mfuga kuku
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 824
- 650
Waende zao! Hatuna haja ya misaada ya masimango, na masharti magumu ya riba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bunge hilo hilo (kamati ndogo y chama) limehusika au kufumbia macho ulaji, muulize CAG Asadi, halafu likae kujadili nini?Kama tulivyosikia Denmark ambae ni moja ya nchi mshirika mkubwa na mdau wa maendeleo wa nchi yetu "Development partners" wanafunga ubalozi wao Tanzania ifikapo 2024.
Denmark walianzisha ushirikiano wa kimandeleo na Tanzania mara tu nchi yetu ilipopata uhuru wake mwaka 1963.
Kupitia mfuko wake wa maendeleo ujulikanao kwa jina la DANIDA Denmark imekuwa mdau mkubwa ambae amekuwa akitoa fedha za maendeleo kwenye maeneo kama haki za binadamu, ukuzaji demokrasia, utawala bora, utulivu na usalama, vita dhidi ya ugaidi, misaada ya wakimbizi na mazingira.
Pia DANIDA imekuwa ikisaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi.
Kupitia mfuko wake wa Danida Fellowship Centre nchi hiyo imekuwa ikifadhili shahada za uzimivu katika masuala mbalimbali kwa baadhi ya wanafunzi kutoka Tanzania na nchi zingine zinazoendelea.
Habari za kufungwa kwa ubalozi wake Denmark ni za kustua kwa wengi kwani zinagusa kila anehusika moja kwa moja na misaada yake kwa nchi zinazoendelea na pia wale wanohusika moja kwa moja na usimamizi wa mfuko huo kwa Tanzania, maofisa ubalozi ambao wengi wamezoea nchi yetu na hata kuzungumza kiswahili sanifu na pia watumishi wa kitanzania ambao wamekuwa wakifanya kazi ubalozi hapo.
Sababu kubwa ya Denmark kufunga ubalozi wake imesemwa kuwa ni kutaka kupata muda wa kujipanga upya na kutengeneza upya mikakati yake ya sera ya nje na mwelekeo wa mkakati mpya wa dunia au "New Global Stretegy".
Lakini pia ni suali la kuuliza je kwanini Denmark ije na uamuzi huo sasa?, je wamegundua kitu gani? na je, wataendelea kutoa msaada kwa Tanzania baada ya 2024?
Au je, wameona tunatumbua tena fedha zao ambazo kuna kipindi zilikuwa zikitumika ipasavyo?
Haya ni masuali ambayo yanapaswa kujibiwa na waziri mhusika wa mambo ya nje balozi Mulamula na maelezo hata ya alert tu kuwa Denmark kufunga ubalozi wao ulodumu nchini Tanzania tangu mwaka 1963.
Lakini cha msingi kwa sasa ningependa kushauri kwamba hili ni jambo la dharura, kuwa mdau wetu mkubwa wa maendeleo Denmark anafunga ubalozi wake ifikapo 2024.
Hivyo Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lingechukua hatua za kuitisha kikao cha dharura kujadili uamuzi huo wa Denmark na kwamba ni hatua zipi zitafuatwa kujaribu kutafuta kama Denmark inaweza kubadili msimamo wake huko mbele wa kuisaidia Tanzania kupitia njia zingine.
Waziri wa mambo ya nje anapaswa kutoa taarifa rasmi ya serikali bungeni kuelezea uamuzi huo wa Denmark.
Mbowe atakuwa nje soon, kesi yake haina mashiko, na ataenda Ikulu ataongea na Rais yataisha Mkuu, lets tuwe na kasubira kadogo hamna haja ya kumtukana, anajitahidi kwa uwezo wakeSamia alikuwa kwenye njia sahihi. Wengi walimpenda na kumheshimu, hata wale wa nje ya chama chake.
Wahafidhina ndani ya CCM hawakufurahia hali ile. Walitaka Samia awe kwenye ugomvi na vyama vya upinzani. Wakayafuta namna ya kumfitinisha ili achukiwe na vyama vya upinzani, watamzania wanaotaka haki, na jamii ya kimataifa. Majali pekee walipoona wanaweza kupiga ndege watatu kwa jiwe 1. Jiwe hilo likawa ni kumkamata Mbowe na kumbambikia kesi ya ugaidi. Samia bila kujitambua, akaingia miguu yote miwili, ghafla akanuka kila mahali.
