Busta Rhymes: Diamond ni Michael Jackson wa Africa

Michael Jackson huyu au wa wapi ?

Busta kabuma, kazeeshwa na madawa. Nahisi hajielewi kabisa.
 

Attachments

  • mjcontentt_1625076773350132.mp4
    6.6 MB

Labda bastarahimu wa BUZA KWA LURENGE.
 
Page ipi ya Insta ameandika hayo? Post ya lini? Explore account ya Busta hutoona huu uongo.

Then ukisema Busta ni No. 1 kwenye tongue twist sio sawa kuna kina Bone thugs n' harmony unawaacha wapi?

Hapa Twista na Krayzie Bone waflow fasta sana.

 
Kwa sasa huyo busta huko marekani ni sawa na dudu baya huku bongo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Kwa condition anayopitia diamond we ulitaka aambiwe ukweli apate maumivu mara mbili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…