Bwawa la Stiegler's Gorge kuanza kujengwa na kampuni ya Misri

Bwawa la Stiegler's Gorge kuanza kujengwa na kampuni ya Misri

Nyie ndio mliweka mashindano, saa hii naona mmekata pumzi. Ni kuteka tu.
Serikali inayoongozwa na jpm itakuwepo hadi 2025 na huu ndio ukweli mchungu. Kushindana na mtu ambaye kwa vyovyote vile humuwezi nafikiri ni kupoteza muda.Kukata pumzi ni pale mtakapoweza kuitoa serikali madarakani iwe kwa kura au kwa kupindua nje ya hapa tunaita kelele za chura.....
 
Yaani badilisheni hela zote zilizoko hazina kuwa mataruma ya reli,mabwawa, madaraja halafu muite ni maendeleo.
Chimbueni mafaili yote ya Nyerere ili mtimize ndoto zake Ila mjue mtaani hata mlo mmoja unataka kushindikana.
Nyerere aliishi dunia iliyopita, ambayo ilikuwa na mahitaji ya kipindi hicho,mfano kuhamia Dodoma ni matumizi mabaya ya kodi zetu.Dodoma ilikuwa ni kwa mahitaji ya kipindi kile cha vita vya ukombozi hivo ilionekana dar si Salama kuna hatari ya kushambuliwa toka kwa makaburu na wareno,hivo Dodoma ni Salama. Tunaishi kwenye old world in the new World
 
Inakadiriwa bwawa la Stiegler's Gorge likimalizika kujengwa litatoa umeme wa zaidi ya 2,100 MW. Kwa sasa Tanzania ina uwezo wa kuzalisha umeme wa 1,540 MW nchi nzima.

Tulichelewa sana; nasubiri siku ambayo watu watanunua majenereta yatanunuliwa kwa ajili ya mtu kujitakia mwenyewe siyo kwa ajili ya kukosa umeme. Safi sana.
 
Serikali inayoongozwa na jpm itakuwepo hadi 2025 na huu ndio ukweli mchungu. Kushindana na mtu ambaye kwa vyovyote vile humuwezi nafikiri ni kupoteza muda.Kukata pumzi ni pale mtakapoweza kuitoa serikali madarakani iwe kwa kura au kwa kupindua nje ya hapa tunaita kelele za chura.....

2025 ni karibu sana, kaeni mpaka karne ijayo lakini mkubali kila siku kula dozi mara 3. Kama hivi mnavyotokwa na mishipa ya shingo ni mpaka hapo mtakapoamua kuachia madaraka wenyewe maana kwenye kura hamshindi.
 
Nasikia hilo bwawa kama litakamilika linavyotakiwa tz tuta enyoy sana kwenye umeme ila madhara yake inasemekana siku mvua itakuwa nyingi na bwawa kuongezeka maji usishangae mafuriko yakaja hadi vijiji vya kibiti hadi mkuranga
 
2025 ni karibu sana, kaeni mpaka karne ijayo lakini mkubali kila siku kula dozi mara 3. Kama hivi mnavyotokwa na mishipa ya shingo ni mpaka hapo mtakapoamua kuachia madaraka wenyewe maana kwenye kura hamshindi.
Hizi kelele zingekuwa zimeanza leo angalau utawala ungeogopa. Sasa sio leo na wengi wapiga kelele ni keyboard warriors
 
Hizi kelele zingekuwa zimeanza leo angalau utawala ungeogopa. Sasa sio leo na wengi wapiga kelele ni keyboard warriors

Kwa taarifa yako hizi kelele zinalipa ile mbaya, na huku mitandaoni ndipo kulipo na maoni halisi ya wananchi. Anayekudanganya kwamba haingii mitandaoni jua huyo anakudanganya. Huko kwenye tv, redio, magazeti nk hakuna uhuru wa maoni kama huku mitandaoni. Mitandao kwa sasa kwa ajili ya technolojia ndio yenye nguvu kuliko media yoyote.
 
Nimekumbuka maarifa ya jamii tumesoma sana hilo bwawa aswan
 
Kwa taarifa yako hizi kelele zinalipa ile mbaya, na huku mitandaoni ndipo kulipo na maoni halisi ya wananchi. Anayekudanganya kwamba haingii mitandaoni jua huyo anakudanganya. Huko kwenye tv, redio, magazeti nk hakuna uhuru wa maoni kama huku mitandaoni. Mitandao kwa sasa kwa ajili ya technolojia ndio yenye nguvu kuliko media yoyote.
Kuna kitu mnafikir mmekibadilisha toka muanze kupiga kelele?
 
Nimepitia website ya PPRA sijaona report yoyote ya mchakato wa manunuzi, hebu tusaidie maswali yafuatayo
1. Tender ilitangazwa link na wapi??
2. Tender ni ya aina gani/ local/ interational/
3. Consultant ni nani?? design and build??
4. Bidders wengine nikina nani?
6. Criteria za kumpata lowest evaluated bidder in zipi??
Tenda zitakuwa zinapitishwa na Jumba Jeupe .............!!
 
Serikali ya CCM inaendelea kuweka Alama ya Maendeleo
 
Kwani wananchi kutekwa sio aibu? Unataka ninindio uone aibu. Mtu aje nyumbani kwako kumteka mkeo?

Mimi niliuliza kistaarabu lakini wewe umejibu kwa jazba na pia 'kihuni'....kuandika kuwa "mtu aje kwako kumteka mkeo" ni majibu ya kihuni kwa utamaduni wetu sisi watanzania...Na kwa andiko lako hili inawezekana kabisa ukawa huna ustaraabu kabisa au ni mtu wa shari na tabia ya ubabe ubabe...ndani ya JF tumo watu wa aina nyingi na hivyo ni vizuri tuheshimiane na tupeane maelezo na maoni au mawazo kwa njia ya kistaarabu
 
Sijui kama january civil servants watapata salary yao!hali sii hali
 
Kuna kitu mnafikir mmekibadilisha toka muanze kupiga kelele?

Ndio mkuu, angalia sasa hivi wabunge wanaojizulu toka upinzani ndio wanaogombea huko ccm huku nyie ccm uniform mkibaki kuloga tu. Zamani ccm ilikuwa inaiba kura, ila kwa hizi kelele zetu sasa hivi kile kikundi cha utekaji ndani ya ccm hakiibi tena bali kinaagiza mgombea yoyote wa ccm atangazwe kwa lazima. Na sisi kupitia hizi kelele zetu tumefanikiwa kushawishi wapiga kura wasijitokeze ili hicho kikundi cha utekaji kilichojivika koti la uzalendo kiendelee kujitangaza kwa kura za kupika.
 
Tulichelewa sana; nasubiri siku ambayo watu watanunua majenereta yatanunuliwa kwa ajili ya mtu kujitakia mwenyewe siyo kwa ajili ya kukosa umeme. Safi sana.
Sina shaka siku za kuwasha majenereta kwa ajili ya kuzalisha umeme yako mbioni kufutika.

Kupanga ni kuchagua. Tulipanga kuwa dhaifu kwenye kusimamia maslahi ya taifa tukajikuta tunachagua kupata umeme wenye gharama kubwa na haupatikani wakati wote.
 
Back
Top Bottom