Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitayose Vs Mashujaa ya Kigoma.Una angalia mechi ipi wewe
Hapa hutakuta timu ikifurahia kuondoka na medali bila kombe
Halafu itakusaidia nini? Mimi naongelea wakati ujao! Yaani mwakani. Umeelewa sasa? Au nikutafutie mwalimu wa tuition?maelezo yako umeandika hapo Simba michuano kama hii akjitahidi sana ni robo fainali.
nimeuliza tu swali mara ya mwisho mwaka gani mlifika robo michuano ya champions?
Yani ikitokea mshindi amekuwa yule ambae hamkumtarajia basi kigezo kinakuwa hiki?Hii michuano waangalie upya iwepo fainali moja tu.
Kitu pekee wametuzidi waarabu ni uzalendo wa kusimamia rasilimali kwa manufaa ya jamii nzima. Zaidi ya hapo ni wapuuzi tu kama sisi na pengine kuna maeneo wametuzidi upuuzi zaidi.Game za waarabu huwa zina michezo michafu sana refa ukiwa na temper unaweza ukapiga red card timu nzima, sasa kama huyo mjinga anaona refa keshapiga filimbi alafu anaenda kumshika sharti amezawadiwa kadi ya njano bado anamkoromea refa.
Katoto kazuri hujalala tu?Hii game jaman,uzuri waarabu wa pemba hujuana kwa vilemba.
Acha waoneshanee.
Bahati mbaya ya Ahly ni kumalizia game ugenini dhidi ya team ambayo unajua kutumia hiyo faida, tofauti na team zetu hizi zilizozubaa.Al Ahly bado ajashindwa hapo wekeni akiba ya maneno,hawa Mafarao wanatabia ya kuzinduka dakika chache sana alafu wanakiwasha.
Natazama mbungii, natamani al ahly achukue.Katoto kazuri hujalala tu?
Au nije nikukumbatie
Aahaaaaaa,uzuri wote ninkenge wa kiarabuLeo Al Ahly wakulalamika Waydad wanapoteza muda kweli!! ahahaha
Vipi nyie mmefikia malengo yenu msimu huu?Kwa kauli ya Hersi kasema wao lengo lao mwakani ni kuingia makundi.Hili sio kombe la losers.Wakiingia makundi Utopolo watakuwa wamefikia lengo na wamejitahidi sana.Miaka miwili mfululizo wameangukia pua.