Bunge liitishe kikao cha dharura kujadili kufungwa kwa ubalozi wa Denmark 2024

Bunge liitishe kikao cha dharura kujadili kufungwa kwa ubalozi wa Denmark 2024

Waende zao! Hatuna haja ya misaada ya masimango, na masharti magumu ya riba.
 
Kama tulivyosikia Denmark ambae ni moja ya nchi mshirika mkubwa na mdau wa maendeleo wa nchi yetu "Development partners" wanafunga ubalozi wao Tanzania ifikapo 2024.

Denmark walianzisha ushirikiano wa kimandeleo na Tanzania mara tu nchi yetu ilipopata uhuru wake mwaka 1963.

Kupitia mfuko wake wa maendeleo ujulikanao kwa jina la DANIDA Denmark imekuwa mdau mkubwa ambae amekuwa akitoa fedha za maendeleo kwenye maeneo kama haki za binadamu, ukuzaji demokrasia, utawala bora, utulivu na usalama, vita dhidi ya ugaidi, misaada ya wakimbizi na mazingira.

Pia DANIDA imekuwa ikisaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi.

Kupitia mfuko wake wa Danida Fellowship Centre nchi hiyo imekuwa ikifadhili shahada za uzimivu katika masuala mbalimbali kwa baadhi ya wanafunzi kutoka Tanzania na nchi zingine zinazoendelea.

Habari za kufungwa kwa ubalozi wake Denmark ni za kustua kwa wengi kwani zinagusa kila anehusika moja kwa moja na misaada yake kwa nchi zinazoendelea na pia wale wanohusika moja kwa moja na usimamizi wa mfuko huo kwa Tanzania, maofisa ubalozi ambao wengi wamezoea nchi yetu na hata kuzungumza kiswahili sanifu na pia watumishi wa kitanzania ambao wamekuwa wakifanya kazi ubalozi hapo.

Sababu kubwa ya Denmark kufunga ubalozi wake imesemwa kuwa ni kutaka kupata muda wa kujipanga upya na kutengeneza upya mikakati yake ya sera ya nje na mwelekeo wa mkakati mpya wa dunia au "New Global Stretegy".

Lakini pia ni suali la kuuliza je kwanini Denmark ije na uamuzi huo sasa?, je wamegundua kitu gani? na je, wataendelea kutoa msaada kwa Tanzania baada ya 2024?

Au je, wameona tunatumbua tena fedha zao ambazo kuna kipindi zilikuwa zikitumika ipasavyo?

Haya ni masuali ambayo yanapaswa kujibiwa na waziri mhusika wa mambo ya nje balozi Mulamula na maelezo hata ya alert tu kuwa Denmark kufunga ubalozi wao ulodumu nchini Tanzania tangu mwaka 1963.

Lakini cha msingi kwa sasa ningependa kushauri kwamba hili ni jambo la dharura, kuwa mdau wetu mkubwa wa maendeleo Denmark anafunga ubalozi wake ifikapo 2024.

Hivyo Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lingechukua hatua za kuitisha kikao cha dharura kujadili uamuzi huo wa Denmark na kwamba ni hatua zipi zitafuatwa kujaribu kutafuta kama Denmark inaweza kubadili msimamo wake huko mbele wa kuisaidia Tanzania kupitia njia zingine.

Waziri wa mambo ya nje anapaswa kutoa taarifa rasmi ya serikali bungeni kuelezea uamuzi huo wa Denmark.
Bunge hilo hilo (kamati ndogo y chama) limehusika au kufumbia macho ulaji, muulize CAG Asadi, halafu likae kujadili nini?

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Samia alikuwa kwenye njia sahihi. Wengi walimpenda na kumheshimu, hata wale wa nje ya chama chake.

Wahafidhina ndani ya CCM hawakufurahia hali ile. Walitaka Samia awe kwenye ugomvi na vyama vya upinzani. Wakayafuta namna ya kumfitinisha ili achukiwe na vyama vya upinzani, watamzania wanaotaka haki, na jamii ya kimataifa. Majali pekee walipoona wanaweza kupiga ndege watatu kwa jiwe 1. Jiwe hilo likawa ni kumkamata Mbowe na kumbambikia kesi ya ugaidi. Samia bila kujitambua, akaingia miguu yote miwili, ghafla akanuka kila mahali.
Mbowe atakuwa nje soon, kesi yake haina mashiko, na ataenda Ikulu ataongea na Rais yataisha Mkuu, lets tuwe na kasubira kadogo hamna haja ya kumtukana, anajitahidi kwa uwezo wake
 
Kama tulivyosikia Denmark ambae ni moja ya nchi mshirika mkubwa na mdau wa maendeleo wa nchi yetu "Development partners" wanafunga ubalozi wao Tanzania ifikapo 2024.

