Busara kidogo inahitajika katika hili

Utopolo...!
 
WOW
You have made my day.
It is very rare to read a wonderful and fantastic comments like this in a JF.
Nice counselling
Love of God be with you mate.
Good Day.
 
Pole sanaa lakini kikubwa shukuru Mungu umepata upendo wa baba mlezi. Hakuna kitu kinachompa mtoto ujasiri,,,akili nk. Kama upendo. Bond ya familia inatokana na upendo na si vingine.

Hata kwenye familia ya baba na mama watoto wengi wanawapenda mama ,,sababu ya bond muda mwingi mama anakuwa na watoto,,,atawajulia hali atawapikia chakula,,,lkn utakuta wababa wengi wapo busy na kutafuta hela. Shule anaenda mama,,mambo madogo madogo ndo yanaleta bond. Mwisho wa siku wanakuja jilaumu na kusingizia kuwa mama anawalisha sumu. Kama mtoto ulimwonyesha upendo toka mdogo amekua anauona na kuuishi hata mama amlishe sumu kiasi gani. Upendo utaishi moyoni mwa mtoto. Tofauti na hapo ni lawama zisizo na msingi.
 
Hahahaa...
Mmenichangamsha mpaka nimecheka tena..!
kale ka Uzi niliwahi ku comment mwanzoni kabisa lakini nilivyoona kananipeleka jehanum peku peku nikafuta na ile comment kabisa..!
Wapi tena? But please forgive and forget. I have also forgiven so many people who have wronged me here. Forgive, let go and move on.
Let's concentrate on your issue, I really need to talk to u privately. U really need someone special, caring and my words of encouragement will help u
 
Umetoa ushauri mzuri.
 
Na hapo anaumia sana kuona baba mlezi anapendwa na kuthaminiwa
 
Wakati mwingine kukubali Mimba sio rahisi kihivyo!!mnajikuta mpo watatu KWA dem mmoja wakati huo huo Hadi unafanya kusitisha MAHUSIANO!!sasabaadae unaambiwa mimba unashtuka!!
Sasa kinachofanya umtafute akiwa kashakua mkubwa ni nini?

Ukishikilia kukana mkane hadi kufa kwako
 
Sasa kinachofanya umtafute akiwa kashakua mkubwa ni nini?

Ukishikilia kukana mkane hadi kufa kwako
Nilikuja kujua badae nimekausha Hadi leo!!japo anateseka Sana KWA taarifa ;!wameshaachana na jamaa ni teja hana makazi maalumu anatelekeza watoto hawana hats chakula!!nilishindwa cha kufanya na mama mtu watoto walitoroshwa hawajulikani walipo!!
 
Nilikuja kujua badae nimekausha Hadi leo!!japo anateseka Sana KWA taarifa ;!wameshaachana na jamaa ni teja hana makazi maalumu anatelekeza watoto hawana hats chakula!!nilishindwa cha kufanya na mama mtu watoto walitoroshwa hawajulikani walipo!!
Hata story yako na hii hazifanani
 
Mbegu za uzazi haziwezi kutengenezwa maabara wacha kutushika maskio MUHENGA feki

Kama hukuzaliwa mazingira hayo huwezi kijua, waswahili wanasema anayekulisha ndo anayekumiliki, why do you respect your parents Kama unao, simply because they you came in this world through them, their responsibility was to feed, raise you and take care of you: kukulisha , kukutunza na kukulea ndo utimilifu wa uzazi wao kwako: Haijalishi what happened between baba na huyo binti, lakin absence ya biological father Kwa huyu binti, it disqualifies him automatically as a father: period:
 
Hey guys..!
Huwa napenda kuja hapa na uchiinga' wa hapa na pale, ila naombeni Leo niwe serious kidogo, hii ni issue ya kweli kabisa
Naona wewe,mama yako na babako mzazi mnamuandalia huyo baba mlezi maumivu yakumtosha na majuto juu.

Endeleeni muda utaongea.
Mnawasiliana naye wa nini sasa?
Mmekosa nini kwa huyo baba mlezi aliyejitoa kwa ajili yenu?
Inashangaza sana na ndio maana singo maza hawaaminiki kabisa huyo mamaako ajiangalie sana angekuwa anathamini upendo wa mume wake angekupiga stop kuwasiliana na huyo wakuitwa baba mzazi kudumisha amani nyumbani kwenu msimuone huyo mlezi wenu mjinga anausoma mchezo
 
Mungu akupunguzie uchungu na maumivu whiterose,
Ahsante..!!
 
UR VERY LUCKY!! Hongera kwa kupata malezi ya baba japo sio baba mzazi. Mimi hapa nimeanza kuishi na baba mzazi nikiwa form one kiukweli paka leo I don’t feel km nina baba yaani ni 0 bond btn Us, sometime tunakaa hata mwaka mzima bila kuonana wala simu mi nahisi labda anasubiri akizeeka hajiwezi ndo aanze kunitafuta.

Please usimuumize huyo baba bora, how I wish yani hayo mapenzi ningeyapata mimi.

All the best dear
 
I heart your contribution
Bila shaka hicho kichwa chako ni madini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…