Hawana timu ya kuingia makundi kule hakuna washuka darajaKwa kauli ya Hersi kasema wao lengo lao mwakani ni kuingia makundi.Hili sio kombe la losers.Wakiingia makundi Utopolo watakuwa wamefikia lengo na wamejitahidi sana.Miaka miwili mfululizo wameangukia pua.
Wydad ndo bingwa mtetezi, akichukua hapo maana amefanya back to back.Matokeo yakiisha hivi Al Ahly anavuliwa ubingwa
Mwakani muda kama huu insha Allah! mtakuwa mnawaangalia Wananchi. Hivyo dua zenu ni muhimu sana.Wewe umechukua kombe mara 29 (mara nyingi kuliko Simba Sc), lakini hizo mara nyingi ulizopata kushishiriki hata makundi tu hujawahi kuingia.
Kwanini unahisi Simba Sc alitakiwa achukue hilo kombe kirahisi?
Unatoka playoffs kila leo, hiyo nguvu ya kumcheka anaetika robi unaitoa wapi?
Fainali mbili haziwezi kufutwa hivi karibuni kwasababu ni sawa na kukataa pesa, kinachowezi kubadilika ni goal la ugenini.Naunga mkono hoja,
Al Ahyl ndo waraga wa CAF acha atolewe Ili akamlalamikie Rais wa CAF na CAF Ili wfute fainali mbili na goli la ugenini
Hapana bora abebe Wydad ili hawa Al Ahly wapate uchungu wakawashinikize CAF kufuta goli la ugenini. Al Ahly wana nguvu kubwa pale Caf. Misri walisimika mizizi Caf kitambo.Natazama mbungii, natamani al ahly achukue.
Hawa wydad walituto quarter final aaaaaah.
Kwa mara ya tatu mfululizo, kila anaemtoa Simba Sc anakuwa finalist.Hapa ndiyo unaona namna gani Simba ni timu kubwa.
Tunafeli padogo sana. Wakati mwingine mpaka nakua na wasiwasi huenda viongozi wanauza mechi zetu tukiwa ugenini.
Mkuu mabingwa watetezi ni Wydad Casablanca.Matokeo yakiisha hivi Al Ahly anavuliwa ubingwa
Matokeo yakiisha hivi Al Ahly anavuliwa ubingwa
ya mwakani yanatengenezwa miaka ya nyuma,nijibu mara ya mwisho kufika robo champions league ilikua mwaka gani?Halafu itakusaidia nini? Mimi naongelea wakati ujao! Yaani mwakani. Umeelewa sasa? Au nikutafutie mwalimu wa tuition?
Ubingwa upi anaovuliwaMatokeo yakiisha hivi Al Ahly anavuliwa ubingwa
Walishinda kwasababu walikuwa kwao kwenye mazingira waliyoyazoea, hata Waydad leo wanacheza kwao kwenye mazingira waliyoyazoea, mbona stuation ni FAIR kabisa.Jamaa watajuta kwanini wasiwe na Final moja..maana sgughuli ilikuwa imeisha
Naunga mkono hoja,
Al Ahyl ndo waraga wa CAF acha atolewe Ili akamlalamikie Rais wa CAF na CAF Ili wfute fainali mbili na goli la ugenini
kuna ukweli flani.Bahati mbaya ya Ahly ni kumalizia game ugenini dhidi ya team ambayo unajua kutumia hiyo faida, tofauti na team zetu hizi zilizozubaa.
Jifariji tu mkuuUkimtoa Simba Uhakika Wa Kuchukua Ubingwa huwa ni 99%