Denmark walianzisha ushirikiano wa kimandeleo na Tanzania mara tu nchi yetu ilipopata uhuru wake mwaka 1963.

Kupitia mfuko wake wa maendeleo ujulikanao kwa jina la DANIDA Denmark imekuwa mdau mkubwa ambae amekuwa akitoa fedha za maendeleo kwenye maeneo kama haki za binadamu, ukuzaji demokrasia, utawala bora, utulivu na usalama, vita dhidi ya ugaidi, misaada ya wakimbizi na mazingira.

Pia DANIDA imekuwa ikisaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi.

Kupitia mfuko wake wa Danida Fellowship Centre nchi hiyo imekuwa ikifadhili shahada za uzimivu katika masuala mbalimbali kwa baadhi ya wanafunzi kutoka Tanzania na nchi zingine zinazoendelea.

Habari za kufungwa kwa ubalozi wake Denmark ni za kustua kwa wengi kwani zinagusa kila anehusika moja kwa moja na misaada yake kwa nchi zinazoendelea na pia wale wanohusika moja kwa moja na usimamizi wa mfuko huo kwa Tanzania, maofisa ubalozi ambao wengi wamezoea nchi yetu na hata kuzungumza kiswahili sanifu na pia watumishi wa kitanzania ambao wamekuwa wakifanya kazi ubalozi hapo.

Sababu kubwa ya Denmark kufunga ubalozi wake imesemwa kuwa ni kutaka kupata muda wa kujipanga upya na kutengeneza upya mikakati yake ya sera ya nje na mwelekeo wa mkakati mpya wa dunia au "New Global Stretegy".

Lakini pia ni suali la kuuliza je kwanini Denmark ije na uamuzi huo sasa?, je wamegundua kitu gani? na je, wataendelea kutoa msaada kwa Tanzania baada ya 2024?

Au je, wameona tunatumbua tena fedha zao ambazo kuna kipindi zilikuwa zikitumika ipasavyo?

Haya ni masuali ambayo yanapaswa kujibiwa na waziri mhusika wa mambo ya nje balozi Mulamula na maelezo hata ya alert tu kuwa Denmark kufunga ubalozi wao ulodumu nchini Tanzania tangu mwaka 1963.

Lakini cha msingi kwa sasa ningependa kushauri kwamba hili ni jambo la dharura, kuwa mdau wetu mkubwa wa maendeleo Denmark anafunga ubalozi wake ifikapo 2024.

Hivyo Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lingechukua hatua za kuitisha kikao cha dharura kujadili uamuzi huo wa Denmark na kwamba ni hatua zipi zitafuatwa kujaribu kutafuta kama Denmark inaweza kubadili msimamo wake huko mbele wa kuisaidia Tanzania kupitia njia zingine.

Waziri wa mambo ya nje anapaswa kutoa taarifa rasmi ya serikali bungeni kuelezea uamuzi huo wa Denmark.
Ni kwa Tanzania tuu?!!Tuanzie hapo kwanza.
 
Kama tulivyosikia Denmark ambae ni moja ya nchi mshirika mkubwa na mdau wa maendeleo wa nchi yetu "Development partners" wanafunga ubalozi wao Tanzania ifikapo 2024.

Denmark walianzisha ushirikiano wa kimandeleo na Tanzania mara tu nchi yetu ilipopata uhuru wake mwaka 1963.

Kupitia mfuko wake wa maendeleo ujulikanao kwa jina la DANIDA Denmark imekuwa mdau mkubwa ambae amekuwa akitoa fedha za maendeleo kwenye maeneo kama haki za binadamu, ukuzaji demokrasia, utawala bora, utulivu na usalama, vita dhidi ya ugaidi, misaada ya wakimbizi na mazingira.

Pia DANIDA imekuwa ikisaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi.

Kupitia mfuko wake wa Danida Fellowship Centre nchi hiyo imekuwa ikifadhili shahada za uzimivu katika masuala mbalimbali kwa baadhi ya wanafunzi kutoka Tanzania na nchi zingine zinazoendelea.

