ngafu.fijo
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 1,237
- 1,099
Kuanza kukusanya maji tarehe 22 ni ndoto..Niko site huku ndio ninachokijua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm wanajua hawashindi uchaguzi kwa Kura,so hawafanyi miradi kwa ajili ya uchaguzi/Kura,wanajenga sababu Wana dhamana hiyo
Kinaxhofanyika ni spinning DoctoratesWana babaika nini? Kwani tuliwauliza? Sisi bado tuko na huyu aliyenunua behewa moja kwa bilioni mbili na ushee.
Mara tarehe 15
Mara tarehe 22
Tunajua hata hiyo 22 itasogezwa mbele mpaka mwakani April.
Who doesn't know Tanesco/wizara ya Giza/Kipara et al?
Huyo dogo,hajatoa habari kamili, sijui nchi hii inakumbwa na nini?Safi Sana ilani inatekelezwa kabla ya muda
Sifa za kijinga,nini kipya hapo,?bwawa lingekuwa limejazwa maji kitambo na kina Kalemani,mkawafanyia figisu za kifalafala tuView attachment 2453099
Geti litakalofungwa.
Pamoja na ukweli kuwa sikuwa mshabiki sana wa JPM, lakini kwa bwawa la Nyerere alipiga bingo...
Kuna trion 1.5 tunamdai mkandarasi kwa kuchelewesha mradi wetu, tutatega masikio tusikie iwapo viongozi wetu wanaumakini na pesa zetuSifa za kijinga,nini kipya hapo,?bwawa lingekuwa limejazwa maji kitambo na kina Kalemani.
HakikaKuna trion 1.5 tunamdai mkandarasi kwa kuchelewesha mradi wetu, tutatega masikio tusikie iwapo viongozi wetu wanaumakini na pesa zetu
Na sikukuu hii sisi si wakukaa giza na wakati mkoa wetu ni moja ya mkoa mkubwa sana.View attachment 2453099
Geti litakalofungwa.
Pamoja na ukweli kuwa sikuwa mshabiki sana wa JPM, lakini kwa bwawa la Nyerere alipiga bingo...
Hata SGR kwenda Morogoro ilikuwa ikamilike miaka mitatu iliyopita, mbona hulalamiki?Sifa za kijinga,nini kipya hapo,?bwawa lingekuwa limejazwa maji kitambo na kina Kalemani,mkawafanyia figisu za kifalafala tu
Two wrongs don't make a right.Hata SGR kwenda Morigoro ilikuwa ikamilike miaka mitatu iliyopita, mbona hulalamiki?
Na kodi unazodaiwa umekamilisha?
Sasa anayeuliza kuwa kwa nini halikujazwa miaka mitatu iliyopita fedha za ujenzi zingetokana na kinyesi chake?Two wrongs don't make a right.
Tafsiri isiyo rasmi kwa kiswahili 'Kosa moja hali halalishi kosa lingine'
Nyie kwa roho zenu mbaya mnaishia kuishi mbavu za mbwa.Hii kitu inashabikiwa na wachache ambao ni chawa na walamba asali. Hivi sie wa kawaida unashangiliaje bwawa la umeme wakati upo katikati ya giza...
Mtu timamu wa akili hana tabia ya kusifia sifia katikati ya jamii inayozongwa na matatizo yaliyosababishwa na hao anaowasifia..mtu wa aina hii ni kumhurumia, hasa familia inayomtegemea.Nyie kwa rohi zenu mbaya mnaishia kuishi mbavu za mbwa.
Hata zikija fursa mtu unaona na kuhangaika na roho mbaya.
Mtia posti bugia chumvi uloweshe ulumi wako mwenyewe.
Una dalili zote za mtu masikini wa roho na kipato.
Hivi kweli unaamini hiyo. Zikiridishwa nitafute inbox nikupe bia. Hawa hawa waliosamehe Trillion 300 leo wanakosa kila kukicha halafu wanajisifu na wanatakatuwapongeze kwa kulipa sana hayo madeni.Kuna trion 1.5 tunamdai mkandarasi kwa kuchelewesha mradi wetu, tutatega masikio tusikie iwapo viongozi wetu wanaumakini na pesa zetu
Watu mna machuki kmmmaeeee, dah!!!Sifa za kijinga,nini kipya hapo,?bwawa lingekuwa limejazwa maji kitambo na kina Kalemani,mkawafanyia figisu za kifalafala tu