Bungeni Dodoma: Rais Magufuli avunja Bunge la 11. Asema ajira 6,032,299 zimetengenezwa, Viwanda vipya 8,477 vimeanzishwa

Bungeni Dodoma: Rais Magufuli avunja Bunge la 11. Asema ajira 6,032,299 zimetengenezwa, Viwanda vipya 8,477 vimeanzishwa

Ila nasikia kwenye swala la "T-shirt" hata wale wengine walishangilia sanaaa.
 
Leo tarehe 16 Juni 2020, Rais Magufuli analivunja bunge kwa ajili ya kufanya matayarisho ya uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu, ambapo uchaguzi wa rais na wabunge utafanyika kwa wakati mmoja.

Bunge la 11 lilifunguliwa na Rais Magufuli Novemba 20, 2015 baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Dhalim mwongo sana
 
Uongo mtupu!

Sasa kwa nini leo kuna mamilioni ya vijana wasio na ajira wala kipato?
Hivyo viwanda ilikuwa propaganda za kitoto za miaka ya 60.

Ilikuwa propaganda propaganda propaganda tu.
 
Back
Top Bottom