitafuatwa kujaribu kutafuta kama Denmark inaweza kubadili msimamo wake huko mbele wa kuisaidia Tanzania kupitia njia zingine.

Waziri wa mambo ya nje anapaswa kutoa taarifa rasmi ya serikali bungeni kuelezea uamuzi huo wa Denmark.
Hili Bunge halina ubavu wa kuzungumzia suala hili. Inteligensia ya Denmark sio mchezo, ni high level, wameshaona kabisa muelekeo wa Nchi, kwahiyo hawataki yawapate ya kuwapata.

Wameona kabisa kuna kupoteza muelekeo kama Nchi na hawakutegemea hali kama hii kwa Tanzania. Hizi ni Nchi zinazojitambua sana.

Ni alert kwa Serikali yetu, watafuata wengi kufunga Balozi zao.p
 
Siku tukipata upinzani wa kweli nitafurahi sana, siyo hawa wahuni wanaotaka ubunge na ujinga mwingine! Kifupi mzee wapinzani wetu njaa kali, wanajali matumbo yao tu, kwa sasa wanachoangalia ni jinsi gani Samia anaweza kuwatua, in the process nao wapate hela
Wewe Katambi karai tulia
 
Uamuzi wa Dernmark kufunga baadhi ya balozi zake duniani ni KUJITAFAKARI.....wameelezea bayana tu........

Wanafunga balozi zao ikiwemo ya ARGENTINA ,CHINA ,UHISPANIA na kwengineko....."issue" siyo Tanzania tu.......
 
Kama tulivyosikia Denmark ambae ni moja ya nchi mshirika mkubwa na mdau wa maendeleo wa nchi yetu "Development partners" wanafunga ubalozi wao Tanzania ifikapo 2024.

Denmark walianzisha ushirikiano wa kimandeleo na Tanzania mara tu nchi yetu ilipopata uhuru wake mwaka 1963.

Kupitia mfuko wake wa maendeleo ujulikanao kwa jina la DANIDA Denmark imekuwa mdau mkubwa ambae amekuwa akitoa fedha za maendeleo kwenye maeneo kama haki za binadamu, ukuzaji demokrasia, utawala bora, utulivu na usalama, vita dhidi ya ugaidi, misaada ya wakimbizi na mazingira.

Pia DANIDA imekuwa ikisaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi.

Kupitia mfuko wake wa Danida Fellowship Centre nchi hiyo imekuwa ikifadhili shahada za uzimivu katika masuala mbalimbali kwa baadhi ya wanafunzi kutoka Tanzania na nchi zingine zinazoendelea.

Habari za kufungwa kwa ubalozi wake Denmark ni za kustua kwa wengi kwani zinagusa kila anehusika moja kwa moja na misaada yake kwa nchi zinazoendelea na pia wale wanohusika moja kwa moja na usimamizi wa mfuko huo kwa Tanzania, maofisa ubalozi ambao wengi wamezoea nchi yetu na hata kuzungumza kiswahili sanifu na pia watumishi wa kitanzania ambao wamekuwa wakifanya kazi ubalozi hapo.

Sababu kubwa ya Denmark kufunga ubalozi wake imesemwa kuwa ni kutaka kupata muda wa kujipanga upya na kutengeneza upya mikakati yake ya sera ya nje na mwelekeo wa mkakati mpya wa dunia au "New Global Stretegy".

Lakini pia ni suali la kuuliza je kwanini Denmark ije na uamuzi huo sasa?, je wamegundua kitu gani? na je, wataendelea kutoa msaada kwa Tanzania baada ya 2024?

Au je, wameona tunatumbua tena fedha zao ambazo kuna kipindi zilikuwa zikitumika ipasavyo?

Haya ni masuali ambayo yanapaswa kujibiwa na waziri mhusika wa mambo ya nje balozi Mulamula na maelezo hata ya alert tu kuwa Denmark kufunga ubalozi wao ulodumu nchini Tanzania tangu mwaka 1963.

Lakini cha msingi kwa sasa ningependa kushauri kwamba hili ni jambo la dharura, kuwa mdau wetu mkubwa wa maendeleo Denmark anafunga ubalozi wake ifikapo 2024.

