Bwawa la Stiegler's Gorge kuanza kujengwa na kampuni ya Misri

Bwawa la Stiegler's Gorge kuanza kujengwa na kampuni ya Misri

kwa utamaduni wetu sisi watanzania.
Tanzania haijawahi kuwa na "utamaduni wa kutekana", kamwe.
Swali lako halikuwa na uungwana wowote ndio maana nikakujibu hivyo. Sasa kama unataka tuwe waungwana, usiulize maswali ya kijinga tena.
 
Tanzania haijawahi kuwa na "utamaduni wa kutekana", kamwe.
Swali lako halikuwa na uungwana wowote ndio maana nikakujibu hivyo. Sasa kama unataka tuwe waungwana, usiulize maswali ya kijinga tena.

Nawasilisha kwa MOD na mbele zaidi ya hapa nijue nani yuko sahihi na hatua muafaka zichukuliwe
 
Yaani badilisheni hela zote zilizoko hazina kuwa mataruma ya reli,mabwawa, madaraja halafu muite ni maendeleo.
Chimbueni mafaili yote ya Nyerere ili mtimize ndoto zake Ila mjue mtaani hata mlo mmoja unataka kushindikana.
Uongo mkuu huku kwetu mbona tunapeta tu.
 
Kosa lako utalifahamu muda muafaka, na ili iwe fundisho kwako kutumia lugha inayostahili mitandaoni
Eeeh, wewe usitishe watu bwana.
Ngoja nikwambie: watu kama wewe ndio mnaochafua taswira ya nchi yetu, mnatabia za kuchomeana tambi kama mfanyavyo huko facebook na kwingine ili mradi muwatishe na kuwanyamazisha watu wasitoe mawazo yao.
Tabia hii yako niliiona baada tu ya kuni'quote'. Sasa nakwambia usinitishe, kwa sababu sitishiki. Na Moderators wa JF sio sehemu ya kuziba mawazo ya watu. Vinginevyo forum hii isingekuwepo.
 
Kwenye form of tender (experience of the company)kuna kipengele kinataka, experience of similar nature under taken for the last five years)

hao waarab Mara ya mwisho kejenga dam ni mwaka 1970 baada ya miaka 48, kuna makampuni yanamejenga project kama hiyo mwaka huu.
Mbona kama vile kuna harufu ya rushwa tunaanza kuchimba tutawakamata tu.
Halafu nakumbuka Bwawa la Aswan lilijengwa na USSR ya wakati ule! Hapo inabidi tufanye "due diligence" kujiridhisha.
 
Kampuni ya nchini Misri inayomilikiwa na serikali, Arab Contractors imeshinda tenda ya kubuni/kusanifu na kujenga bwawa la Stiegler's Gorge katika maporomoko ya mto Rufiji.

Baada ya Kampuni hiyo kushinda tenda, Rais wa Misri, Abdel-Fattah al-Sisi amempigia simu Rais Magufuli na kutoa shukrani huku akimwambia kama atamkaribisha atapenda kuhudhuria katika sherehe ya uwekaji wa jiwe la Msingi la ujenzi wa bwawa hilo kuonyesha mahusiano ya karibu ya kiuchumi kati ya nchi yake na Tanzania.

Rais Abdel-Fattah al-Sisi aliwahi kutembelea Tanzania mwaka 2017. Kabla ya Al Sisi, Rais wa mwisho kutoka Misri kuitembelea Tanzania ilikuwa mwaka 1968.

Kampuni ya Al Moqaweloon Al Arab iliyoshinda tenda inasifiwa kwa kazi mbali mbali za ujenzi ambazo inazifanya hasa katika nchi nyingi za Mashariki ya Kati na barani Afrika.

Hii ni kampuni ambayo imejenga bwawa linaloitwa Aswan high dam mwaka 1970 ambalo liko nchini Misri. Bwawa hili liligharimu zaidi ya US $1 bilioni.

Inakadiriwa bwawa la Stiegler's Gorge likimalizika kujengwa litatoa umeme wa zaidi ya 2,100 MW. Kwa sasa Tanzania ina uwezo wa kuzalisha umeme wa 1,540 MW nchi nzima.

Mbona Aswan ilijengwa na Warusi au kuna Aswan mbili? Wenye uzoefu wa kjujenga hydro electric power generating Stations kubwa ya kwanza ni:
Uchina (Three Gorge Power Generating Project nchini mwao, Blue Nile Hydro huko Ethiopia,Owen falls phase two in Uganda). Nchi ya pili yenye uzoefu ni Urusi nchi ya tatu yenye uzoefu ni Brazil.
 
Kwani kipi kilianza, MO kutekwa au mchakato wa ujenzi wa bwawa?
Mnakejeli kila jambo linalofanywa na serikali ya JPM. Sijui mfananishwe na nini?
Wakiacha kujishughulisha na mambo ambayo wakati wanaomba ridhaa ya uongozi hawakusema watajishughulisha nayo automatically hivi vijembe na dhihaka vitaisha tu vyenyewe. It's very simple as such.
 
Hiyo yenyewe ya kutokupa uhuru wa kuwachagua uwatakao ni faida tosha..maana uhuru bila mipaka ni vurugu..umpe nchi kichaa kama lema..si tutauzwa hadi raia..we la msingi sema umepewa uhuru wa kuishi popote na kuoa wake wowote..kizuri zaidi amewapa hadi uhuru wa kuzaa utakavyo..
Yaani akili imeishia hapo tu, ebu jaribu kuipanua walau kidogo iende zaidi ya hapo. Never exposé your naivety.
 
Bwawa la Aswan aka (Aswan High Dam) ilijengwa na ile iliyokuwa USSR kwa ombi la aliyekuwa rais wa wakati huo wa Misri Gamal Abdel Nasser (Rip).

Hii ya kusema eti walishirikiana na kampuni ya Arab Contractors nafikiri ni namna tu ya kutafuta kuwapamba hawa waarabu tusihoji uwezo wao. Tanzania ya sasa ni wazuri sana ktk hili.
 
Yaani badilisheni hela zote zilizoko hazina kuwa mataruma ya reli,mabwawa, madaraja halafu muite ni maendeleo.
Chimbueni mafaili yote ya Nyerere ili mtimize ndoto zake Ila mjue mtaani hata mlo mmoja unataka kushindikana.
Fanya kazi ka ulizoea ujanja ujanja utalala nja live
 
Mradi wa SGR ni 7t, fedha za ndani imesemekana itakuwa 1t. Mkopo bado kutoka China, itategemea kama China watatoa. Ila wasipotoa hata kipande cha Dar-Moro itakuwa ngumu kukamilika.
Naomba nikusahihishe mkuu! Fedha ya ujenzi wa SGR toka Dar - Morogoro haina mfadhili ni kodi yako alafu fedha ile haizidi ni kama Trillin 4 hivi na haijatoka kokote na hatutegemei kutoa kokote zaidi ya fedha zetu za ndani, Mchina tumeshindwana kwenye masharti yake Rais akaona aanze mwenyewe ndiyo akaja Standard Charted kutukopesha, Kipande cha Moro-Dodoma ni Trillio n 3 hivo kufanya jumla ya Trillion 7 toka Dar to Dodoma na mkataba wa hicho nkipande cha pili ushasainiwa tayari kabla ya Ctandard Charted kutupatia mkopo. Yarp Markez kama kawaida atashulikia hapo.
 
Back
Top Bottom