Bungeni Dodoma: Rais Magufuli avunja Bunge la 11. Asema ajira 6,032,299 zimetengenezwa, Viwanda vipya 8,477 vimeanzishwa

Kabisa Mkuu na ndiyo sababu Askofu Bagonza aliposema idadi ya wapumbavu nchini imeongezeka sana ukilinganisha na wakati tuna Chuo Kikuu kimoja tu nchini na sasa ambapo tuna vyuo vikuu chungu nzima. Hii negative trend ya kuongezeka kwa vyuo na kuongezeka kwa WAPUMBAVU inashangaza sana.

Hawa utumia propaganda ili kunasa akili za mateja.
 
Alikuwa anahutubia Taifa gani hilo la gamboshi au la ajira million 6 zisizojulikana?
 
Mkuu umeruka ruka bila kujibu swali langu...mapato ya ndani yameongezeka,rais anasema tunajenga miradi yetu kwa pesa zetu wenyewe...swali ni je kwanini deni la taifa linaongezeka???
 
Ujue taarifa kama hii Iliwahi kumuingiza matatizoni Gabriel Zacharia, yule msingida wa TBC. Alikurupuka na li habari la Trump kumsifu Jiwe kumbe wahuni wamelitengeneza akalitangaza kwenye taarifa ya habari. Almanusura Ayoub Ryoba azae nae.
 
Amesoma kisasa Ametumia teleprompter
Wasaidiz wake wanahangaika kweli wanapomuona Trump akiwa paper less ndiyo maana wakatafuta.

Trump akiwa kwenye Bunge hatumii teleprompter bali karatasi lkn wenzetu kule nje na dhifa zá serikali hawatumii au zimefika wiki iliyopita.

Lkn wameipandisha hapa ili wajisifu hawa kina Msigwa ni shida.
 
Uwiiiiiiiih nimecheka hadi basi khaaaaah, ila inasikitisha kwakweli. Duuuuh hatareee san.
 
Yes Hadi tunageuzwa geuzwa kwa propaganda utadhani sote ni mateja,watu wanaona fact,ajira 6milioni du usingeona vijana wanabeba bahasha za khaki.

Tembea tu posta dar, kariakoo ofisi nyingi zimefungwa,nyingi zinapangishwa Hakuna wateja, usomeshe watu namba ili uwatawale then ajira ziongezeke, labda Kama kuna principal mpya ya uchumi.Tasfiri ya neno namba ni kupunguza au kuondoa idadi ya ajira Sasa hizo zinapandaje sasa
 
Kutokana na takwimu za serikali viwanda 8000 vimeanzishwa katika awamu hii,huu ni wastani wa viwanda karibia 300 kila mkoa...ukinitajia viwanda kumi tu vilivyoanzishwa katika mkoa wako nitaamini kweli kuna viwanda 8000 vipya hii nchi
Mataga hana data
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…