Ndugu yangu ule mradi ni wa mkopo na serikali imejikuta ina vipaumbele vingi kwa taifa na ni vyenye maslahi mapana kwa nchi yetu,ukumbuke always resources are limited hivyo ni ngumu kutekeleza yote at once No
January Makamba kama waziri mwenye dhamana ya nishati hapa nchini alipaswa kukomaa kwa hali na mali kuhakikisha JNHP inakamilika kwa wakati na ikiwezekana hata kabla ya wakati.
Kwa nini bila sababu za msingi alileta mizengwe juu ya ujazaji maji na kuchepusha maji?
Leo hii tungekamilisha JNHP kwa wakati tungesababisha bei ya umeme kushuka na hii ingesaidia kushusha gharama za uzalishaji kushuka na kusabisha bei za bidhaa kushuka.
Vita vya Ukraine hata kama vingeleta athari ingelikuwa kidogo sana.