Mbona wakina kiba,konde,nandy,na wasanii wengi waliunga mkono juhudi watu hawawasemiMaoni yako hayawezi kuondoa fact kuwa mtu yeyote anaeunga mkono maovu ni mtu mbaya na anatakiwa kukemewa na kutokuungwa mkono.Diamond aliunga mkono maovu aliyokuwa anafanya Magufuli kwa hiyo ukweli ni kwamba Diamond ni mtu mbaya na hapaswi kuungwa mkono.Hii ni fact na wala siyo maoni yangu.
Mna wazimu nyie Diamond Atua Marekani Kwaajili Ya Tuzo Za BET -Video - Global PublishersLeo msanii kutoka Nigeria ambae anatamba duniani kwa sasa Burna Boy amewasili nchini Marekani na kupokelewa na mkongwe wa muziki nchini humo P. Diddy. Hii inaonesha wazi mshindi wa tuzo za BET katika kipengele cha Best International Act ni Burna Boy. Na kwa sasa yupo nchini Marekani akisubiri kukabidhiwa tuzo yake jumatatu.
Hongera sana Burna Boy kwa kuwa mshindi unastahili sana. Na pole za dhati zimuendee bwana Diamond Platnumz na washiriki wengine walioshindwa. Asiekubali kushindwa si mshindani 👀
View attachment 1830036
P. Diddy na Burna Boy wakisalimiana kwa furaha na upendo 😉
Huyu mchagga huwa ni mpuuzi kazi kuangalia wowowo tuMaoni yako hayawezi kuondoa fact kuwa mtu yeyote anaeunga mkono maovu ni mtu mbaya na anatakiwa kukemewa na kutokuungwa mkono.Diamond aliunga mkono maovu aliyokuwa anafanya Magufuli kwa hiyo ukweli ni kwamba Diamond ni mtu mbaya na hapaswi kuungwa mkono.Hii ni fact na wala siyo maoni yangu.
Kwa hiyo unataka kunipangia kuwa nisimlaumu Sabaya kuwa ni kiongozi muovu kisa simlaumu yule DC wa Rorya ambae alikuwa anabinya watu mbupu au kisa simlaumu DC Ally Hapi ambae hana adabu kwa wastaafu na pia ni mnyanyasaji mkubwa wa wananchi anawachapa hadi viboko?Logic za wapi hizi?!Mbona wakina kiba,konde,nandy,na wasanii wengi waliunga mkono juhudi watu hawawasemi
Ova
Point hapa ni je kwani mondi pekee yake alikuwa msani anayeinadi ccm,si wapo wengineKwa hiyo unataka kunipangia kuwa nisimlaumu Sabaya kuwa ni kiongozi muovu kisa simlaumu yule DC wa Rorya ambae alikuwa anabinya watu mbupu au kisa simlaumu DC Ally Hapi ambae hana adabu kwa wastaafu na pia ni mnyanyasaji mkubwa wa wananchi anawachapa hadi viboko?Logic za wapi hizi?!
Atakosa tuzo Ila kamwe haiwezi kua kwa sababu ya siasa.Hivi rayvan alishachukuaga hii tuzo kama upcoming artist BET nakumbuka, dai hii tuzo anaitamani nusu kufa lakini ndiyo hivyo alijichanganya kuingia kwenye siasa na kuchagua upande ule wa manjano
Umeelewa nilichoandika?Nimekuambia kuwa huwezi kunipangia kuwa nisimlaumu Sabaya kuwa ni kiongozi mbovu kisa wapo akina DC Ally Sapi ambao ni viongozi wabovu pia lakini siwalaumu.Point hapa ni je kwani mondi pekee yake alikuwa msani anayeinadi ccm,si wapo wengine
Ova
Basi mzee mwenzangu wa kupenda misambwanda,tufanye yameishaUmeelewa nilichoandika?Nimekuambia kuwa huwezi kunipangia kuwa nisimlaumu Sabaya kuwa ni kiongozi mbovu kisa wapo akina DC Ally Sapi ambao ni viongozi wabovu pia lakini siwalaumu.
Hiki ni nini ? 🤣🐒🤸👇Uliona wapi Alikiba akiimba kuwa bladifakenii ni baba lao?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Aiseee JF raha sana, kumbe wote mpo Ulaya [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tuliza wenge wote tuko ulaya maana kama muda uliokua unapost upumbavu wako na mimi nilikua macho waliokua wamelala ndo wako Africa
mkuu kwan anayegawa tuzo ni mkeo mpaka akusikilize ww? waulize wakina kigogo na maria sarungi ile petition yao iliishia wapi... walizani BET ni Mama Samia, wale hawapelekeshwi na mihemko ya wapinzani uchwaraUmeelewa nilichoandika?Nimekuambia kuwa huwezi kunipangia kuwa nisimlaumu Sabaya kuwa ni kiongozi mbovu kisa wapo akina DC Ally Sapi ambao ni viongozi wabovu pia lakini siwalaumu.
BLADIFAKENII alikuwa ni namba wanii katika kuteka,kuua,kutesa,ukabila,udini,ubaguzi wa rangi,wizi wa kura,kuua uhuru wa kujieleza na kadhalika.Hiki ni nini ? 🤣🐒🤸👇
Magufuli vitendo, sio maneno maneno
Tunampa kitengo kwa kufika malengo,
Ameziba mapengo kwa upendo,
Magufuli namba wani iyeeh 🎶
Mkuu tunamchukia dimondi na kumuonea wivu kwa hiyo tumepata uchochoro ndio hapo hapo tunapita nae...lazima ashuke🐒🤣🤸Point hapa ni je kwani mondi pekee yake alikuwa msani anayeinadi ccm,si wapo wengine
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aseeeeh.Kutesa kwa zamu
Nyumba nzima ina dharau hatari
Haya haya mashamba kigoma mengi mkaanzishe kilimo cha mawese
[emoji23][emoji23][emoji23]Jamhuri ya tweeter ikikuondolea uraia huna namna
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Issue sio kusagiana kunguni Bali ni uhalisia Diamond bado kinda sana kwa wasanii kutoka Nigeria labda angekuwa anaimba kwa kiingereza au kihisipania labda angejulikana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona nae yupo njiani anaenda labda atapokelewa na Alicia k
Mkuu kuna watu humu comments zao utadhani hawana hata akili ya kuvukia barabara 😄😄Kwani hapa duniani watu hawapaswi kumlaumu Magufuli kama dikteta kisa wanapaswa kumlaumu Kagame na Museven pia?Yaani unataka unipangie kuwa nisimlaumu Magufuli kama dikteta kisa simlaumu Kagame na Museven?Yaani unataka kunipangia kuwa ili nimlaumu Magufuli kama dikteta basi napaswa nimlaumu pia Museven,kagame,Idd Amini na Hitler?Logic za wapi hizi rafiki?
Hahaha hapo nimeerewaaMkuu tunamchukia dimondi na kumuonea wivu kwa hiyo tumepata uchochoro ndio hapo hapo tunapita nae...lazima ashuke🐒🤣🤸