Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanamelemeta...wanamelemeta ....Yangaa wanamelemetaaaa wanamelemetaaaa......simba wangefungwa sio chini ya goli 6 na hawa pyramid
Sisi tu na changamoto zetu ila 5 hapanaYanga kapambane msipigwe tano Kama sisi..japo naziona 6
Hongereni sana Yanga kwa kufanikiwa kuwatoa waarabu. Mmetutoa kimasomaso.mashabiki wa simba wamekasirika rekodi yao ya mabao 5 haijavunjwa teh teh simba ndio timu iliyoiletea nchi aibu
Kikosi cha bilioni tatu na kuhonga marefa juu.
Unapigwa nje ndani halafu unabweka humu..mashabiki wa simba wamekasirika rekodi yao ya mabao 5 haijavunjwa teh teh simba ndio timu iliyoiletea nchi aibu
Mechi ya leo sina shida na kocha, wachezaji wametuangusha, golimbili za kwanza nimakosa ya timu nzima Kufungwa magoli ndani ya Yard 6 tena mpira ambao kipa amesha ucheza au kona unafungwa na kijitu chenye urefu wa futi tano ni aibu kama wachezaji.“Hatukuwa na mpango wa kuwa na wachezaji kama wa Pyramids, nilimuuliza yule kocha wao kwa nini ameacha timu ya taifa na kwenda kwenye klabu ile.
“Alinieleza kwamba walimpa ofa kubwa ambayo asingeweza kuikataa, wana viwanja vitano vya mazoezi, wanatumia ‘playertek gps vest’ kwa ajili ya kujua ufanyaji kazi wa kila mchezaji.
“Unajua bei ya GPS moja inafika dola 25000 sasa utaenda kupambanisha na Yanga, inafaa kufikiri, waache kulalamika, timu kubwa kwa jina na mambo yanayofanyika ni tofauti Kocha Zahera
Wewe chura lala kesho uwahi kumpokea mkongo na sound zakemashabiki wa simba wamekasirika rekodi yao ya mabao 5 haijavunjwa teh teh simba ndio timu iliyoiletea nchi aibu