Usalama barabarani
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 867
- 1,066
Sasa sitaki kubishana kwa jambo ambalo hata kipofu anaona, sana nikutakie pumziko jema ukisubiri kuangalia matokeo ya tuzo, [emoji23][emoji23][emoji23]Sisi uhakika 100% wewe kama hauna uhakika, kaa pembeni tupishe
Relaaaaaaaax [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maajabu alishafanya Yesu, hapa ni kazi tuuu
I VOTE FOR DIAMOND PLATNUMZ #BETAward
Huu ndio mpango mzima.
I VOTE FOR DIAMOND PLATNUMZ #BETAwardKama CCM walimwambia kuwa watamsaidia kuiba kura wamemdanganya. Huku hakuna tume ya uchaguzi
Miaka yote mnaibiwa nyie tu aiseee
Kipofu hajawai kuona, hakuna kulala hapa mpaka tuzo ije TandaleSasa sitaki kubishana kwa jambo ambalo hata kipofu anaona, sana nikutakie pumziko jema ukisubiri kuangalia matokeo ya tuzo, [emoji23][emoji23][emoji23]
Sina wasiwasi, ni majukumu yetu kuondoa uchafu huku tunakunywa juice ya tendeRelaaaaaaaax [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi sawaaaah.Kipofu hajawai kuona, hakuna kulala hapa mpaka tuzo ije Tandale
Poaaaaah.Sina wasiwasi, ni majukumu yetu kuondoa uchafu huku tunakunywa juice ya tende