Habari za kufungwa kwa ubalozi wake Denmark ni za kustua kwa wengi kwani zinagusa kila anehusika moja kwa moja na misaada yake kwa nchi zinazoendelea na pia wale wanohusika moja kwa moja na usimamizi wa mfuko huo kwa Tanzania, maofisa ubalozi ambao wengi wamezoea nchi yetu na hata kuzungumza kiswahili sanifu na pia watumishi wa kitanzania ambao wamekuwa wakifanya kazi ubalozi hapo.

Sababu kubwa ya Denmark kufunga ubalozi wake imesemwa kuwa ni kutaka kupata muda wa kujipanga upya na kutengeneza upya mikakati yake ya sera ya nje na mwelekeo wa mkakati mpya wa dunia au "New Global Stretegy".

Lakini pia ni suali la kuuliza je kwanini Denmark ije na uamuzi huo sasa?, je wamegundua kitu gani? na je, wataendelea kutoa msaada kwa Tanzania baada ya 2024?

Au je, wameona tunatumbua tena fedha zao ambazo kuna kipindi zilikuwa zikitumika ipasavyo?

Haya ni masuali ambayo yanapaswa kujibiwa na waziri mhusika wa mambo ya nje balozi Mulamula na maelezo hata ya alert tu kuwa Denmark kufunga ubalozi wao ulodumu nchini Tanzania tangu mwaka 1963.

Lakini cha msingi kwa sasa ningependa kushauri kwamba hili ni jambo la dharura, kuwa mdau wetu mkubwa wa maendeleo Denmark anafunga ubalozi wake ifikapo 2024.

Hivyo Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lingechukua hatua za kuitisha kikao cha dharura kujadili uamuzi huo wa Denmark na kwamba ni hatua zipi zitafuatwa kujaribu kutafuta kama Denmark inaweza kubadili msimamo wake huko mbele wa kuisaidia Tanzania kupitia njia zingine.

Waziri wa mambo ya nje anapaswa kutoa taarifa rasmi ya serikali bungeni kuelezea uamuzi huo wa Denmark.
Kwa hiyo bunge litabadili maamuzi. umesema sababu ni global development strategy kumbe sio personal na uhusiano wake na Tanzania. Bunge halibitajiki kukaa hata kama sababu zingekuwa personal. Let us live our life, ya nini tusum uke eti tutanyimwa misaada. hatuka wafukara kiasi hicho.
 
Si kweli, nchi gani ina demokrasia perfect duniani kwa sasa?
Hata vitabu vya dini ukivisoma,watu hawakuelewana kwa imani moja walifikia hata manabii kuwauwa,haya ndio maisha ya kutofautiana hata kwenye familia tunatofautiana.
 
Sawa Mkuu, then tunafanya nini kutoka hapa tulipo?

Tunahitaji mustakabala mpya wa matangamano. Uliopo haufanyi kazi.

Kama bunge, mahakama na serikali vingekuwa mihimili iliyo sawa na yenye kujichimbia sawa sawa, uwajibikaji kwa raia ungekuwepo.

Katiba mpya tofauti na iliyopo, itatuvusha.
 
Tumeamua kuukubali ujinga na kuukataa ukweli. Wenye akili wataondoka wengi. Nchi imekuwa ya ajabu sana hii
 
Hizi ni balozi za Danmark Africa
Ni Tanzania tu wanafunga. Ni nini kimetokea?
Je na wenzao katika Nordic group (Norway, Sweden na Finland) wana mipango hiyo?
South Africa hawana!?
 
Kilicho dhahiri ni kuwa Dernmark imetukia lugha ya diplomasia, waziri wao anaposema jukumu lake la msingi ni usalama wa Dernamark wakati ulimwengu unapitia nyakati ambazo demokrasia na haki za watu vikigandamizwa. Sentensi hii imebeba ujumbe mzito.

Hayo marekebisho ya sera ya nje, kwa jini yahusishe kufungwa kwa ubalozi wao Tanzania tu, na isiwe Ghana, Zambia, Botswana au Kenya? Kwa nini Tanzania tu?

Ugandamizaji wa demokrasia, uhuru na haki za watu, ndiyo sababu kubwa.

Dernmark imekuwa ikitoa pesa nyingi kuisaidia serikali kujenga taasisi za kidemokrasia, lakini kinyume chake, udikteta ndiyo unazidi kuimarika. Kwa nini aendelee kupoteza pesa yake?

