Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Leo Kuna radio inaitwa T K Fm inatangaza katika masafa ya 88.5 Tanga. Hawa jamaa nilisikiliza hotuba ya mwisho bungeni ya mh rais Magufuli, wao walikuwa wanamdhihaki rais (kwa mtazamo wangu) maana walikuwa wanafanya baadhi ya maneno kusikika Kama kikatuni saa nyingine kufanya yaongee harakaharaka Kama bwakila vile.Mungu ni mwema kwa hii zawadi ya rais tuliyopata
Mkuu wamarekani Kama hujawasoma katikati ya mistari ni ngumu kuwaelewa,unaweza kudhani wanakusifu wakati wanakupondaKuhusu mataifa mengine kumuiga hatua za corona nazo utakataa
Kuhusu Trump kuzungumza alichozungumza Magufuli utakataa?
Kama hawamfuatilii wanatumiaje hagua zake?
Coincedence?
Muachage undezi, nje wanamkubali wewe unamkataaje
Mkuu wakati Magufuli anahutubia Washington DC ilikuwa usiku wa manane, kwa hiyo unasema Trump aliamka kusikiliza hotuba toka nchi iliyopo kwenye group la shithole,nchi ambayo rais wake anasema nchi haina corona wakati huo huo akishangilia kusamehewa madeni sababu ya coronaMtandao wa YouTube umeelezea kuwa zaidi ya watu milioni 600 duniani kote walifuatilia hotuba ya Rais Magufuli leo akilivunja bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania,aidha zaidi ya mataifa 80 duniani kote walikuwa online kufuatilia kile aluchokuwa anahutubia bungeni leo,marais 50 duniani kote waliungana na mtandao wa online kusikiliza hotuba ya Rais Magufuli ambapo Waziri Mkuu wa uingereza Borris Johnson leo alizuia shughuli zote za kiserikali kwa muda wa masaa matano mpaka hotuba ilipikamilika,Waziri Mkuu wa India,Waziri Mkuu wa ujerumani Angel Merkel,Rais wa China,Rais wa Russia na Donald Trump waliungana na mamilioni ya wananchi kutoka sehem mbalimbali duniani kuskiliza hotuba ya Magufuli leo,Katika tovuti moja nchini Thailand leo imemtangaza Rais Magufuli kama Rais bora wa karne hii ya 21 huku jarida la siasa na uchumi nchini uingereza limemtangaza Rais Magufuli kama "Genius" wa maendeleo na problem solver...
Watanzania Mungu ametubariki kuwa na Rais Kama Magufuli tuna imani na Magufuli,VIVAAA Magufuli VIVAAAA.....
Mods mtaufuta uzi wangu View attachment 1480672
Angekuwa Lissu na habari zake za mapenzi ya jinsia moja ungekubaliana nayo
Umaarufu wake kwa kuficha visa vya corona unajulikana duniani kote na pia kwa kuwavunja wapinzani miguu nako anajulikana sana.Mtandao wa YouTube umeelezea kuwa zaidi ya watu milioni 600 duniani kote walifuatilia hotuba ya Rais Magufuli leo akilivunja bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania,aidha zaidi ya mataifa 80 duniani kote walikuwa online kufuatilia kile aluchokuwa anahutubia bungeni leo,marais 50 duniani kote waliungana na mtandao wa online kusikiliza hotuba ya Rais Magufuli ambapo Waziri Mkuu wa uingereza Borris Johnson leo alizuia shughuli zote za kiserikali kwa muda wa masaa matano mpaka hotuba ilipikamilika,Waziri Mkuu wa India,Waziri Mkuu wa ujerumani Angel Merkel,Rais wa China,Rais wa Russia na Donald Trump waliungana na mamilioni ya wananchi kutoka sehem mbalimbali duniani kuskiliza hotuba ya Magufuli leo,Katika tovuti moja nchini Thailand leo imemtangaza Rais Magufuli kama Rais bora wa karne hii ya 21 huku jarida la siasa na uchumi nchini uingereza limemtangaza Rais Magufuli kama "Genius" wa maendeleo na problem solver...
