Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Nadhani akili zako zina mtindioSawa bunge live ndiyo kilio cha Chadema.
Kupanda bei vitu na kukatika umeme siyo jambo la maana sana kwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani akili zako zina mtindioSawa bunge live ndiyo kilio cha Chadema.
Kupanda bei vitu na kukatika umeme siyo jambo la maana sana kwao
Kuna siku mlishaongelea masuala ya muhimu kama hayo? Mna matatizo ambayo hamjijui kama mnayoNadhani akili zako zina mtindio
Nadhani akili zako zina mtindioSawa bunge live ndiyo kilio cha Chadema.
Kupanda bei vitu na kukatika umeme siyo jambo la maana sana kwao
Wataangalia Wananchi wa Tanzania, wenye wabunge wao bungeni.Nani ataangalia bunge la Chama kimoja ?
Umesema kweli.hata mkipewa katiba mpya mtakuja na lingine maana hamueleweki kabisa nyie bora tuwapuuze tu
Wananchi wa Tanzania wataangalia.Nani ana haja ya kuangalia bunge la hovyo, la kusifia na kumpongeza rais
Kaburi zamu yako inaanza leo usikuSawa bunge live ndiyo kilio cha Chadema.
Kupanda bei vitu na kukatika umeme siyo jambo la maana sana kwao
Hutaki kumwona Mhe. Lusinde aki-perform?!Bunge lenyewe la CCM nan anampango nalo.
Kila kitu lazima kiwe na utaratibu wake tatizo mnavurugu mno lazima muwekewe masharti.Kama wananchi wanatudharau, ni kwanini hamtaki kuruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya upinzani?
Msikwepeshe mada..kilio cha chadema ni katiba mpya sio bunge mubasharakilio chenu kimesikika bado mmeanza kuleta sababu zingine yaani akili zenu mnazijuwa wenyewe ni sawa na demu unaingia naye mpaka gest halafu anakuuliza humu tunakuja kufanya nini?
Kukataa katiba mpya ndo uchu wa madaraka huoyaani nyie hamnaga hoja za maana zinazowahusu wananchi wa hali ya nchini mnachojali ni siasa ambazo wengi haziwasaidii sana bei ya vitu kupanda siyo agenda yenu maisha bora kwa mtanzania siyo agenda yenu mnacho haha nacho ni katiba mpya ambayo haileti unafuu wa maisha kwa mtanzania zaidi ya uchiu wenu wa madaraka tu
Kumbe watoto wako wamekulanda kukosa akili?Bora wasingeonyesha tu,mana hadi watoto wangu walianza kunipiga baada ya kuwaona watu wazima wakipigana live bungeni
Kwani sisi si ndo wznanchi?tatizo lenu hata wananchi wanaanza kuwadharau hamn agenda za muhimu za kumnufaisha mwananchi na mtaendelea kuwa wapinzani daima maana hamjijengi kwa wananchi mnalazimisha kuwahi kufika madarakani ambako bado mbali sana kwenu
Mkutano wa CCM sio bunge la WananchiVikao vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania vitaanza kurushwa live. Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dodoma, Katibu wa Bunge. Ndg. Nenelwa Mwihambi.
Nenelwa amesema baada ya maboresho ya Studio ya Bunge na Kamati ya Uongozi ya Bunge kuridhia vikao vya Bunge vitaanza kurushwa live kuanzia kesho tarehe 05 Aprili 2022 wakati Mkutano wa Saba wa Bunge mahsusi kwa ajili ya kupitisha Bajeti ya Serikali utakapoanza Bungeni Jijini Dodoma.
Januari mwaka 2016, waziri wa habari wa wakati huo, Nape Nnauye alitoa tangazo bungeni la kusitisha matangazo ya Bunge ya moja kwa moja akitoa sababu ya kupanda kwa gharama kwenye shirika la utangazi la Taifa(TBC) zilizofikia bilioni 4.2 kwa mwaka.
Nape alisema TBC ilikuwa ikigharamia matangazo ya Bunge kwa kutumia vyanzo vyake vya mapato kama matangazo madogo ya kibiashara. TBC katika kupunguza gharama na kubana matumizi ikaona busara kurusha baadhi ya matangazo live na mengine kurekodiwa kisha kurushwa kwenye kipindi maalum usiku ambayo ingewapa pia fursa watanzania walio wengi kwani mchana huwa wana kazi za kiofisi au ujenzi wa Taifa.
PIA, Soma=>TBC1 yasitisha kuonesha baadhi ya Mikutano ya Bunge moja kwa moja (Bunge LIVE)