Bwawa la umeme la JNHP lingekamilika mapema hizi athari za vita vya Ukraine visingetuathiri kwa kiasi kikubwa. Uzembe wa January Makamba unatugharimu

Bwawa la umeme la JNHP lingekamilika mapema hizi athari za vita vya Ukraine visingetuathiri kwa kiasi kikubwa. Uzembe wa January Makamba unatugharimu

Ndugu yangu ule mradi ni wa mkopo na serikali imejikuta ina vipaumbele vingi kwa taifa na ni vyenye maslahi mapana kwa nchi yetu,ukumbuke always resources are limited hivyo ni ngumu kutekeleza yote at once No
January Makamba kama waziri mwenye dhamana ya nishati hapa nchini alipaswa kukomaa kwa hali na mali kuhakikisha JNHP inakamilika kwa wakati na ikiwezekana hata kabla ya wakati.

Kwa nini bila sababu za msingi alileta mizengwe juu ya ujazaji maji na kuchepusha maji?

Leo hii tungekamilisha JNHP kwa wakati tungesababisha bei ya umeme kushuka na hii ingesaidia kushusha gharama za uzalishaji kushuka na kusabisha bei za bidhaa kushuka.

Vita vya Ukraine hata kama vingeleta athari ingelikuwa kidogo sana.
 
Hapana Makamba hana uwezo tuacheni jamani bora apelekwe kwenye michezo na burudani
Inawezekana kabisa kweli hana uwezo, lakini je kwa hilo yeye angefanya nini? Sote tunajua namna JPM alivyokuwa fundi wa kupenda kufanya vitu vikubwa kwa bei chee. Kazi ya siku moja inafanyika kwa siku 10 na sio rahisi kuvunja mkataba naye na kutafuta mwingine maana ni gharama zaidi. Wewe ungependa Makamba afanye nini hapo?
 
Inawezekana kabisa kweli hana uwezo, lakini je kwa hilo yeye angefanya nini? Sote tunajua namna JPM alivyokuwa fundi wa kupenda kufanya vitu vikubwa kwa bei chee. Kazi ya siku moja inafanyika kwa siku 10 na sio rahisi kuvunja mkataba naye na kutafuta mwingine maana ni gharama zaidi. Wewe ungependa Makamba afanye nini hapo?
Awe serious kdg, ana bariki vitu kupanda bei, wafanya biashara wanafanya wanavyotaka na yeye yupo tu
 
Awe serious kdg, ana bariki vitu kupanda bei, wafanya biashara wanafanya wanavyotaka na yeye yupo tu
Kwa mfano? Mbona kupanda kwa vitu ni pure business. Kwani mmesahau wakati ule wa pirates wa kisomali? Kwa uharamia wao meli ilibidi ziogope kusafirisha vitu au zitumie gharama kubwa za ulinzi na vitu vikapanda bei. Tanzania huko corona haikuwa Jambo kubwa ila kwa nchi zilizoendelea kila kitu ni kama kilisimama. Sasa kama watu walikuwa hawatoki ndani kwenda kuzalisha na demand haikuwepo, kea sasa demand imerudi kwa kasi, tinatarajia nini unadhani?
 
Kwa mfano? Mbona kupanda kwa vitu ni pure business. Kwani mmesahau wakati ule wa pirates wa kisomali? Kwa uharamia wao meli ilibidi ziogope kusafirisha vitu au zitumie gharama kubwa za ulinzi na vitu vikapanda bei. Tanzania huko corona haikuwa Jambo kubwa ila kwa nchi zilizoendelea kila kitu ni kama kilisimama. Sasa kama watu walikuwa hawatoki ndani kwenda kuzalisha na demand haikuwepo, kea sasa demand imerudi kwa kasi, tinatarajia nini unadhani?
Hakuna kitu kama hicho, bei ya ng'ombe ipo pale pale lakini nyama buchani imepanda, mafuta alzeti, kila kitu isipokuwa bia pekee ndiyo haijapanda
 
Watu hamuelewi na ni kwasababu Serikali imejengeka katika mfumo wa kuficha siri. Ukweli ni kwamba aliyefanya Bwawa la Nyerere lichelewe si Samia wala January wala Kalemani. Ni Mwendazake.

Narudia tena ni Mwendazake kwa ubahiri wake wa kuipa kampuni isiyo na uwezo katika kutekeleza baadhi ya kazi.

Hiki kitu msitarajie kwamba kitakuja kisemwa hadharani na hata kama kitasemwa je mtakiamini? Serikali inalipa kwa wakati pesa na haidaiwi sasa si mjiulize kama shida ni Samia au January au nani?

Men, kufagia uchafu wa Malaika wa Chato si Jambo rahisi kama mnavyodhani.
Unaongea ushuzi mtupu
 
Who is sukuma ganga?

Wanawaita hivyo Watanzania wote wenye maoni tofauti na chawa, wanaotaka serikali imara, wanaojali maslahi ya umma, wanaopinga upigaji, ukanda,udini, ukabila, upendeleo wanaotaka uwajibikaji, mikakati madhubuti, wanaojali maisha ya Watanzania wengi.

75% ya Watanzania ukitoa vikundi vichache vidogo vyenye agenda zao binafsi na maslahi yao binafsi.
 
January Makamba kama waziri mwenye dhamana ya nishati hapa nchini alipaswa kukomaa kwa hali na mali kuhakikisha JNHP inakamilika kwa wakati na ikiwezekana hata kabla ya wakati.

Kwa nini bila sababu za msingi alileta mizengwe juu ya ujazaji maji na kuchepusha maji?