Ni kwa Tanzania tuu?!!Tuanzie hapo kwanza.Kama tulivyosikia Denmark ambae ni moja ya nchi mshirika mkubwa na mdau wa maendeleo wa nchi yetu "Development partners" wanafunga ubalozi wao Tanzania ifikapo 2024.
Denmark walianzisha ushirikiano wa kimandeleo na Tanzania mara tu nchi yetu ilipopata uhuru wake mwaka 1963.
Kupitia mfuko wake wa maendeleo ujulikanao kwa jina la DANIDA Denmark imekuwa mdau mkubwa ambae amekuwa akitoa fedha za maendeleo kwenye maeneo kama haki za binadamu, ukuzaji demokrasia, utawala bora, utulivu na usalama, vita dhidi ya ugaidi, misaada ya wakimbizi na mazingira.
Pia DANIDA imekuwa ikisaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi.
Kupitia mfuko wake wa Danida Fellowship Centre nchi hiyo imekuwa ikifadhili shahada za uzimivu katika masuala mbalimbali kwa baadhi ya wanafunzi kutoka Tanzania na nchi zingine zinazoendelea.
Habari za kufungwa kwa ubalozi wake Denmark ni za kustua kwa wengi kwani zinagusa kila anehusika moja kwa moja na misaada yake kwa nchi zinazoendelea na pia wale wanohusika moja kwa moja na usimamizi wa mfuko huo kwa Tanzania, maofisa ubalozi ambao wengi wamezoea nchi yetu na hata kuzungumza kiswahili sanifu na pia watumishi wa kitanzania ambao wamekuwa wakifanya kazi ubalozi hapo.
Sababu kubwa ya Denmark kufunga ubalozi wake imesemwa kuwa ni kutaka kupata muda wa kujipanga upya na kutengeneza upya mikakati yake ya sera ya nje na mwelekeo wa mkakati mpya wa dunia au "New Global Stretegy".
Lakini pia ni suali la kuuliza je kwanini Denmark ije na uamuzi huo sasa?, je wamegundua kitu gani? na je, wataendelea kutoa msaada kwa Tanzania baada ya 2024?
Au je, wameona tunatumbua tena fedha zao ambazo kuna kipindi zilikuwa zikitumika ipasavyo?
Haya ni masuali ambayo yanapaswa kujibiwa na waziri mhusika wa mambo ya nje balozi Mulamula na maelezo hata ya alert tu kuwa Denmark kufunga ubalozi wao ulodumu nchini Tanzania tangu mwaka 1963.
Lakini cha msingi kwa sasa ningependa kushauri kwamba hili ni jambo la dharura, kuwa mdau wetu mkubwa wa maendeleo Denmark anafunga ubalozi wake ifikapo 2024.
Hivyo Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lingechukua hatua za kuitisha kikao cha dharura kujadili uamuzi huo wa Denmark na kwamba ni hatua zipi zitafuatwa kujaribu kutafuta kama Denmark inaweza kubadili msimamo wake huko mbele wa kuisaidia Tanzania kupitia njia zingine.
Waziri wa mambo ya nje anapaswa kutoa taarifa rasmi ya serikali bungeni kuelezea uamuzi huo wa Denmark.
Sawa Mkuu, then tunafanya nini kutoka hapa tulipo?Mamlaka zinakobambikiza kesi zikadhudulumu watu haki, hujichafua zenyewe
Kwa hiyo bunge litabadili maamuzi. umesema sababu ni global development strategy kumbe sio personal na uhusiano wake na Tanzania. Bunge halibitajiki kukaa hata kama sababu zingekuwa personal. Let us live our life, ya nini tusum uke eti tutanyimwa misaada. hatuka wafukara kiasi hicho.Kama tulivyosikia Denmark ambae ni moja ya nchi mshirika mkubwa na mdau wa maendeleo wa nchi yetu "Development partners" wanafunga ubalozi wao Tanzania ifikapo 2024.
