Busara kidogo inahitajika katika hili

Tell him the truth

Aavhe kulalamika, badala ya kukuweka karibu anakupoteza

Pia kuibuka na kuja kujitambulisha kwako haina maana mtabond na kuclick.....

alishamiss miaka kadhaa nyuma...

alishamiss kipindi muhimu cha kubond...

kiufupi alishaipoteza haki yake ya ubaba kwa baba yako mlezi!!!

Awe mpole na achukulie taratibu


Unahitaji muda wa kumzoea na unahitaji muda wa kuwazoea pia hata hao ndugu wengine....na sio kuforce ..... hiyo lazima anayoilazimishia sasa hivi angeitumia wakati mdogo na si kukutelekeza/ kuikataa mimba


Na ashukuru mama yako aliamua kumuacha maishani mwako


Na hii iendw ikawe funzo kwa wakataa mimba wote!!!
 
this is too much exaggeration mkuu
 
Ukitaka kuharibu maiaha Yako na baraka zako , utakapompuuza baba Yako mlezi na mama , haujui kwa nn baba mzazi anakutafuta inawezekana anamambo yake anahitaji kupitia ww ndio afanikishe katika ulimwengu wa roho kuwa makini sana .......bahati huwa ni mara moja majuto hujirudia mara kwa mara

sent from HUAWEI
 
Mambo ya Roho yanakuja leo ashakua mkubwa??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wakati akiwa mtoto anakua anahitaji malezi na mahitaji mambo ya roho hayakuwepo[emoji38]

Dada huyo baba yako jua tu yupo hai na umeshamsamehee ila kamwe usitake kujionyesha sijui unamfeel sijui mara upendo dont Fake at all achana naee kama hakutaka kuwepo kwenye maisha yako kipindi chote hicho why now???? Kuwa baba sio kukojoa na kuondokaa kuwa baba ni kumlea mtoto na kubeba majukumu...
 
Umenena vyema sana lakini Huyu dada kumjua baba yake mzazi tu inatosha maana hata sasa mama yake hajarudiana na baba yake so haibadilishi kitu hata kama Mama ake alizingua mambo bado ni yale yale.. Baba mzazi asitegemee mapenzi ya huyu dada love come with cost sio rahusi hivyo..
 
Acha excuse za ovyoo wewe kwa hiyo kama hamjaplan kuzaa akipata mimba ndo unamtelekeza na mtoto????
 
Kama baba alikutelekeza wew na mama yako kwa sababu yoyote ile either makosa ya mama yako au ugomvi wao bhasi Huyo atabaki kuwa baba mzazi lakini hapaswi kulazimisha umpe upendo ambao kiufupi utakua unafake... Baba yako mlezi ndie baba yako anaedeserve all ur love na respect ila baba mzazi umfahamiane tu kila mtu ashike zake sio kuanza kutaka kupalilia upendo leo ni Kuidanganya nafsi yako.
 
Uko sahihi. Kumjua baba yake na ndugu zake inatosha na haina maana aanze kuutafuta upendo kwa o kwa remote. Mengine yatakuja automatically mbele ya safari ila kiuhalisia hawawezi kuwa na bond ya kifamilia.

Tunachohofia wazee ni watoto wa baba mmoja au watoto wao kukutana na kuanza mahusiano.
 
Yaah ndo hicho tu ila the rest huyu mzew awe mpole wengine hawanaga aibu hadi mahari wanatakaga wapokee wao[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787] Bila hivyo siki ya mahari anakuja kuharibu shughuli wazee wengine vimeo unaweza tamani kumpoteza kabisa yani hiyo ni Case imetokea live nikishuhudiaaa...
 
Very true. Ila pia nimeona baadhi ya wazee wanatamka wazi huyu ni mtoto wangu ila yupo baba yake aliyemlea ndio anapaswa kupokea ingawa kwa kweli kuna wazee ni vimeo balaa anaweza taka hata kuvunja ndoa ya baba mlezi
 
Acha excuse za ovyoo wewe kwa hiyo kama hamjaplan kuzaa akipata mimba ndo unamtelekeza na mtoto????
Kukosana kupo tu kwenye relationshis hasa kipind ch mimba zisizo rasmi.
Najiuliza tu.....wht kama jamaa hapo nyuma alitaka kurud ila akakuta mama kashaolewa na baba mlezi ana provide..wht if kama jamaa akaona si busar ku intrude akaharib mahusiano y family y ex wake so akaamua ku sacrifise asilet mikanganyiko ya kifamilia?? What if? Najiuliza
 
Very true. Ila pia nimeona baadhi ya wazee wanatamka wazi huyu ni mtoto wangu ila yupo baba yake aliyemlea ndio anapaswa kupokea ingawa kwa kweli kuna wazee ni vimeo balaa anaweza taka hata kuvunja ndoa ya baba mlezi
Acha kabisa so huyu dada awe makini baba kulazimisha Upendo ghafala hivi sio kawaida Just imagine baada ya Miaka yote hiyo baba yake mlezi kumpa mapenzi na upendeleo kama mwanae wa kumzaa mahari apokee baba mzazi aiseee ni Kujitakia laana tu.. Atafanya baba mzazi ajutie sana hata kama haitaki hiyo mahari maneno ya waja na wanae yatampa shida sana
 
Very true. Ila pia nimeona baadhi ya wazee wanatamka wazi huyu ni mtoto wangu ila yupo baba yake aliyemlea ndio anapaswa kupokea ingawa kwa kweli kuna wazee ni vimeo balaa anaweza taka hata kuvunja ndoa ya baba mlezi
Umeon eeh?nimeuliza hapo juu..what if jamaa alitka kurud kitambo ila akaona si vyema kuharibu ndoa ya huyo mama?
 
Ngumu kumeza hii

Jitahidi uwe unawasiliana nae japo mara moja kwa siku mbili na kumtembelea japo mara moja kwa siku 45
 
Mkuu kwa hapo Walipofika hao wazee hakuna anaeweza kusema ukweli what happened unadhani mama diamond why hajawahi mkaribisha baba diamond kwenye maisha yake tena na kwenye mafanikio ya mwanae???? Wazee wanazingua na mama zetu pia sometimes chenga so huyu dada ninachosema amtambue baba yake mzazi ila asilazimishe upendo never...
 
Umenena vyema mzee wa kimsihara.Maan watu badala ya kutoa ushuri wamejikita sana kumshutumu huyu mzee....

Mimi pia sishauri Carleen ajisumbue kw lolote na huyu mzee ila we rest hatujui the bckground...tusimhukumu mzee wa watu
 
Umenena vyema mzee wa kimsihara.Maan watu badala ya kutoa ushuri wamejikita sana kumshutumu huyu mzee....

Mimi pia sishauri Carleen ajisumbue kw lolote na huyu mzee ila we rest hatujui the bckground...tusimhukumu mzee wa watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…