Bwawa la Mwalimu Nyerere kuanza kujazwa maji Desemba 22, 2022
Kuna trion 1.5 tunamdai mkandarasi kwa kuchelewesha mradi wetu, tutatega masikio tusikie iwapo viongozi wetu wanaumakini na pesa zetu
Hiyo wanaona sio hoja Trilioni 1.5 za watanzania wanataka zipotee bila maelezo yoyote. Makamba akatengeza Kongamano la Wahariri ili kutoa maelezo mbele ya Rais kwamba maji yamekauka hivyo tutasubiri miaka miwili bwawa lijae ndio lianze kuzalisha umeme.
 
We don't like your praising attitude to the ones caused all these mess of power shortage n doing zero to address..tell them to direct their attention first to the problem facing now..
Kijana wa 1990 andika tu kwa kiswahili, tutakuelewa.
 
Kuna wengi wanajua TANESCO ipo kwa kuwasha tu swichi ya taa.
Ukiwauliza umeme umepatikana vipi na wapi huwa hawana idea yoyote, na wengi ndio hicho kizazi cha miaka ya 1990.

Mimi nimefika huko Stiglaz, na kazi iliyofanywa na serikali wengi hawaijui.
Kwa tunaoelewa tuipongeze tu serikali kwa hatua iliyofikiwa.
Mkuu unadhani ni muhimu sana kila mwananchi kujua Megawatts sijui Dam Serikali ina nafasi yake na Wananchi wana nafasi yao...Serikali inatakiwa ipongezwe kwa huo mradi ila sio kusema kila mtu lazima ajue....
 
Unaumwa wewe mtoto n don't know what you r talking about..seek medical attention for your brain before it s too late.
Bdala ya kuongea mambo technical, na yenye maana kwa Taifa, umeongelea kwa ufasaha matundu uliyofundishwa na kulelewa nayo.
Hii mijadala ya kutumia akili waachie wenye uwezo nayo.
 
Mkuu unadhani ni muhimu sana kila mwananchi kujua Megawatts sijui Dam Serikali ina nafasi yake na Wananchi wana nafasi yao...Serikali inatakiwa ipongezwe kwa huo mradi ila sio kusema kila mtu lazima ajue....
Kujua ni kuelimika.
Na ukielimika ni faida kwa mtu binafsi na kwa Taifa.
Be informed.
Wajapan hawana malighafi na rasilmali nyingi, hawana mito ya kutengeneza miradi ya umeme.
Lakini they are one of the most informed societies in the world.
Jua kali kama letu wanageuza umeme.
Wana importuranium kutengeneza Nuclear Power Plants.

Sasa mkuu ukiupigia debe ujinga, lazima tukshangae.
 
Siku ya leo 22/12/2022, bwawa linaanza kujazwa rasmi.

Hongera Mama Samia, hongera TANESCO, hongera wale wahandisi wa Kitanzania na wafanyakazi pale kwenye mradi ambao wanafanya kazi usiku na mchana.
Sisi wajenzi tunatiwa moyo na kazi kubwa na ngumu mnayoifanya.
God Bless Tanzania!
 
Kujua ni kuelimika.
Na ukielimika ni faida kwa mtu binafsi na kwa Taifa.
Be informed.
Wajapan hawana malighafi na rasilmali nyingi, hawana mito ya kutengeneza miradi ya umeme.
Lakini they are one of the most informed societies in the world.
Jua kali kama letu wanageuza umeme.
Wana importuranium kutengeneza Nuclear Power Plants.

Sasa mkuu ukiupigia debe ujinga, lazima tukshangae.
Mkuu mimi siwezi kujua kila kitu na kutokujua baadhi ya vitu sio ujinga mkuu Tanzania watu wamebaki wanajua vitu vingi harafu hakuna hata kimoja cha maana kinachofanyika kwa Umakini...hapa nikimuuliza mtoto wangu wa shule anasikia kelele za megawatts za Tanesco lakini umeme hakuna na ukiwepo tunatumia kwa vitu vichache maana upo ghari sana hapo Zambia umeme watu hawajui mambo ya megawatts wala unit ila wakitoa elfu tano yetu wanapata zaidi ya 100 units leo hii...
 
Nikiiangalia eneo la Kuzalisha Umeme pale Jinja nchini Uganda ulipo Mto Nile kisha nikiiangalia na mandhari ya JNHPP pale Mto Rufiji naona tofauti Kubwa kama ya Lionel Messi ( PSG FC ) France na Clement Mzize ( Yanga SC ) Tanzania?

Muonekano ni wa Kilokoloko mno tu.
 
Nikiiangalia eneo la Kuzalisha Umeme pale Jinja nchini Uganda ulipo Mto Nile kisha nikiiangalia na mandhari ya JNHPP pale Mto Rufiji naona tofauti Kubwa kama ya Lionel Messi ( PSG FC ) France na Clement Mzize ( Yanga SC ) Tanzania?

Muonekano ni wa Kilokoloko mno tu.
Hata mimi naona hivyo
 
Back
Top Bottom