Denmark walianzisha ushirikiano wa kimandeleo na Tanzania mara tu nchi yetu ilipopata uhuru wake mwaka 1963.
Kupitia mfuko wake wa maendeleo ujulikanao kwa jina la DANIDA Denmark imekuwa mdau mkubwa ambae amekuwa akitoa fedha za maendeleo kwenye maeneo kama haki za binadamu, ukuzaji demokrasia, utawala bora, utulivu na usalama, vita dhidi ya ugaidi, misaada ya wakimbizi na mazingira.
Pia DANIDA imekuwa ikisaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi.
Kupitia mfuko wake wa Danida Fellowship Centre nchi hiyo imekuwa ikifadhili shahada za uzimivu katika masuala mbalimbali kwa baadhi ya wanafunzi kutoka Tanzania na nchi zingine zinazoendelea.
Habari za kufungwa kwa ubalozi wake Denmark ni za kustua kwa wengi kwani zinagusa kila anehusika moja kwa moja na misaada yake kwa nchi zinazoendelea na pia wale wanohusika moja kwa moja na usimamizi wa mfuko huo kwa Tanzania, maofisa ubalozi ambao wengi wamezoea nchi yetu na hata kuzungumza kiswahili sanifu na pia watumishi wa kitanzania ambao wamekuwa wakifanya kazi ubalozi hapo.
Sababu kubwa ya Denmark kufunga ubalozi wake imesemwa kuwa ni kutaka kupata muda wa kujipanga upya na kutengeneza upya mikakati yake ya sera ya nje na mwelekeo wa mkakati mpya wa dunia au "New Global Stretegy".
Lakini pia ni suali la kuuliza je kwanini Denmark ije na uamuzi huo sasa?, je wamegundua kitu gani? na je, wataendelea kutoa msaada kwa Tanzania baada ya 2024?
Au je, wameona tunatumbua tena fedha zao ambazo kuna kipindi zilikuwa zikitumika ipasavyo?
Haya ni masuali ambayo yanapaswa kujibiwa na waziri mhusika wa mambo ya nje balozi Mulamula na maelezo hata ya alert tu kuwa Denmark kufunga ubalozi wao ulodumu nchini Tanzania tangu mwaka 1963.
Lakini cha msingi kwa sasa ningependa kushauri kwamba hili ni jambo la dharura, kuwa mdau wetu mkubwa wa maendeleo Denmark anafunga ubalozi wake ifikapo 2024.
Hivyo Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lingechukua hatua za kuitisha kikao cha dharura kujadili uamuzi huo wa Denmark na kwamba ni hatua zipi zitafuatwa kujaribu kutafuta kama Denmark inaweza kubadili msimamo wake huko mbele wa kuisaidia Tanzania kupitia njia zingine.
Waziri wa mambo ya nje anapaswa kutoa taarifa rasmi ya serikali bungeni kuelezea uamuzi huo wa Denmark.
Hata vitabu vya dini ukivisoma,watu hawakuelewana kwa imani moja walifikia hata manabii kuwauwa,haya ndio maisha ya kutofautiana hata kwenye familia tunatofautiana.Si kweli, nchi gani ina demokrasia perfect duniani kwa sasa?
Sawa Mkuu, then tunafanya nini kutoka hapa tulipo?
South Africa hawana!?Hizi ni balozi za Danmark Africa
Ni Tanzania tu wanafunga. Ni nini kimetokea?
Algeria - Algiers (Embassy)![]()
Burkina Faso - Ouagadougou (Embassy)![]()
Egypt - Cairo (Embassy)![]()
Ethiopia - Addis Ababa (Embassy)![]()
Ghana - Accra (Embassy)![]()
Kenya - Nairobi (Embassy)![]()
Mali - Bamako (Embassy)![]()
Morocco - Rabat (Embassy)![]()
Nigeria - Abuja (Embassy)![]()
South Africa - Pretoria (Embassy)![]()
Tanzania - Dar es Salaam (Embassy)![]()
Uganda - Kampala (Embassy)![]()
Je na wenzao katika Nordic group (Norway, Sweden na Finland) wana mipango hiyo?
