Ni kweli hapa wakubwa wamelenga zaidi pesa hawajaangalia ile passion na legacy ya footballHaya mashindano ya AFL mi naona imekaa kibiashara zaidi na inajenga madaraja kati ya timu na timu
AFL iwe ya Mbabe wa wababe 😂Sasa kuna maana gani kuwe na champions league wakati wabäbe wengine hawashiriki? Tutampataje mbabe wa Africa?
Mwaka huu AFL ilikua anafanyiwa majaribio tu hata timu zilishiriki chacheMmmmh mkuu yani haipaswi timu kushiriki mashindano yote mawili ilhali zinatizamwa timu zenye rank ya juu!?
AFL inaanza kabla ya CAFCL.
Rekebisha maelezo mkuu.
Mamelody ndio mshindi wa AFL na sasa yupo nusu fainali CAFCL.
Ety zitajikuza huko champions league 😂Kwann watoe confederation..timu ndogo zitajikuza wapi?
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Aya ngojea tuone ila hayo maelezo sijayaelewa na kama hayaleti mantiki.Mwaka huu AFL ilikua anafanyiwa majaribio tu hata timu zilishiriki chache
Wewe ndio hujaelewa mkuu soma kwa utulivu.Mmmmh mkuu yani haipaswi timu kushiriki mashindano yote mawili ilhali zinatizamwa timu zenye rank ya juu!?
AFL inaanza kabla ya CAFCL.
Rekebisha maelezo mkuu.
Mamelody ndio mshindi wa AFL na sasa yupo nusu fainali CAFCL.
sasa hao si ndo wanaenda CAFCLKwa upande wangu naona hii haijakaa sawa washiriki wanaoshindania ubingwa wa Afrika inatakiwa wapatikane kulingana na nafasi walizoshika katika ligi zao msimu uliopita kwa mchakato wa kupatikana washiriki AFL maana yake azam akichukua ubingwa hawezi kushiriki mashindano ya kumtafuta bingwa wa jumla katika ligi zote maana kigezo cha point kitamnyima nafasi ya kushiriki, kuna maana gani sasa ya kuwa na ligi kuu? Sijui nani alikuja na huu utaratibu wa kuangalia point za misimu mitano nyuma ni utaratibu wa ovyo yaani kama timu sasa hivi ni mbovu ipewe ushiriki kwa sababu kwenye interval ya miaka 3-5 iliyopita ilikua vizuri., Ridiculous.!
Kwahiyo mbabe wa Africa anatokea kwenye shindano lipi hapo?AFL iwe ya Mbabe wa wababe [emoji23]
waliocheza fainali champions ila wasiwe kundi moja huko AFL na vinginevyo watakavyoonaKwahiyo mbabe wa Africa anatokea kwenye shindano lipi hapo?
Hakuna mkanganyiko wowote wa kimantiki sema kwa maoni yangu naona iyo AFL isingekuwepo tu, sijaona ulazima wowote wa kuleta hayo mashindanoAya ngojea tuone ila hayo maelezo sijayaelewa na kama hayaleti mantiki.
ubora wa vilabu vya Africa upo chini sana kitendo cha kusema vilabu vilivoshika nafasi ya nne na tatu vicheze michuano ya kimataifa ni aibu tupu hukujifuza tu walichokifanya Namungo kweny Msimu wake wa kwanza kwenye shirikisho makosa yalikua Mengi sana mfano issue ya wachezaji kutaftiea pasport za kusafiria wiki moja kabla ya kusafiri kwenda kucheza mechi ugenini ilikua aibu kubwa sanaUshauri wangu ni bora mambo yangekuwa hivi
AFL
Caf champions league
Caf Confederation cup
Kwenye hiyo AFL wapambane wale wenye rank kubwa kwenye champions league mfano (waliocheza fainali) mshindi wa kwanza na wa pili na wengineo kama watakavopanga.
Caf champions league iwe ni ya wale walioshika nafasi ya kwanza na ya pili kwenye ligi zao. Kama wote wawili watakuwa kwenye AFL bc aliyeshika nafasi ya kwanza atabaki AFL na wa pili atarudi champions league na watatu nae atashiriki champions ikiwa kama bingwa wa ligi atacheza AFL (rejea hapo juu kwenye AFL)
Caf confederation cup iwe ya walioshika nafasi ya tatu na nne kwenye ligi zao. Ikiwa mshindi wa tatu atakuwa anacheza champions bc nafasi ya nne na tano watacheza confederation.
Hy aibu n kwa huku Bongo, kwan timu za north haziwezi kusafiri.? Nadhani wengn n kupewa Sapoti tuuubora wa vilabu vya Africa upo chini sana kitendo cha kusema vilabu vilivoshika nafasi ya nne na tatu vicheze michuano ya kimataifa ni aibu tupu hukujifuza tu walichokifanya Namungo kweny Msimu wake wa kwanza kwenye shirikisho makosa yalikua Mengi sana mfano issue ya wachezaji kutaftiea pasport za kusafiria wiki moja kabla ya kusafiri kwenda kucheza mechi ugenini ilikua aibu kubwa sana
Sasa kwanini zicheze timu chache halafu tuhitimishe kuwa ndio wababe wa Africa?waliocheza fainali champions ila wasiwe kundi moja huko AFL na vinginevyo watakavyoona
Aongoze ligi halafu akacheze shirikisho?Shindano la akina Yanga hilo halipo tena. Sijui watafanyaje sasa.
C nasikia jumla zitakuwa team 20+Sasa kwanini zicheze timu chache halafu tuhitimishe kuwa ndio wababe wa Africa?
usisahau iyo michuano haitakua na timu za North tu mpira wa Africa bado sana asa kwa level za vilabu ibaki michuano hiyo hiyo tu iliopoHy aibu n kwa huku Bongo, kwan timu za north haziwezi kusafiri.? Nadhani wengn n kupewa Sapoti tuu
Huko juu ulisema zichukuliwe timu zenye rank za juu ndio zipambane maanake kwa hilo wazo lako timu zisingezidi 10+C nasikia jumla zitakuwa team 20+