Tungekuwa na Bunge, lingem-task Waziri Mkuu, aeleze kwa nini demokrasia, haki za watu na uhuru wa watu, vinazidi kudidimia kiasi cha kufikia Dernmark kuamua kufunga ubalozi wake. Lakini, hata hilo tunaloita Bunge, ni genge tu la wahuni lililotengenezwa na mtu mmoja. Ni zao la ukanyagaji wa demokrasia. Genge hili haliwezi kuiwajibisha Serikali kwa sababu na lenyewe ni tunda la uovu.
Wengi wamesoma juujuu tu. Ila Denmark wanafunga ofisi Tanzania kwa sababu chanya kabisa. Walifungua ofisi ya ubalozi mwaka 1963 kwa ushwishi wa J K Nyerere ili kutusaidia kwenye maeneo ya elimu, afya, maji na utawala Bora. Baada ya miaka 60 wametathmini wameona tumepiga hatua kubwa, hivyo basi ni not waende wakatumie raslimali zao kwenye nchi zilizo na uhitaji zaidi za eneo la Sahel.

Nchi za Sahel ni Mauritania, Mali, Niger, Burkina Faso and Chad zina face "many challenges, including chronic insecurity, rising extremism, a lack of economic prospects, and poor access to education, employment and essential services such as water and electricity. Climate change is weakening the region even more" (Google).

Namnukuu Balozi anasema; "Kipaumbele changu kama Waziri wa Mambo ya nje ni kuhakikisha usalama wa watu wa Denmark katika ulimwengu ambao demokrasia, haki za binadamu, na madili yetu vinakandamizwa."

Kwa maneno hayo wanakokwenda ni kule kunakokandamiza haki za binadamu yaani Mauritania, Mali, Niger na Chad.

Kama unabisha nenda katafute democracy index kwenye ripoti ya Economic Intelligence Unit (EIU)

 
Kama tulivyosikia Denmark ambae ni moja ya nchi mshirika mkubwa na mdau wa maendeleo wa nchi yetu "Development partners" wanafunga ubalozi wao Tanzania ifikapo 2024.

Denmark walianzisha ushirikiano wa kimandeleo na Tanzania mara tu nchi yetu ilipopata uhuru wake mwaka 1963.

Kupitia mfuko wake wa maendeleo ujulikanao kwa jina la DANIDA Denmark imekuwa mdau mkubwa ambae amekuwa akitoa fedha za maendeleo kwenye maeneo kama haki za binadamu, ukuzaji demokrasia, utawala bora, utulivu na usalama, vita dhidi ya ugaidi, misaada ya wakimbizi na mazingira.

Pia DANIDA imekuwa ikisaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi.

Kupitia mfuko wake wa Danida Fellowship Centre nchi hiyo imekuwa ikifadhili shahada za uzimivu katika masuala mbalimbali kwa baadhi ya wanafunzi kutoka Tanzania na nchi zingine zinazoendelea.

Habari za kufungwa kwa ubalozi wake Denmark ni za kustua kwa wengi kwani zinagusa kila anehusika moja kwa moja na misaada yake kwa nchi zinazoendelea na pia wale wanohusika moja kwa moja na usimamizi wa mfuko huo kwa Tanzania, maofisa ubalozi ambao wengi wamezoea nchi yetu na hata kuzungumza kiswahili sanifu na pia watumishi wa kitanzania ambao wamekuwa wakifanya kazi ubalozi hapo.

Sababu kubwa ya Denmark kufunga ubalozi wake imesemwa kuwa ni kutaka kupata muda wa kujipanga upya na kutengeneza upya mikakati yake ya sera ya nje na mwelekeo wa mkakati mpya wa dunia au "New Global Stretegy".

Lakini pia ni suali la kuuliza je kwanini Denmark ije na uamuzi huo sasa?, je wamegundua kitu gani? na je, wataendelea kutoa msaada kwa Tanzania baada ya 2024?

Au je, wameona tunatumbua tena fedha zao ambazo kuna kipindi zilikuwa zikitumika ipasavyo?

Haya ni masuali ambayo yanapaswa kujibiwa na waziri mhusika wa mambo ya nje balozi Mulamula na maelezo hata ya alert tu kuwa Denmark kufunga ubalozi wao ulodumu nchini Tanzania tangu mwaka 1963.

Lakini cha msingi kwa sasa ningependa kushauri kwamba hili ni jambo la dharura, kuwa mdau wetu mkubwa wa maendeleo Denmark anafunga ubalozi wake ifikapo 2024.

Hivyo Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lingechukua hatua za kuitisha kikao cha dharura kujadili uamuzi huo wa Denmark na kwamba ni hatua zipi zitafuatwa kujaribu kutafuta kama Denmark inaweza kubadili msimamo wake huko mbele wa kuisaidia Tanzania kupitia njia zingine.

