CAF Confederation: Kikosi cha Yanga imeshindwa kufurukuta mbele ya wapinzani wake Pyramids, yafungwa 3 kwa 0

Tano-Moya(zahera voice) hahahahahahahahaha
 
[emoji23][emoji23] aloo una roho ngumu.
utakua kada mwenzangu wewe
 
Mikia wanaumia Yanga kufungwa 3 badala ya 5.
Kibaya zaidi UD Songo kapigwa 6 mtungi na Bidvets ya Sauz.
 
Eti walijitia kupindua meza ugenini tena Kibabe teh teh teh
 
wananchi tuwahi kuwapokea mashujaa wetu uwanja WA ndege.
Tumepanga kwenda caf kukata rufaa tumeonewa.
 
Pyramid ni timu ya kawaida misri kwa mujibu wa makamu wenu mwakalebera ikiwa timu ya kawaida iinawapiga tatu mngekutana na zenyewe mngefungwa ngapi?
 
Yanga hatuna timu acha upuuzi tukubali tu
 
Thamani ya mchezaji mmoja WA pyramid ni sawa na KIKOSI KIZIMA CHA YANGA.
Tungewafunga pyramid ningeshangaa sanaa.
Thamani ya mchezaji mmoja pyramids fc ni zaidi ya thamani ya klabu ya mikia fc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…