Watanzania Mungu ametubariki kuwa na Rais Kama Magufuli tuna imani na Magufuli,VIVAAA Magufuli VIVAAAA.....
Mods mtaufuta uzi wangu View attachment 1480672
mantiki ya swali langu halikuvuka upande huo unaofikiria wewe (labda nipo kwenye upande wa dhihaka),Mimi sijakujibu kuhusi idadi ya wasikilizaji, umehoji kuhusu Kama kaongea kiingereza ndo nikakujibu unafikiri watu wote duniani wanaongea kiingereza? Hapo ndo niliona upeo wako finyu Sana maana hata ujerumani Angel markel anaongea kijerumani.
Kwa hiyo hii habari ni ya kweli? Kwa miaka yangu ambayo nimekaa hapa JF sijawahi kuona habari ya uongo ikifikisha kurasa mbili kabla mods hawajaifuta ndio maana JF siku zote ilikuwa ni tegemeo la habari za uhakika. Kitu kilikuwa kikiletwa hapa JF na kikabaki kwa dakika kumi basi unafahamu kwa uhakika kwamba hiyo habari ni ya kweli. Mods walikuwa hawana mchezo na habari ambazo hazina uhakika; walizifyeka mara moja. Naamini hali ndivyo ilivyo hata sasa na kwa maana hiyo niamini kwamba kilichoandikwa hapa ni cha ukweli 100%.Mtandao wa YouTube umeelezea kuwa zaidi ya watu milioni 600 duniani kote walifuatilia hotuba ya Rais Magufuli leo akilivunja bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania,aidha zaidi ya mataifa 80 duniani kote walikuwa online kufuatilia kile aluchokuwa anahutubia bungeni leo,marais 50 duniani kote waliungana na mtandao wa online kusikiliza hotuba ya Rais Magufuli ambapo Waziri Mkuu wa uingereza Borris Johnson leo alizuia shughuli zote za kiserikali kwa muda wa masaa matano mpaka hotuba ilipikamilika,Waziri Mkuu wa India,Waziri Mkuu wa ujerumani Angel Merkel,Rais wa China,Rais wa Russia na Donald Trump waliungana na mamilioni ya wananchi kutoka sehem mbalimbali duniani kuskiliza hotuba ya Magufuli leo,Katika tovuti moja nchini Thailand leo imemtangaza Rais Magufuli kama Rais bora wa karne hii ya 21 huku jarida la siasa na uchumi nchini uingereza limemtangaza Rais Magufuli kama "Genius" wa maendeleo na problem solver...
Watanzania Mungu ametubariki kuwa na Rais Kama Magufuli tuna imani na Magufuli,VIVAAA Magufuli VIVAAAA.....
Mods mtaufuta uzi wangu View attachment 1480672
Mkuu kile kilikuwa kiswahili au kisukuma?mantiki ya swali langu halikuvuka upande huo unaofikiria wewe (labda nipo kwenye upande wa dhihaka),
hotuba haifanani na muziki ambao si lazima ufahamu kinachoongelewa ndani ya dakika 3 hadi 10 bali mdundo wake unaweza kukuhamisha dunia nyengineyo.
lugha yetu ya kiswahili haijawa na sifa kubwa sana duniani kama lugha nyenginezo mfano english, france hivyo basi si jambo rahisi kwa watu millioni 600 duniani kufuatilia live hotuba inayowasilishwa kwa njia ya kiswahili kwa zaidi ya masaa mawili bila ya kufahamu wala kuburudika na chochote.
ndio maana nikauliza kwa moyo safi kabisa, kwani amezungumza kwa kiingilishi.
bahati mbaya umekuja na majibu ambayo hayaendani na username yako
Ni kazi ngumu Sana hii unayoitaka kwangu mkuu! Yaani niache kazi zangu, nianze kuzungukia mkoa mzima kuhesabu viwanda vilivyojengwa? Kama huwaamini waliosema, basi usiamini pia na ndege mpya 11 zilizonunuliwa!Kutokana na takwimu za serikali viwanda 8000 vimeanzishwa katika awamu hii,huu ni wastani wa viwanda karibia 300 kila mkoa...ukinitajia viwanda kumi tu vilivyoanzishwa katika mkoa wako nitaamini kweli kuna viwanda 8000 vipya hii nchi
bahati mbaya sijafuatilia hiyo hotuba ila jamaa anapenda kuitangaza lugha ya kwao hivyo basi inawezekana aligonga kisukuma.Mkuu kile kilikuwa kiswahili au kisukuma?