Leo hii tungekamilisha JNHP kwa wakati tungesababisha bei ya umeme kushuka na hii ingesaidia kushusha gharama za uzalishaji kushuka na kusabisha bei za bidhaa kushuka.

Vita vya Ukraine hata kama vingeleta athari ingelikuwa kidogo sana.
January alishalitolea ufafanuzi.Kama mlivyokuwa mnalishwa matango pori kuwa uchumi unakua kwa 7% ndivyo mlivyolishwa matango pori kuhusu progress ya Bwawa hilo.Sasa ni wakati wa kukabiliana na UKWELI.STAHIMILi (In Kipozeo voice)
 

IMG_4069.jpg
 
Sasa lingekamilika vipi kama kampuni iliyopewa kwa bei ya mchongo haina uwezo wa kukamilisha kazi kwa wakati?? Hili tatizo lilijulikana hata kabla Mwendazake hajaondoka ila hakuwa na option nyingine ya kumbadili maana alijua alichofanya. Ndio maana huo mradi umekuwa nyuma ya wakati siku nyingi tu. Achaneni na porojo za vijiweni January na Samia hawakufanya lolote la kuchelewesha huo mradi. Infact Mama amekuwa akijitahidi sana kutoa fedha kwa wakati. Mlitaka afanye nini sasa Ili ukamilike kwa wakati?
Ujingaa kabsa.
 
Dude, wajenzi wa Bwawa la Nyerere hawadai hata Shilingi. Msiandike kwa hisia nendeni site mkaone. Bwawa liko nyuma kwa sababu mkandarasi mmojawapo aliyepitishwa na Malaika hana uwezo wa kujenga kwa kasi inayohitajika. FULL STOP. Taarifa hii mngeambiwa mngeona ni kumponda Malaika wenu kumbe ndio ukweli halisi.
Wewe unaishi nchi gani na unafuatilia vyombo gani vya habari?.

Tafuta story ya CAG alipokuwa anakabidhi taarifa kwa rais alafu njoo haraka urudie kuandika.
 
January Makamba kama waziri mwenye dhamana ya nishati hapa nchini alipaswa kukomaa kwa hali na mali kuhakikisha JNHP inakamilika kwa wakati na ikiwezekana hata kabla ya wakati.

Kwa nini bila sababu za msingi alileta mizengwe juu ya ujazaji maji na kuchepusha maji?

Leo hii tungekamilisha JNHP kwa wakati tungesababisha bei ya umeme kushuka na hii ingesaidia kushusha gharama za uzalishaji kushuka na kusabisha bei za bidhaa kushuka.

Vita vya Ukraine hata kama vingeleta athari ingelikuwa kidogo sana.
Una akili timamu?
 
Sasa lingekamilika vipi kama kampuni iliyopewa kwa bei ya mchongo haina uwezo wa kukamilisha kazi kwa wakati?? Hili tatizo lilijulikana hata kabla Mwendazake hajaondoka ila hakuwa na option nyingine ya kumbadili maana alijua alichofanya. Ndio maana huo mradi umekuwa nyuma ya wakati siku nyingi tu. Achaneni na porojo za vijiweni January na Samia hawakufanya lolote la kuchelewesha huo mradi. Infact Mama amekuwa akijitahidi sana kutoa fedha kwa wakati. Mlitaka afanye nini sasa Ili ukamilike kwa wakati?
Mkuu utaeleza lakini wenye kuamini a man kutoka Chato hawaelewi. Na watu wanajifanya wanajua Kila kitu kumbe no kulamu bcoz kwann jamaa amepewa uwaziri na urais.
 
January Makamba kama waziri mwenye dhamana ya nishati hapa nchini alipaswa kukomaa kwa hali na mali kuhakikisha JNHP inakamilika kwa wakati na ikiwezekana hata kabla ya wakati.

Kwa nini bila sababu za msingi alileta mizengwe juu ya ujazaji maji na kuchepusha maji?

Leo hii tungekamilisha JNHP kwa wakati tungesababisha bei ya umeme kushuka na hii ingesaidia kushusha gharama za uzalishaji kushuka na kusabisha bei za bidhaa kushuka.

Vita vya Ukraine hata kama vingeleta athari ingelikuwa kidogo sana.
Kuna mkataba wa ujenzi wa bwawa, waziri amezuia au amefanya mabadiliko?
Kazi za kitaalamu, waachiwe wenyewe.
Hizi siasa za kijinga za kutafuta sifa kijinga ndilo tatizo la msingi.
Wanasiasa husema uongo ili wapate sifa.
 
Watu hamuelewi na ni kwasababu Serikali imejengeka katika mfumo wa kuficha siri. Ukweli ni kwamba aliyefanya Bwawa la Nyerere lichelewe si Samia wala January wala Kalemani. Ni Mwendazake.

Narudia tena ni Mwendazake kwa ubahiri wake wa kuipa kampuni isiyo na uwezo katika kutekeleza baadhi ya kazi.

Hiki kitu msitarajie kwamba kitakuja kisemwa hadharani na hata kama kitasemwa je mtakiamini? Serikali inalipa kwa wakati pesa na haidaiwi sasa si mjiulize kama shida ni Samia au January au nani?

Men, kufagia uchafu wa Malaika wa Chato si Jambo rahisi kama mnavyodhani.
Tatizo la wa Tanzania siasa ilisha wameza sana
 
Makosa yalianzia kuzuia matumizi ya gesi kuzalisha umeme kama mikataba ilivokuwa mwanzo before JPM.

Mega projects kama JNHP haikamiliki kwa kasi ya zimamoto kama ya yale mabweni chakavu ya UDSM.
Rudisheni akili zenu vichwani mwenu!
 
Back
Top Bottom