Hivyo Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lingechukua hatua za kuitisha kikao cha dharura kujadili uamuzi huo wa Denmark na kwamba ni hatua zipi zitafuatwa kujaribu kutafuta kama Denmark inaweza kubadili msimamo wake huko mbele wa kuisaidia Tanzania kupitia njia zingine.

Waziri wa mambo ya nje anapaswa kutoa taarifa rasmi ya serikali bungeni kuelezea uamuzi huo wa Denmark.

Haya mambo yanahitaji kujadiliwa bungeni na si gengeni. Bahati nzuri ni kwamba, ninazidi kuthibitisha mtazamo wangu wa tangu zamani kwa watu wenye vichwa vyenye maumbo kama la kichwa cha yule. Usitegemee mjadala wa masuala ya maana, ufikie hitimisho la maana chini yake.
 
Tuache UPOTOSHAJI......

Ni hivi....

Bayana iliyoelezwa na WIZARA YAO YA MAMBO YA NJE inatokana na wao kutaka kutafakari baada ya WATALIBANI kuichukua tena nchi ya Afghanistan wiki chache tu zilizopita......

Ikumbukwe hawa DERNMARK walishawahi kuambiwa na msemaji wa Taliban aitwaye Zabihullah Mujahid kuwa kama hawatochagua(kura) chama/vyama vyenye sera ya kupeleka vikosi nchini Afghanistan basi HAWATOPATWA NA KITISHO CHOCHOTE....

Itoshe kusema kuwa Dernmark wameamua KUJITAFAKARI na sera zao za nje baada ya muda mrefu kuwekeza katika DEMOKRASIA na mengineyo na si "issue" ya kutengenezwa visingizio feki kwa Tanzania....

#SiempreJMT
 
Kama tulivyosikia Denmark ambae ni moja ya nchi mshirika mkubwa na mdau wa maendeleo wa nchi yetu "Development partners" wanafunga ubalozi wao Tanzania ifikapo 2024.

Denmark walianzisha ushirikiano wa kimandeleo na Tanzania mara tu nchi yetu ilipopata uhuru wake mwaka 1963.

Kupitia mfuko wake wa maendeleo ujulikanao kwa jina la DANIDA Denmark imekuwa mdau mkubwa ambae amekuwa akitoa fedha za maendeleo kwenye maeneo kama haki za binadamu, ukuzaji demokrasia, utawala bora, utulivu na usalama, vita dhidi ya ugaidi, misaada ya wakimbizi na mazingira.

Pia DANIDA imekuwa ikisaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi.

Kupitia mfuko wake wa Danida Fellowship Centre nchi hiyo imekuwa ikifadhili shahada za uzimivu katika masuala mbalimbali kwa baadhi ya wanafunzi kutoka Tanzania na nchi zingine zinazoendelea.

Habari za kufungwa kwa ubalozi wake Denmark ni za kustua kwa wengi kwani zinagusa kila anehusika moja kwa moja na misaada yake kwa nchi zinazoendelea na pia wale wanohusika moja kwa moja na usimamizi wa mfuko huo kwa Tanzania, maofisa ubalozi ambao wengi wamezoea nchi yetu na hata kuzungumza kiswahili sanifu na pia watumishi wa kitanzania ambao wamekuwa wakifanya kazi ubalozi hapo.

Sababu kubwa ya Denmark kufunga ubalozi wake imesemwa kuwa ni kutaka kupata muda wa kujipanga upya na kutengeneza upya mikakati yake ya sera ya nje na mwelekeo wa mkakati mpya wa dunia au "New Global Stretegy".

Lakini pia ni suali la kuuliza je kwanini Denmark ije na uamuzi huo sasa?, je wamegundua kitu gani? na je, wataendelea kutoa msaada kwa Tanzania baada ya 2024?

Au je, wameona tunatumbua tena fedha zao ambazo kuna kipindi zilikuwa zikitumika ipasavyo?