Mawazo yako, tuliomjua Magu mapema sana tuliona nuru na kumpa kuraTwende mbele na kurudi nyuma
Kuna watu wanastahili pongezi nyingi sana, wamefanya kazi kubwa sana kumfanya magu awe presentable.
Yaani mwaka 2015 hakuwa kabisa na ule muonekano wa kiongozi mkuu wa nchi.
Mwanafunzi wa yesu wa Lugola,, punguza mahaba...!![emoji23]Mtandao wa YouTube umeelezea kuwa zaidi ya watu milioni 600 duniani kote walifuatilia hotuba ya Rais Magufuli leo akilivunja bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania, aidha zaidi ya mataifa 80 duniani kote walikuwa online kufuatilia kile alichokuwa anahutubia bungeni leo, marais 50 duniani kote waliungana na mtandao wa online kusikiliza hotuba ya Rais Magufuli ambapo Waziri Mkuu wa uingereza Borris Johnson leo alizuia shughuli zote za kiserikali kwa muda wa masaa matano mpaka hotuba ilipikamilika, Waziri Mkuu wa India, Waziri Mkuu wa ujerumani Angel Merkel, Rais wa China, Rais wa Russia na Donald Trump waliungana na mamilioni ya wananchi kutoka sehem mbalimbali duniani kuskiliza hotuba ya Magufuli leo, Katika tovuti moja nchini Thailand leo imemtangaza Rais Magufuli kama Rais bora wa karne hii ya 21 huku jarida la siasa na uchumi nchini Uingereza limemtangaza Rais Magufuli kama "Genius" wa maendeleo na problem solver...
Watanzania Mungu ametubariki kuwa na Rais Kama Magufuli tuna imani na Magufuli,VIVAAA Magufuli VIVAAAA.....
View attachment 1480672
Mkuu kipaji unacho! Yaani ukijoin group la Vichekesho, utapiga hela Sana. Maana kwa hiki kichekesho chako [emoji2] mi umenivunja mbavu!Mtandao wa YouTube umeelezea kuwa zaidi ya watu milioni 600 duniani kote walifuatilia hotuba ya Rais Magufuli leo akilivunja bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania, aidha zaidi ya mataifa 80 duniani kote walikuwa online kufuatilia kile alichokuwa anahutubia bungeni leo, marais 50 duniani kote waliungana na mtandao wa online kusikiliza hotuba ya Rais Magufuli ambapo Waziri Mkuu wa uingereza Borris Johnson leo alizuia shughuli zote za kiserikali kwa muda wa masaa matano mpaka hotuba ilipikamilika, Waziri Mkuu wa India, Waziri Mkuu wa ujerumani Angel Merkel, Rais wa China, Rais wa Russia na Donald Trump waliungana na mamilioni ya wananchi kutoka sehem mbalimbali duniani kuskiliza hotuba ya Magufuli leo, Katika tovuti moja nchini Thailand leo imemtangaza Rais Magufuli kama Rais bora wa karne hii ya 21 huku jarida la siasa na uchumi nchini Uingereza limemtangaza Rais Magufuli kama "Genius" wa maendeleo na problem solver...
Watanzania Mungu ametubariki kuwa na Rais Kama Magufuli tuna imani na Magufuli,VIVAAA Magufuli VIVAAAA.....
View attachment 1480672
Alimuelewaje aliposema tuichukulie kama surua?Mkuu huko mitandaoni mliweka wakalimani? Au watu wote hao uliowataja wanaelewa kisukuma alichokuwa anaongea Magufuli?