Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Ujenzi wa Bwawa hilo (JNHPP) ambao hadi Novemba 2022 ulikuwa umefikia 77.15%, unatazamiwa kufikia 80% wakati mchakato wa kujazwa maji utakapoanza.
Meneja Mawasiliano wa Shirika la Umeme Tanzania TANESCO, Elihuruma Ngowi amesema “Ujazaji maji utaanza wiki ijayo Desemba 22, 2022 na siyo leo (Desemba 15) kama ilivyoelezwa awali.”
Pia Soma: KUMEKUCHA! JNHPP Kuanza kujazwa maji Disemba 15, 2022
Meneja Mawasiliano wa Shirika la Umeme Tanzania TANESCO, Elihuruma Ngowi amesema “Ujazaji maji utaanza wiki ijayo Desemba 22, 2022 na siyo leo (Desemba 15) kama ilivyoelezwa awali.”
Pia Soma: KUMEKUCHA! JNHPP Kuanza kujazwa maji Disemba 15, 2022