Mbona wewe hujafa au wewe ni mbwa?Nenda wewe ukashauri, ukigaragara na kupiga magoti!
Watu wanakufa!
Mkuu umekula wanzuki?Mbona wewe hujafa au wewe ni mbwa?
Huko uingereza wanatupiga ban ya kwenda huko wakati nao wanapigwa ban ya kwenda umoja wa ulaya,
Sasa wao na sisi tuna tofauti gani?
Ten afadhali na sisi tunadunda tu bila ya taabu kama wao, maana kifedha wanatuzidi sasa wanashindwaje kujitibu na kuizuia?
Chanjo wamepata lakini bado wanaogopa corona kwa hiyo hiyo chanjo yao ni ya uongo?
Afya ya kwako unangoja upewe tahadhari na nani? Banda la jirani kuna kideri huimarishi banda lako unangoja mtu aje akwambie imarisha? Kuna matangazo ya tahadhari kwenye TV, Radioni, mabango barabarani, vituo ya basi hutaki kufuata ushauri unangoja umuone magufuri aje nyumbani kwenu akwambie kuna korona!!! Mbowe akitaka ushindi dhidi ya Magufuli ashinde mitandaoni akihimiza watu wajilinde na korona kwani nae si kiongozi pia? Au nae anangoja aambiwe na Magufuli?Kuua sio lazima kutumia bunduki au sumu. Hata kuacha watu kufa kwa maradhi ambukizi bila kuwapa tahadhari nako ni mauaji. Hayana tofauti na mauaji ya Kimbari.. Mbowe yuko sahihi na lugha aliyo tumia kwa maana viongozi wana fanya mauaji kwa kukusudia
Wale wale wananchi walioshindwa kumpa hata UBUNGE!Mbowe amekuwa akitumia lugha ya staha mara elfu elfu lakini walengwa wameweka viwambo vya mbao masikioni mwao.
Sasa kaona atumie lugha tofauti (na wananchi tunamuunga mkono kwa 100%) labda itazipasua hizo mbao za masikio!
Ni bora wanzuki kuliko bangi, maana mnapenda corona iwepo lakini ninyi hamtaki kuvaa barakoa na kukaa distance wenyewe mpaka mlazimishwe,Mkuu umekula wanzuki?
Mbona unabwabwaja kama huna akili nzuri?
Mbowe amekuwa akitumia lugha ya staha mara elfu elfu lakini walengwa wameweka viwambo vya mbao masikioni mwao.
Sasa kaona atumie lugha tofauti (na wananchi tunamuunga mkono kwa 100%) labda itazipasua hizo mbao za masikio!
Hakuna anayehangaika nae siku hizi sio KUB ni mzurulaji tu km Bashite.Asubiri kuitwa mahakamani kwa kosa la uchochezi[emoji28]
Lete picha!Ni bora wanzuki kuliko bangi, maana mnapenda corona iwepo lakini ninyi hamtaki kuvaa barakoa na kukaa distance wenyewe mpaka mlazimishwe,
Huyo mbowe anabwabwaja huku usiku utamkuta kajichanganya kwenye baa na wengine anapiga faru jonh bila tahadhali
Naona sindano ya Mbowe imewakolea. Safi sana!Aliondoka bungeni akajidai kuna Corona, usiku akaibukia kwenye pombe?
Tusipende kumtukuza mtu kwa kuwa tu yuko chama chetu. Yaani kila siku Mbowe yuko sahihi? Hata akivunjika mguu akasema nimekabwa, yuko sahihi, baadaye hatuhoji ukabaji huo ni wa nini? Ifikie hatua tujiulize ubora wa hawa tunaowaona ni viongozi. Ni watafutaji tu na siyo watu bora ktk jamii.
Mbowe anaugua ugonjwa unaoitwa post elections mental disorder
Dawa yake ni kupumzika sana,au kulima strawberry atapona haraka sana