Waziri wa mambo ya nje anapaswa kutoa taarifa rasmi ya serikali bungeni kuelezea uamuzi huo wa Denmark.
Huyu mama na chama chake wanavurunda vibaya tuamke!
 
Mkuu ishu ya mbowe ina utata mwingi sana, unaonaje tusubiri tuone ushahidi utaoletwa mahakami upoje, sidhani kama mpenda demokrasia yeyote anapenda Mbowe kuwa ndani muda huu, ila ngoja tuone nini wanasema hawa wanasheria!! Kwa upande wangu natamani Mbowe aachiwe huru, Mwamba ana mchango mkubwa kwa taifa hili, hamna mtu hajawahi kukosea, serikali ijifikirie kwa hilo
Hatuna namna Mkuu. Tutalazimika kusubiria maamuzi ya mahakama lakini inaonekana wazi toka mwanzo, Serikali inajua kuwa Mbowe hana kesi, hivyo ataachiwa na mahakama. Lakini wao lengo lao litakuwa limetimia, maana nia ni kumtesa, kumsumbua na kumtisha.

Mashtaka yenyewe ni ya kijinga kabisa.

1) Utafiti wa kitaalamu Duniani unaonesha kuwa gharama ya chini kabisa kufanya ugaidi ni dola 10,000 (ndiyo maana ukisafiri na cash kuanzia dola 10,000 kwenda juu unahitajika kupata kibali). Mbowe wanasema alifadhili ugaidi kwa dola 250!! Katika hali ya kawaida inaingia akilini? Uthibitisho kuwa alikuwa anafadhili ugaidi ni kwa sababu aliwatumia hao walinzi wake laki 6. Kama kumtumia mtu laki 6 ni kufadhili uhalifu, wewe na mimi tumefadhili uhalifu mara ngapi?

2) Wanasema mipango ya ugaidi ilikuwa kabla ya uchaguzi 2020. Hivi kweli umegundua hatari ya shambulio la ugaidi, utakaa kimya usubirie mpaka siku anaposema anafanya kikao ndiyo ukamkamate?

3) Eti ugaidi ilikuwa ufanyike kwa kulipua filling stations. Hivi ukalipue vituo vya mafuta, lengo ni kufanya ugaidi dhidi ya wenye vituo vya mafuta, wanaojaza mafuta au kulitisha anga?

Ukiangalia mashtaka yenyewe, ni upumb.avu mtupu. Hata walioorodhesha hayo mashtaka, lengo siyo kushinda kesi. Wanataka washindwe, lakini watakuwa wamefanikiwa kumtesa, na kukatisha harakati zile za kudai katiba.
 
Bunge liite kikao kujadili Denmark kufunga balozi ... Duuuuuh hii mbona hatari
 
Kama tulivyosikia Denmark ambae ni moja ya nchi mshirika mkubwa na mdau wa maendeleo wa nchi yetu "Development partners" wanafunga ubalozi wao Tanzania ifikapo 2024.

Denmark walianzisha ushirikiano wa kimandeleo na Tanzania mara tu nchi yetu ilipopata uhuru wake mwaka 1963.

Kupitia mfuko wake wa maendeleo ujulikanao kwa jina la DANIDA Denmark imekuwa mdau mkubwa ambae amekuwa akitoa fedha za maendeleo kwenye maeneo kama haki za binadamu, ukuzaji demokrasia, utawala bora, utulivu na usalama, vita dhidi ya ugaidi, misaada ya wakimbizi na mazingira.

Pia DANIDA imekuwa ikisaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi.

Kupitia mfuko wake wa Danida Fellowship Centre nchi hiyo imekuwa ikifadhili shahada za uzimivu katika masuala mbalimbali kwa baadhi ya wanafunzi kutoka Tanzania na nchi zingine zinazoendelea.

Habari za kufungwa kwa ubalozi wake Denmark ni za kustua kwa wengi kwani zinagusa kila anehusika moja kwa moja na misaada yake kwa nchi zinazoendelea na pia wale wanohusika moja kwa moja na usimamizi wa mfuko huo kwa Tanzania, maofisa ubalozi ambao wengi wamezoea nchi yetu na hata kuzungumza kiswahili sanifu na pia watumishi wa kitanzania ambao wamekuwa wakifanya kazi ubalozi hapo.

