Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure. Thanks kwa clarification.No November,Oktoba mwezi mzima mpka November katikati itakuwa ni shindano la African League ambalo Simba atalifungua Kwa kucheza na Al Ahyl tarehe 20/10/2023
Makundi ya CAF CL yataanza November 23-25 hapo kati kati
Haipo champions leagueWakuu kwa wanamichezo kwanini Zamaleki naiona hapo shirikisho?
Kwani si ndo hii ilicheza na Yanga au tofautiHaipo champions league
Unatamani kusema Al Ahyl ni mbovu kuliko msimu uliopita,ila unakumbuka kuwa na wewe unaye tarehe 20 mwezi huu,ahaaaaa
USM Algers hakufanya rotation......?Mshuka daraja yule.
Alimfunga Al Ahly akiwa amefanya rotation ya kikosi chake alichocheza fainali kwa 90%
Maana yake isingeweza kutamba kwa Al Ahly kama ingekuja na kikosi kile cha washuka daraja ambacho walicheza na nyie.
Ahaaaa,uzuri anaanza na wewe,Mkuu ulikua unatunanga sana kukutana na Al Ahly haya sasa nawewe umepewa uangaike naye makundi [emoji23][emoji23][emoji23]
Mpira ungekuwa unachezwa mdomoni na point zinatolewa basi mngekuwa mshafuzu robo fainali, mpira sio porojo wacha miguu ya wanaume iongee uwanjani na timu iliyojiandaa vizuri ndiyo itafuzu robo fainali na sio ngenga mnazochonga na kujaza saver za jf hapa!Uto hatoboi hata akitumia waganga bongo nzima
Sawa,utabiri wako uheshimiweKundi A watapita: Mamelody na Pyramid
Kundi B watapita: Wydad na Asec
Kundi C watapita: Experience na Atletico
Kundi D watapita: Al Ahly na Yanga
Sasa kam ni hivi wanacheza kutafta nini? si mtulie mda uta semaKundi A watapita: Mamelody na Pyramid
Kundi B watapita: Wydad na Asec
Kundi C watapita: Experience na Atletico
Kundi D watapita: Al Ahly na Yanga
Unamzungumzia nani, mimi naizungumzia Uto. Halafu kama ni Simba, unasemea robo fainali ipi ambayo kila leo Simba yumo?Mpira ungekuwa unachezwa mdomoni na point zinatolewa basi mngekuwa mshafuzu robo fainali
Yanga kafungwa na Ihefu full stop, habari za kusema flani hakucheza hazina maana hakuna mtu alizuia wasipangwe so usilete habari za kikosi kufungwa ni kufungwaMshuka daraja yule.
Alimfunga Al Ahly akiwa amefanya rotation ya kikosi chake alichocheza fainali kwa 90%
Maana yake isingeweza kutamba kwa Al Ahly kama ingekuja na kikosi kile cha washuka daraja ambacho walicheza na nyie.
Basi midomo itawaponza tulieni mpira uchezwe na iyo robo tuione uwanjani na sio hadithi za abunwasiUnamzungumzia nani, mimi naizungumzia Uto. Halafu kama ni Simba, unasemea robo fainali ipi ambayo kila leo Simba yumo?
Kushinda sio tatizo tatizo umeshinda na nani?sisi tushawahi shinda mechi Algeria na Tunisia, yani Kwa kifupi huwa tunashinda popote.