Sure anamjua Magufuli. Tena ile mbaya!
Kama RC Makonda na familia yake wanajulikana kwa Trump mpaka yeye personally kutoa amri ya kumfungia Makonda na familia yake kutoingia Amerika, utasemaje juu ya mtu aliye mweka Makonda madarakani? Umesha lisahau sakata lile?
Wenzako wanahaha huko waliko. Wanatafuta kila njia ya kumwondoa Mwanamme wanashindwa. Walifikiri wakitumia media zao na makachero wao akina Mange Kimambi, Tundu Lissu, Zitto Kabwe, Gadhbett Ngurumo na wengineo wangeweza kirahisi kutupa sisi panic, thubutuuu!
Hawaelewi kuwa kwa kufanya hivyo mambo mabaya yanawatokea wao wenyewe. Coronavirus na George Flowed limekuwa pigo kwa Trump. Hii ni ishara kuwa sisi watanzania ndiyo wana Mungu na sio waisrael kama inavyo sadikika. Sisi tunalindwa na nguvu za kutoka juu.
Na arudie tena kuisakama Tanzania atakiona cha mtema kuni. Anacheza na maisha ya watu wa Taifa lililobarikiwa na Mungu? Na akome!
Waza kwanza kabla ya kutoa comment yako!
Sent using
Jamii Forums mobile app