Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uboya hii ni finalHapa ndiyo unaona namna gani Simba ni timu kubwa.
Al Ahly ndio walilazimisha pawe na final 2Jamaa watajuta kwanini wasiwe na Final moja..maana sgughuli ilikuwa imeisha
Kaa kwa kutulia gongo wazi.Acha uboya hii ni final
Ila waarabu huwa wanajua kumshinikiza refa kuanzia mashabiki mpaka wachezaji.Sio kweli refa Yuko fair sana ni mihemko tu imewajaa hao Al Ahly
Huyu kocha huwa namkubali sana.Team kishingo tujuane
Sasa kama ni kubwa mmeshidwa nini kufika fainaliKaa kwa kutulia gongo wazi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uwashindwe USMA na Al Hilal unajilinganisha na Al Ahly?Kweli ukichaa sio lazima ubebe matambara.
Refa kaamua kubance ile ilikua red cardGame za waarabu huwa zina michezo michafu sana refa ukiwa na temper unaweza ukapiga red card timu nzima, sasa kama huyo mjinga anaona refa keshapiga filimbi alafu anaenda kumshika sharti amezawadiwa kadi ya njano bado anamkoromea refa.
Wewe umechukua kombe mara 29 (mara nyingi kuliko Simba Sc), lakini hizo mara nyingi ulizopata kushishiriki hata makundi tu hujawahi kuingia.Haya ndiyo yale mashindano ambayo simba ikijitahidi sana huishia Robo fainali.
Naamini Mwakani muda kama huu Taifa litakuwa linawaangalia Wananchi kwa mara nyingine tena.
wamatumbi bado tuna uogo mwingi tofauti na hawa jamaa.ona mechi ya Simba mashabiki wa Wyda walikua wachache lakini walimamisha mpira kwa muda.Hapa ndiyo unaona namna gani Simba ni timu kubwa.
Tunafeli padogo sana. Wakati mwingine mpaka nakua na wasiwasi huenda viongozi wanauza mechi zetu tukiwa ugenini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]41'
Al Ahly wanakosa bao
Wakati huo refa anawafata kusimamisha mpira kufuatia mchezaji mmoja wa Wydad kulala chini.
Refa anatoa kadi ya njano kwa mchezaji wa Al Ahly kwa kitendo cha kumvuta shati mwamuzi wakati akielekea kuangalia afya ya mchezaji aliyelala chini.