Bungeni Dodoma: Rais Magufuli avunja Bunge la 11. Asema ajira 6,032,299 zimetengenezwa, Viwanda vipya 8,477 vimeanzishwa

Huku kijijini kwetu hakuna aliejihangaisha kufuatilia hutuba ya kampeni
 
Twende mbele na kurudi nyuma
Kuna watu wanastahili pongezi nyingi sana, wamefanya kazi kubwa sana kumfanya magu awe presentable.

Yaani mwaka 2015 hakuwa kabisa na ule muonekano wa kiongozi mkuu wa nchi.
 
Sifa na utukufu zimrejee Jehova aliyetupatia kiongozi kama huyu.. Mwenyezi Mungu amrejeshe tena kwa ngwe ya pili aendelee kupiga kazi... Mungu ambariki sana kiongozi wetu mh Rais Magufuli.
 
Dunia inafuata nyendo zake na maneno yake hasa kuhusu janga la corona

Hayo wanajifanya hawaoni

Wivu wa kijinga
 
Alikuwa nao moyoni uongozi ni roho sio mwenekano
Twende mbele na kurudi nyuma
Kuna watu wanastahili pongezi nyingi sana, wamefanya kazi kubwa sana kumfanya magu awe presentable.

Yaani mwaka 2015 hakuwa kabisa na ule muonekano wa kiongozi mkuu wa nchi.
 
Na mimi leo "nimesimamisha" kwa masaa matano huko Kisarawe!
 
Sometimes jifunzeni kuleta uwongo wenye akili sio huu ugoro
Kuhusu mataifa mengine kumuiga hatua za corona nazo utakataa

Kuhusu Trump kuzungumza alichozungumza Magufuli utakataa?

Kama hawamfuatilii wanatumiaje hagua zake?

Coincedence?

Muachage undezi, nje wanamkubali wewe unamkataaje
 
Amen
Sifa na utukufu zimrejee Jehova aliyetupatia kiongozi kama huyu.. Mwenyezi Mungu amrejeshe tena kwa ngwe ya pili aendelee kupiga kazi... Mungu ambariki sana kiongozi wetu mh Rais Magufuli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…