CAF Confederation: Kikosi cha Yanga imeshindwa kufurukuta mbele ya wapinzani wake Pyramids, yafungwa 3 kwa 0

CAF Confederation: Kikosi cha Yanga imeshindwa kufurukuta mbele ya wapinzani wake Pyramids, yafungwa 3 kwa 0

Fresh tu, kuna ile timu ya vikongwe juzi hapa wamefungwa na Mwadui leo eti nao wanatucheka.
Bora sisi tumepanda ndege hadi Misri nyie endeleeni kupanda hiyo KIMOTCO yenu iliyojaa kunguni.
Kwa wale Ndugu zangu wa Club De Internationale le Athletic Dar es Salaam Young Africans gonga like hapa tujuane.
Tano-Moya(zahera voice) hahahahahahahahaha
 
[emoji23][emoji23] aloo una roho ngumu.
utakua kada mwenzangu wewe
Fresh tu, kuna ile timu ya vikongwe juzi hapa wamefungwa na Mwadui leo eti nao wanatucheka.
Bora sisi tumepanda ndege hadi Misri nyie endeleeni kupanda hiyo KIMOTCO yenu iliyojaa kunguni.
Kwa wale Ndugu zangu wa Club De Internationale le Athletic Dar es Salaam Young Africans gonga like hapa tujuane.
 
Looh!!!!!
1572231381126.jpeg
IMG-20191103-WA0006.jpeg
 
Mikia wanaumia Yanga kufungwa 3 badala ya 5.
Kibaya zaidi UD Songo kapigwa 6 mtungi na Bidvets ya Sauz.
 
Eti walijitia kupindua meza ugenini tena Kibabe teh teh teh
 
wananchi tuwahi kuwapokea mashujaa wetu uwanja WA ndege.
Tumepanga kwenda caf kukata rufaa tumeonewa.
 
Pyramid ni timu ya kawaida misri kwa mujibu wa makamu wenu mwakalebera ikiwa timu ya kawaida iinawapiga tatu mngekutana na zenyewe mngefungwa ngapi?
 
Fresh tu, kuna ile timu ya vikongwe juzi hapa wamefungwa na Mwadui leo eti nao wanatucheka.
Bora sisi tumepanda ndege hadi Misri nyie endeleeni kupanda hiyo KIMOTCO yenu iliyojaa kunguni.
Kwa wale Ndugu zangu wa Club De Internationale le Athletic Dar es Salaam Young Africans gonga like hapa tujuane.
Yanga hatuna timu acha upuuzi tukubali tu
 
Thamani ya mchezaji mmoja WA pyramid ni sawa na KIKOSI KIZIMA CHA YANGA.
Tungewafunga pyramid ningeshangaa sanaa.
Thamani ya mchezaji mmoja pyramids fc ni zaidi ya thamani ya klabu ya mikia fc.
 
Back
Top Bottom