Wengi wamesoma juujuu tu. Ila Denmark wanafunga ofisi Tanzania kwa sababu chanya kabisa. Walifungua ofisi ya ubalozi mwaka 1963 kwa ushwishi wa J K Nyerere ili kutusaidia kwenye maeneo ya elimu, afya, maji na utawala Bora. Baada ya miaka 60 wametathmini wameona tumepiga hatua kubwa, hivyo basi ni not waende wakatumie raslimali zao kwenye nchi zilizo na uhitaji zaidi za eneo la Sahel.Kilicho dhahiri ni kuwa Dernmark imetukia lugha ya diplomasia, waziri wao anaposema jukumu lake la msingi ni usalama wa Dernamark wakati ulimwengu unapitia nyakati ambazo demokrasia na haki za watu vikigandamizwa. Sentensi hii imebeba ujumbe mzito.
Hayo marekebisho ya sera ya nje, kwa jini yahusishe kufungwa kwa ubalozi wao Tanzania tu, na isiwe Ghana, Zambia, Botswana au Kenya? Kwa nini Tanzania tu?
Ugandamizaji wa demokrasia, uhuru na haki za watu, ndiyo sababu kubwa.
Dernmark imekuwa ikitoa pesa nyingi kuisaidia serikali kujenga taasisi za kidemokrasia, lakini kinyume chake, udikteta ndiyo unazidi kuimarika. Kwa nini aendelee kupoteza pesa yake?
Tungekuwa na Bunge, lingem-task Waziri Mkuu, aeleze kwa nini demokrasia, haki za watu na uhuru wa watu, vinazidi kudidimia kiasi cha kufikia Dernmark kuamua kufunga ubalozi wake. Lakini, hata hilo tunaloita Bunge, ni genge tu la wahuni lililotengenezwa na mtu mmoja. Ni zao la ukanyagaji wa demokrasia. Genge hili haliwezi kuiwajibisha Serikali kwa sababu na lenyewe ni tunda la uovu.
Huyu mama na chama chake wanavurunda vibaya tuamke!Kama tulivyosikia Denmark ambae ni moja ya nchi mshirika mkubwa na mdau wa maendeleo wa nchi yetu "Development partners" wanafunga ubalozi wao Tanzania ifikapo 2024.
Denmark walianzisha ushirikiano wa kimandeleo na Tanzania mara tu nchi yetu ilipopata uhuru wake mwaka 1963.
Kupitia mfuko wake wa maendeleo ujulikanao kwa jina la DANIDA Denmark imekuwa mdau mkubwa ambae amekuwa akitoa fedha za maendeleo kwenye maeneo kama haki za binadamu, ukuzaji demokrasia, utawala bora, utulivu na usalama, vita dhidi ya ugaidi, misaada ya wakimbizi na mazingira.
Pia DANIDA imekuwa ikisaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi.
Kupitia mfuko wake wa Danida Fellowship Centre nchi hiyo imekuwa ikifadhili shahada za uzimivu katika masuala mbalimbali kwa baadhi ya wanafunzi kutoka Tanzania na nchi zingine zinazoendelea.
Habari za kufungwa kwa ubalozi wake Denmark ni za kustua kwa wengi kwani zinagusa kila anehusika moja kwa moja na misaada yake kwa nchi zinazoendelea na pia wale wanohusika moja kwa moja na usimamizi wa mfuko huo kwa Tanzania, maofisa ubalozi ambao wengi wamezoea nchi yetu na hata kuzungumza kiswahili sanifu na pia watumishi wa kitanzania ambao wamekuwa wakifanya kazi ubalozi hapo.
Sababu kubwa ya Denmark kufunga ubalozi wake imesemwa kuwa ni kutaka kupata muda wa kujipanga upya na kutengeneza upya mikakati yake ya sera ya nje na mwelekeo wa mkakati mpya wa dunia au "New Global Stretegy".