Haya ni masuali ambayo yanapaswa kujibiwa na waziri mhusika wa mambo ya nje balozi Mulamula na maelezo hata ya alert tu kuwa Denmark kufunga ubalozi wao ulodumu nchini Tanzania tangu mwaka 1963.

Lakini cha msingi kwa sasa ningependa kushauri kwamba hili ni jambo la dharura, kuwa mdau wetu mkubwa wa maendeleo Denmark anafunga ubalozi wake ifikapo 2024.

Hivyo Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lingechukua hatua za kuitisha kikao cha dharura kujadili uamuzi huo wa Denmark na kwamba ni hatua zipi zitafuatwa kujaribu kutafuta kama Denmark inaweza kubadili msimamo wake huko mbele wa kuisaidia Tanzania kupitia njia zingine.

Waziri wa mambo ya nje anapaswa kutoa taarifa rasmi ya serikali bungeni kuelezea uamuzi huo wa Denmark.
Si mmesema ni mabeberu..!?
 
Kama tulivyosikia Denmark ambae ni moja ya nchi mshirika mkubwa na mdau wa maendeleo wa nchi yetu "Development partners" wanafunga ubalozi wao Tanzania ifikapo 2024.

Denmark walianzisha ushirikiano wa kimandeleo na Tanzania mara tu nchi yetu ilipopata uhuru wake mwaka 1963.

Kupitia mfuko wake wa maendeleo ujulikanao kwa jina la DANIDA Denmark imekuwa mdau mkubwa ambae amekuwa akitoa fedha za maendeleo kwenye maeneo kama haki za binadamu, ukuzaji demokrasia, utawala bora, utulivu na usalama, vita dhidi ya ugaidi, misaada ya wakimbizi na mazingira.

Pia DANIDA imekuwa ikisaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi.

Kupitia mfuko wake wa Danida Fellowship Centre nchi hiyo imekuwa ikifadhili shahada za uzimivu katika masuala mbalimbali kwa baadhi ya wanafunzi kutoka Tanzania na nchi zingine zinazoendelea.

Habari za kufungwa kwa ubalozi wake Denmark ni za kustua kwa wengi kwani zinagusa kila anehusika moja kwa moja na misaada yake kwa nchi zinazoendelea na pia wale wanohusika moja kwa moja na usimamizi wa mfuko huo kwa Tanzania, maofisa ubalozi ambao wengi wamezoea nchi yetu na hata kuzungumza kiswahili sanifu na pia watumishi wa kitanzania ambao wamekuwa wakifanya kazi ubalozi hapo.

Sababu kubwa ya Denmark kufunga ubalozi wake imesemwa kuwa ni kutaka kupata muda wa kujipanga upya na kutengeneza upya mikakati yake ya sera ya nje na mwelekeo wa mkakati mpya wa dunia au "New Global Stretegy".

Lakini pia ni suali la kuuliza je kwanini Denmark ije na uamuzi huo sasa?, je wamegundua kitu gani? na je, wataendelea kutoa msaada kwa Tanzania baada ya 2024?

Au je, wameona tunatumbua tena fedha zao ambazo kuna kipindi zilikuwa zikitumika ipasavyo?

Haya ni masuali ambayo yanapaswa kujibiwa na waziri mhusika wa mambo ya nje balozi Mulamula na maelezo hata ya alert tu kuwa Denmark kufunga ubalozi wao ulodumu nchini Tanzania tangu mwaka 1963.

Lakini cha msingi kwa sasa ningependa kushauri kwamba hili ni jambo la dharura, kuwa mdau wetu mkubwa wa maendeleo Denmark anafunga ubalozi wake ifikapo 2024.

Hivyo Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lingechukua hatua za kuitisha kikao cha dharura kujadili uamuzi huo wa Denmark na kwamba ni hatua zipi zitafuatwa kujaribu kutafuta kama Denmark inaweza kubadili msimamo wake huko mbele wa kuisaidia Tanzania kupitia njia zingine.

Waziri wa mambo ya nje anapaswa kutoa taarifa rasmi ya serikali bungeni kuelezea uamuzi huo wa Denmark.
Bunge la ndugai au bunge lipi hilo
 
Back
Top Bottom