Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #81
Dada mbona kama umechukulia personal??Analalamika huku anajua ana Bodaboda.. watu wengine wanashangaza sana.. amuache asimpotezee muda apate mwanamke mwingine..
Tabu kutokuwa na akili na maarifa na kusoma kote.. ndio muhusika.. shame
Wanatangaziana kwenye ofisi na mashina ya wakereketwa tuMbona hawajatangaza sasa
Weee!Kwanini anamuita bwana wake wakati bado hawajaoana wala jamaa bado hajapewa mbususu? Hawa bado wako katika kipindi cha uchumba.Hata hivyo kama wanapendana haina shida kuoana hata kama mwanaume ni mwendesha bodaboda wakioana maisha yatawanyookea mbele ya safari
Kwani uliambiwa alieandika ndio mwenye scenario??πππMbona ulicho andika hakina uhalisia na ww?sina cha kukushaur
Sio ya graduate WA UDSMπΆπΆπΆπΆDada mkubwa Kwanini bodaboda sio Kazi??
Si mpaka WA laki 5 ampende?!πΆπΆπΆOlewa na mpenzi wako yule anaepata basic salary 500k kabla ya makato au subr had utakapompata huyo unaemtaka mwenye uwezo wa kununua gari
AiseeNjoo kwangu kama shida ni pesa lkn mimi sio muoaji sasa utagua wewe pesa za watu au ndoa
Kwahiyo Sisi raia tunapataje AJIRA sasaWanatangaziana kwenye ofisi na mashina ya wakereketwa tu
Nakipata wap?!Unachokitafuta utakipata
Kama ana bodaboda mbona yupo njema sana huyo!! Kumbuka alizaliwa bila ya nguo. So, anachokipambania kipo hapa duniani na maadam anakitafuta atakipata tu.Dear Money Penny
YAH: BWANA WANGU ANAENDESHA BODABODA
Mimi NI binti ambae sikuwahi kuwa kwenye mahusiano nikiwa chuoni.
Nilikuwa busy na masomo na ibada za casfeta.
Mapenzi yangu yalikuwa Kwa Yesu.
Baada ya kumaliza masomo sikupata KAZI, nikasota benchi Kwa Miaka 5, wenzangu nilisoma NAO walishaolewa na kuzaa na KAZI wanazo.
Nimevumilia lakini dadangu akaniambia tafuta bwana angalau uzae UMRI unaenda.
Siku Niko kwenye fellowship nikakutana na Kaka mmoja mlokole mwenzangu, nae NI graduate lakini Hana ajira
Amenunua bodaboda Kwa mkopo WA kampuni ya "WATU" pale Tegeta ndio anafanya nayo biashara apate kipato
Lakini ni mwaminifu, ananipenda mno na KAOKOKA,
Hatujawahi zini, Ila naogopa Sana kuolewa nae, maana kipato chake NI bodaboda Tu naona aibu mpaka aje kununua gari haya maisha yatakuwaje?
Kweli money penny bwana wangu anaendesha bodaboda lakini naona aibu kumtambulisha kwetu, ananipenda Sana nifanyaje??
Wako
Eliza."
Jamaa. Eliza anaomba msaada huku
View attachment 2724672
HahahaaaDada mbona kama umechukulia personal??
Uko na bwana Bodaboda au ana degree Hana ajira?
Either way itakuwa kweli kwakeHahahaaa
Bro, unaendesha bodaboda au?! πKama ana bodaboda mbona yupo njema sana huyo!! Kumbuka alizaliwa bika ya nguo. So, anachokipambania kipo hapa duniani na maadam anakitafuta atakipata tu.
Kikubwa wewe pia upambane, siyo unakwenda kujitegesha kama Kitengwe Maulid.
NImeona umeanza kutunyanyapaaBro, unaendesha bodaboda au?! π
Jibu swali kwanzaNImeona umeanza kutunyanyapaa
πΆπΆπΆπΆπΆπππππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwambie huyo bwana ake ni Afisa safirishaji! Na siyo mwendesha bodaboda. Lakini pia atembee kifua mbele. Halafu umwambie bodaboda kwa siku analaza mpaka elfu 60! Kwa hiyo 60,000Γ30=1,800,000!Dear Money Penny
YAH: BWANA WANGU ANAENDESHA BODABODA
Mimi NI binti ambae sikuwahi kuwa kwenye mahusiano nikiwa chuoni.
Nilikuwa busy na masomo na ibada za casfeta.
Mapenzi yangu yalikuwa Kwa Yesu.
Baada ya kumaliza masomo sikupata KAZI, nikasota benchi Kwa Miaka 5, wenzangu nilisoma NAO walishaolewa na kuzaa na KAZI wanazo.
Nimevumilia lakini dadangu akaniambia tafuta bwana angalau uzae UMRI unaenda.
Siku Niko kwenye fellowship nikakutana na Kaka mmoja mlokole mwenzangu, nae NI graduate lakini Hana ajira
Amenunua bodaboda Kwa mkopo WA kampuni ya "WATU" pale Tegeta ndio anafanya nayo biashara apate kipato
Lakini ni mwaminifu, ananipenda mno na KAOKOKA,
Hatujawahi zini, Ila naogopa Sana kuolewa nae, maana kipato chake NI bodaboda Tu naona aibu mpaka aje kununua gari haya maisha yatakuwaje?
Kweli money penny bwana wangu anaendesha bodaboda lakini naona aibu kumtambulisha kwetu, ananipenda Sana nifanyaje??
Wako
Eliza."
Jamaa. Eliza anaomba msaada huku
View attachment 2724672
Walete ushahidi iKIWA na weweMwambie huyo bwana ake ni Afisa safirishaji! Na siyo mwendesha bodaboda. Lakini pia atembee kifua mbele.
Maana nasikia hao bodaboda eti wana maisha mazuri kuliko hata mwalimu mwenye elimu ya chuo kikuu! Na haya siyo maneno yangu. Ni maneno ya baadhi ya watu humu jukwaani.