Lakini pia ni suali la kuuliza je kwanini Denmark ije na uamuzi huo sasa?, je wamegundua kitu gani? na je, wataendelea kutoa msaada kwa Tanzania baada ya 2024?
Au je, wameona tunatumbua tena fedha zao ambazo kuna kipindi zilikuwa zikitumika ipasavyo?
Haya ni masuali ambayo yanapaswa kujibiwa na waziri mhusika wa mambo ya nje balozi Mulamula na maelezo hata ya alert tu kuwa Denmark kufunga ubalozi wao ulodumu nchini Tanzania tangu mwaka 1963.
Lakini cha msingi kwa sasa ningependa kushauri kwamba hili ni jambo la dharura, kuwa mdau wetu mkubwa wa maendeleo Denmark anafunga ubalozi wake ifikapo 2024.
Hivyo Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lingechukua hatua za kuitisha kikao cha dharura kujadili uamuzi huo wa Denmark na kwamba ni hatua zipi zitafuatwa kujaribu kutafuta kama Denmark inaweza kubadili msimamo wake huko mbele wa kuisaidia Tanzania kupitia njia zingine.
Waziri wa mambo ya nje anapaswa kutoa taarifa rasmi ya serikali bungeni kuelezea uamuzi huo wa Denmark.
Wewe Chibo mnaa sana!!Hahahahaha mbavu zangu
Hatuna namna Mkuu. Tutalazimika kusubiria maamuzi ya mahakama lakini inaonekana wazi toka mwanzo, Serikali inajua kuwa Mbowe hana kesi, hivyo ataachiwa na mahakama. Lakini wao lengo lao litakuwa limetimia, maana nia ni kumtesa, kumsumbua na kumtisha.Mkuu ishu ya mbowe ina utata mwingi sana, unaonaje tusubiri tuone ushahidi utaoletwa mahakami upoje, sidhani kama mpenda demokrasia yeyote anapenda Mbowe kuwa ndani muda huu, ila ngoja tuone nini wanasema hawa wanasheria!! Kwa upande wangu natamani Mbowe aachiwe huru, Mwamba ana mchango mkubwa kwa taifa hili, hamna mtu hajawahi kukosea, serikali ijifikirie kwa hilo
MCC ya Marekani ilisitisha ufadhili wake ambao ni mkubwa mara elfu kuliko vimiradi vya visima vya pump vya hao Danida na nchi ilisimama sembuse upumbavu huu inaopendekeza?Kama tulivyosikia Denmark ambae ni moja ya nchi mshirika mkubwa na mdau wa maendeleo wa nchi yetu "Development partners" wanafunga ubalozi wao Tanzania ifikapo 2024.
Denmark walianzisha ushirikiano wa kimandeleo na Tanzania mara tu nchi yetu ilipopata uhuru wake mwaka 1963.
Kupitia mfuko wake wa maendeleo ujulikanao kwa jina la DANIDA Denmark imekuwa mdau mkubwa ambae amekuwa akitoa fedha za maendeleo kwenye maeneo kama haki za binadamu, ukuzaji demokrasia, utawala bora, utulivu na usalama, vita dhidi ya ugaidi, misaada ya wakimbizi na mazingira.
Pia DANIDA imekuwa ikisaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi.
Kupitia mfuko wake wa Danida Fellowship Centre nchi hiyo imekuwa ikifadhili shahada za uzimivu katika masuala mbalimbali kwa baadhi ya wanafunzi kutoka Tanzania na nchi zingine zinazoendelea.
Habari za kufungwa kwa ubalozi wake Denmark ni za kustua kwa wengi kwani zinagusa kila anehusika moja kwa moja na misaada yake kwa nchi zinazoendelea na pia wale wanohusika moja kwa moja na usimamizi wa mfuko huo kwa Tanzania, maofisa ubalozi ambao wengi wamezoea nchi yetu na hata kuzungumza kiswahili sanifu na pia watumishi wa kitanzania ambao wamekuwa wakifanya kazi ubalozi hapo.
Sababu kubwa ya Denmark kufunga ubalozi wake imesemwa kuwa ni kutaka kupata muda wa kujipanga upya na kutengeneza upya mikakati yake ya sera ya nje na mwelekeo wa mkakati mpya wa dunia au "New Global Stretegy".
