Bunge Live larudi. Kuoneshwa kuanzia Aprili 5, 2022 katika mkutano wa saba wa Bunge la Bajeti

Bunge Live larudi. Kuoneshwa kuanzia Aprili 5, 2022 katika mkutano wa saba wa Bunge la Bajeti

Nitaanza kufuatilia comedy kuanzia sasa "Live "
 
Nani atasikiliza hicho kikao cha CCM, hakina mvuto wowote, gharama za maisha zimepanda wao kazi yao ni kupiga meza tu.
 
Kama wananchi wanatudharau, ni kwanini hamtaki kuruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya upinzani?
Kila kitu lazima kiwe na utaratibu wake tatizo mnavurugu mno lazima muwekewe masharti.
 
Asante mama Samia
Japo, bunge bila kambi rasmi ya upinzani halinogi.
(Naongelea upinzani haswa)
 
kilio chenu kimesikika bado mmeanza kuleta sababu zingine yaani akili zenu mnazijuwa wenyewe ni sawa na demu unaingia naye mpaka gest halafu anakuuliza humu tunakuja kufanya nini?
Msikwepeshe mada..kilio cha chadema ni katiba mpya sio bunge mubashara
 
Babu tale.
Mwana FA..... + 360

Kweli nikae kupoteza muda kuangalia upuuzi huo wa CCM??. Hizo pesa wangewapelekea watoto wa kike taulo za kujistili ingefaa sana.
 
yaani nyie hamnaga hoja za maana zinazowahusu wananchi wa hali ya nchini mnachojali ni siasa ambazo wengi haziwasaidii sana bei ya vitu kupanda siyo agenda yenu maisha bora kwa mtanzania siyo agenda yenu mnacho haha nacho ni katiba mpya ambayo haileti unafuu wa maisha kwa mtanzania zaidi ya uchiu wenu wa madaraka tu
Kukataa katiba mpya ndo uchu wa madaraka huo
 
Hili halina hafhi ya kuitwa binge, ndo mana umuhimu wa kuwa live kwa wananchi haupo.
Mnajua ila mnatuzingua tu
 
Bora wasingeonyesha tu,mana hadi watoto wangu walianza kunipiga baada ya kuwaona watu wazima wakipigana live bungeni
Kumbe watoto wako wamekulanda kukosa akili?
Wakiona watu wanapigana kwenye TV wsnakuja kukupiga loh, hawa watoto wnaakili tahira kama mzazi wao.
DNA hizo zifutwe wasije ambikizwa wengine.
 
tatizo lenu hata wananchi wanaanza kuwadharau hamn agenda za muhimu za kumnufaisha mwananchi na mtaendelea kuwa wapinzani daima maana hamjijengi kwa wananchi mnalazimisha kuwahi kufika madarakani ambako bado mbali sana kwenu
Kwani sisi si ndo wznanchi?
Unatakawananchi gani?
Au unataka wanachama wa CCM tu?
 
Vikao vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania vitaanza kurushwa live. Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dodoma, Katibu wa Bunge. Ndg. Nenelwa Mwihambi.

Nenelwa amesema baada ya maboresho ya Studio ya Bunge na Kamati ya Uongozi ya Bunge kuridhia vikao vya Bunge vitaanza kurushwa live kuanzia kesho tarehe 05 Aprili 2022 wakati Mkutano wa Saba wa Bunge mahsusi kwa ajili ya kupitisha Bajeti ya Serikali utakapoanza Bungeni Jijini Dodoma.

Januari mwaka 2016, waziri wa habari wa wakati huo, Nape Nnauye alitoa tangazo bungeni la kusitisha matangazo ya Bunge ya moja kwa moja akitoa sababu ya kupanda kwa gharama kwenye shirika la utangazi la Taifa(TBC) zilizofikia bilioni 4.2 kwa mwaka.

Nape alisema TBC ilikuwa ikigharamia matangazo ya Bunge kwa kutumia vyanzo vyake vya mapato kama matangazo madogo ya kibiashara. TBC katika kupunguza gharama na kubana matumizi ikaona busara kurusha baadhi ya matangazo live na mengine kurekodiwa kisha kurushwa kwenye kipindi maalum usiku ambayo ingewapa pia fursa watanzania walio wengi kwani mchana huwa wana kazi za kiofisi au ujenzi wa Taifa.

PIA, Soma=>TBC1 yasitisha kuonesha baadhi ya Mikutano ya Bunge moja kwa moja (Bunge LIVE)

Mkutano wa CCM sio bunge la Wananchi
 
Back
Top Bottom