CAF Confederation Cup yafutwa. Msimu ujao kutakuwa na mashindano mawili tu

Mashindano hayawezi kufanywa kuwa matatu kama ilivyokuwa miaka ya nyuma wakati kulikuwa na mashindano ya klabu bingwa Afrika, mashindano ya kombe la washindi na mashindano ya kombe la Caf (Mashood Abiola Cup).

Lakini kuleta huu mfumo hauna maana kabisa kumbe yangebakia tu kama yalivyokuwa. Caf ni bure kabisa.
 
Mmmmh mkuu yani haipaswi timu kushiriki mashindano yote mawili ilhali zinatizamwa timu zenye rank ya juu!?
AFL inaanza kabla ya CAFCL.
Rekebisha maelezo mkuu.
Mamelody ndio mshindi wa AFL na sasa yupo nusu fainali CAFCL.
Mwaka huu AFL ilikua anafanyiwa majaribio tu hata timu zilishiriki chache
 
Mmmmh mkuu yani haipaswi timu kushiriki mashindano yote mawili ilhali zinatizamwa timu zenye rank ya juu!?
AFL inaanza kabla ya CAFCL.
Rekebisha maelezo mkuu.
Mamelody ndio mshindi wa AFL na sasa yupo nusu fainali CAFCL.
Wewe ndio hujaelewa mkuu soma kwa utulivu.
 
sasa hao si ndo wanaenda CAFCL
 
Aya ngojea tuone ila hayo maelezo sijayaelewa na kama hayaleti mantiki.
Hakuna mkanganyiko wowote wa kimantiki sema kwa maoni yangu naona iyo AFL isingekuwepo tu, sijaona ulazima wowote wa kuleta hayo mashindano
 
ubora wa vilabu vya Africa upo chini sana kitendo cha kusema vilabu vilivoshika nafasi ya nne na tatu vicheze michuano ya kimataifa ni aibu tupu hukujifuza tu walichokifanya Namungo kweny Msimu wake wa kwanza kwenye shirikisho makosa yalikua Mengi sana mfano issue ya wachezaji kutaftiea pasport za kusafiria wiki moja kabla ya kusafiri kwenda kucheza mechi ugenini ilikua aibu kubwa sana
 
Hy aibu n kwa huku Bongo, kwan timu za north haziwezi kusafiri.? Nadhani wengn n kupewa Sapoti tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…