Lakini pia ni suali la kuuliza je kwanini Denmark ije na uamuzi huo sasa?, je wamegundua kitu gani? na je, wataendelea kutoa msaada kwa Tanzania baada ya 2024?
Au je, wameona tunatumbua tena fedha zao ambazo kuna kipindi zilikuwa zikitumika ipasavyo?
Haya ni masuali ambayo yanapaswa kujibiwa na waziri mhusika wa mambo ya nje balozi Mulamula na maelezo hata ya alert tu kuwa Denmark kufunga ubalozi wao ulodumu nchini Tanzania tangu mwaka 1963.
Lakini cha msingi kwa sasa ningependa kushauri kwamba hili ni jambo la dharura, kuwa mdau wetu mkubwa wa maendeleo Denmark anafunga ubalozi wake ifikapo 2024.
Hivyo Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lingechukua hatua za kuitisha kikao cha dharura kujadili uamuzi huo wa Denmark na kwamba ni hatua zipi zitafuatwa kujaribu kutafuta kama Denmark inaweza kubadili msimamo wake huko mbele wa kuisaidia Tanzania kupitia njia zingine.
Waziri wa mambo ya nje anapaswa kutoa taarifa rasmi ya serikali bungeni kuelezea uamuzi huo wa Denmark.
Mother kabebeshwa tu zigo la Mbowe, its time for her kulitua! Ila Mbowe naye akitoka aache kuroa amri, tunataka hiki na kile, nafikiri kuna njia mbadala za kuomba mkitakacho, Mama yupo tayari, are you?Hatuna namna Mkuu. Tutalazimika kusubiria maamuzi ya mahakama lakini inaonekana wazi toka mwanzo, Serikali inajua kuwa Mbowe hana kesi, hivyo ataachiwa na mahakama. Lakini wao lengo lao litakuwa limetimia, maana nia ni kumtesa, kumsumbua na kumtisha.
Mashtaka yenyewe ni ya kijinga kabisa.
1) Utafiti wa kitaalamu Duniani unaonesha kuwa gharama ya chini kabisa kufanya ugaidi ni dola 10,000 (ndiyo maana ukisafiri na cash kuanzia dola 10,000 kwenda juu unahitajika kupata kibali). Mbowe wanasema alifadhili ugaidi kwa dola 250!! Katika hali ya kawaida inaingia akilini? Uthibitisho kuwa alikuwa anafadhili ugaidi ni kwa sababu aliwatumia hao walinzi wake laki 6. Kama kumtumia mtu laki 6 ni kufadhili uhalifu, wewe na mimi tumefadhili uhalifu mara ngapi?
2) Wanasema mipango ya ugaidi ilikuwa kabla ya uchaguzi 2020. Hivi kweli umegundua hatari ya shambulio la ugaidi, utakaa kimya usubirie mpaka siku anaposema anafanya kikao ndiyo ukamkamate?
3) Eti ugaidi ilikuwa ufanyike kwa kulipua filling stations. Hivi ukalipue vituo vya mafuta, lengo ni kufanya ugaidi dhidi ya wenye vituo vya mafuta, wanaojaza mafuta au kulitisha anga?
Ukiangalia mashtaka yenyewe, ni upumb.avu mtupu. Hata walioorodhesha hayo mashtaka, lengo siyo kushinda kesi. Wanataka washindwe, lakini watakuwa wamefanikiwa kumtesa, na kukatisha harakati zile za kudai katiba.
ungeniuliza source ningekuona wa maana zaidi!Irani inaizidi Denmark mkuu be serious
wewe ulie kenge toa uelekeo sasa..mimi nimetoa gdp..wewe nini? nnya?Ulivyo mbuzi unadhani ushirikiano ni gdp pekee.
hawatakiwi kuchangia kima wewe! tunatakiwa kukaa na kyfanya nao biashara..bwege wa kike ww!Ndio uwezo wa akili yako ilipofikia wewe Tale Tale. Hao uliowataja wanachangia kiasi kwenye bajeti na huduma za kijamii?