maelezo yako umeandika hapo Simba michuano kama hii akjitahidi sana ni robo fainali.Soma vizuri maelezo yangu hapo juu. Mwakani kama sasa hivi mtakuwa mnawaangalia kaka zenu wakicheza fainali kama hii.
Vp huko inaonekana miguu ya mbavu miguu ya shingo inatembea sana ehh?🤔Watauwana hawa