king joniva
JF-Expert Member
- May 14, 2018
- 262
- 296
Tano-Moya(zahera voice) hahahahahahahahahaFresh tu, kuna ile timu ya vikongwe juzi hapa wamefungwa na Mwadui leo eti nao wanatucheka.
Bora sisi tumepanda ndege hadi Misri nyie endeleeni kupanda hiyo KIMOTCO yenu iliyojaa kunguni.
Kwa wale Ndugu zangu wa Club De Internationale le Athletic Dar es Salaam Young Africans gonga like hapa tujuane.
Aisee....Hayawi hayawi hatimae yamekuwa,Meza imeshindikana kupinduliwa sana Yanga kapigwa nyingine 3-0 na kuhitimisha makeke yao kwa kupigwa jumla ya goli 4-1.Yanga mpira hauchezwi mdomoni .View attachment 1253312
Fresh tu, kuna ile timu ya vikongwe juzi hapa wamefungwa na Mwadui leo eti nao wanatucheka.
Bora sisi tumepanda ndege hadi Misri nyie endeleeni kupanda hiyo KIMOTCO yenu iliyojaa kunguni.
Kwa wale Ndugu zangu wa Club De Internationale le Athletic Dar es Salaam Young Africans gonga like hapa tujuane.
Du Zahera kocha bora kabisa ,ngoja arudi tusikie jipyaSIMBA VS AL AHLY HALF TIME RESULT : SIMBA 0 AL AHLY 5 .
SIMBA VS AS VITA FULL TIME RESULT : SIMBA 0 VITA 5 .
Aliyekufa vitani na aliyekufa kwenye ajali wote sawa wamekufaMikia wanaumia Yanga kufungwa 3 badala ya 5.
Kibaya zaidi UD Songo kapigwa 6 mtungi na Bidvets ya Sauz.
Hayawi hayawi hatimae yamekuwa,Meza imeshindikana kupinduliwa sana Yanga kapigwa nyingine 3-0 na kuhitimisha makeke yao kwa kupigwa jumla ya goli 4-1.Yanga mpira hauchezwi mdomoni .View attachment 1253312
Yanga hatuna timu acha upuuzi tukubali tuFresh tu, kuna ile timu ya vikongwe juzi hapa wamefungwa na Mwadui leo eti nao wanatucheka.
Bora sisi tumepanda ndege hadi Misri nyie endeleeni kupanda hiyo KIMOTCO yenu iliyojaa kunguni.
Kwa wale Ndugu zangu wa Club De Internationale le Athletic Dar es Salaam Young Africans gonga like hapa tujuane.
Thamani ya mchezaji mmoja pyramids fc ni zaidi ya thamani ya klabu ya mikia fc.Thamani ya mchezaji mmoja WA pyramid ni sawa na KIKOSI KIZIMA CHA YANGA.
Tungewafunga pyramid ningeshangaa sanaa.