Sababu kubwa ya Denmark kufunga ubalozi wake imesemwa kuwa ni kutaka kupata muda wa kujipanga upya na kutengeneza upya mikakati yake ya sera ya nje na mwelekeo wa mkakati mpya wa dunia au "New Global Stretegy".

Lakini pia ni suali la kuuliza je kwanini Denmark ije na uamuzi huo sasa?, je wamegundua kitu gani? na je, wataendelea kutoa msaada kwa Tanzania baada ya 2024?

Au je, wameona tunatumbua tena fedha zao ambazo kuna kipindi zilikuwa zikitumika ipasavyo?

Haya ni masuali ambayo yanapaswa kujibiwa na waziri mhusika wa mambo ya nje balozi Mulamula na maelezo hata ya alert tu kuwa Denmark kufunga ubalozi wao ulodumu nchini Tanzania tangu mwaka 1963.

Lakini cha msingi kwa sasa ningependa kushauri kwamba hili ni jambo la dharura, kuwa mdau wetu mkubwa wa maendeleo Denmark anafunga ubalozi wake ifikapo 2024.

Hivyo Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lingechukua hatua za kuitisha kikao cha dharura kujadili uamuzi huo wa Denmark na kwamba ni hatua zipi zitafuatwa kujaribu kutafuta kama Denmark inaweza kubadili msimamo wake huko mbele wa kuisaidia Tanzania kupitia njia zingine.

Waziri wa mambo ya nje anapaswa kutoa taarifa rasmi ya serikali bungeni kuelezea uamuzi huo wa Denmark.
MCC ya Marekani ilisitisha ufadhili wake ambao ni mkubwa mara elfu kuliko vimiradi vya visima vya pump vya hao Danida na nchi ilisimama sembuse upumbavu huu inaopendekeza?

Usiwe zwazwa mkuu hao sio wajomba zako,lipa kodi ukiletee maendeleo yako na ya nchi ,hii mambo ya kutegemea hisani ndio maana mnapalatwa huko Ulaya na akina Amsterdam
 
Hatuna namna Mkuu. Tutalazimika kusubiria maamuzi ya mahakama lakini inaonekana wazi toka mwanzo, Serikali inajua kuwa Mbowe hana kesi, hivyo ataachiwa na mahakama. Lakini wao lengo lao litakuwa limetimia, maana nia ni kumtesa, kumsumbua na kumtisha.

Mashtaka yenyewe ni ya kijinga kabisa.

1) Utafiti wa kitaalamu Duniani unaonesha kuwa gharama ya chini kabisa kufanya ugaidi ni dola 10,000 (ndiyo maana ukisafiri na cash kuanzia dola 10,000 kwenda juu unahitajika kupata kibali). Mbowe wanasema alifadhili ugaidi kwa dola 250!! Katika hali ya kawaida inaingia akilini? Uthibitisho kuwa alikuwa anafadhili ugaidi ni kwa sababu aliwatumia hao walinzi wake laki 6. Kama kumtumia mtu laki 6 ni kufadhili uhalifu, wewe na mimi tumefadhili uhalifu mara ngapi?

2) Wanasema mipango ya ugaidi ilikuwa kabla ya uchaguzi 2020. Hivi kweli umegundua hatari ya shambulio la ugaidi, utakaa kimya usubirie mpaka siku anaposema anafanya kikao ndiyo ukamkamate?

3) Eti ugaidi ilikuwa ufanyike kwa kulipua filling stations. Hivi ukalipue vituo vya mafuta, lengo ni kufanya ugaidi dhidi ya wenye vituo vya mafuta, wanaojaza mafuta au kulitisha anga?

Ukiangalia mashtaka yenyewe, ni upumb.avu mtupu. Hata walioorodhesha hayo mashtaka, lengo siyo kushinda kesi. Wanataka washindwe, lakini watakuwa wamefanikiwa kumtesa, na kukatisha harakati zile za kudai katiba.
Mother kabebeshwa tu zigo la Mbowe, its time for her kulitua! Ila Mbowe naye akitoka aache kuroa amri, tunataka hiki na kile, nafikiri kuna njia mbadala za kuomba mkitakacho, Mama yupo tayari, are you?
 
Ndio uwezo wa akili yako ilipofikia wewe Tale Tale. Hao uliowataja wanachangia kiasi kwenye bajeti na huduma za kijamii?
hawatakiwi kuchangia kima wewe! tunatakiwa kukaa na kyfanya nao biashara..bwege wa kike ww!
 
Back
Top Bottom