CAF: Draw ya makundi: Simba Group B, Yanga Group D
Yanga atafuzu robo final katika kundi D
Ilo Sina wasiwasi nalo yanga atafuzu
Na kuna timu moja kubwa kati ya izo mbili kuna mmoja atagongwa na yanga nje ndani hapo
Mda utaongea
 
Majira ya saa 9 alasiri leo kunafanyika draw ya makundi kwa timu zilizofuzu kuingia makundi.

Simba na Yanga ni timu pekee kutoka Tanzania zilizofuzu kwenye hatua hiyo ya Makundi.

Kaa hapa kupata updates zaidi.

Updates

Makundi ya Shirikisho

CAF CL
  1. USMA
  2. FUTURE
  3. SUPERSPORT
  4. Al HILAL
Group B
  1. ZAMALEK
  2. SaGRADA
  3. S.O.AR (GUI)
  4. ABU SALIM
Group C
  1. RIVERS UNITED
  2. CLUB AFRICAIN
  3. DREAMS FC
  4. APC LOBITO
Group D
  1. RS BERKANE
  2. DIABLES NOIRS (CGO)
  3. STADE MALIEN
  4. SEKHUKHUNE UNITED
CAF CHAMPION LEAGUE DRAW

GROUP A
  1. MAMELODY
  2. PYRAMIDS
  3. TP MAZEMBE
  4. FC NOUADHIBOU (MTN)
Group B
  1. WYDAD
  2. SIMBA
  3. ASEC MIMOS
  4. JWANENG GALAXY
Group C
  1. E.S.T
  2. ATLETCO PETROLIAS
  3. AL HILAL
  4. EPERENCE TUNIS
Group D
  1. AL AHLY
  2. CR BELOUUIZAD
  3. YANGA
  4. MEDEAMA FC
Ratiba inatoka lini?
 
Ratiba inatoka lini?
Gerezea hapa
Screenshot_20231006-180658~2.png
 
Mrangi Usm Alger mbabe wa Al ahly alikufa kwake
Mshuka daraja yule.

Alimfunga Al Ahly akiwa amefanya rotation ya kikosi chake alichocheza fainali kwa 90%

Maana yake isingeweza kutamba kwa Al Ahly kama ingekuja na kikosi kile cha washuka daraja ambacho walicheza na nyie.
 
Mshuka daraja yule.

Alimfunga Al Ahly akiwa amefanya rotation ya kikosi chake alichocheza fainali kwa 90%

Maana yake isingeweza kutamba kwa Al Ahly kama ingekuja na kikosi kile cha washuka daraja ambacho walicheza na nyie.

Ayo mengine utajua wewe ila Matokeo unayajua
 
Mshuka daraja yule.

Alimfunga Al Ahly akiwa amefanya rotation ya kikosi chake alichocheza fainali kwa 90%

Maana yake isingeweza kutamba kwa Al Ahly kama ingekuja na kikosi kile cha washuka daraja ambacho walicheza na nyie.
Aahaaaaaa,kwahiyo atakapocheza na nyie atakuwa kibonde au kipanga?
 
Back
Top Bottom