Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
Acha kwanza aje apambane na SimbaTuta waonyesha namna Ahly anavyo vurugwa nyumbani na ugenini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kwanza aje apambane na SimbaTuta waonyesha namna Ahly anavyo vurugwa nyumbani na ugenini.
Naziona simba sc na yanga sc robo fainali kwenye ligi ya mabingwa afrika ukibisha wew ni mchawi na unatakiwa uchomwe moto
Utateseka sana Tate Kwa simba hiiKama ilivyotabiriwa na wengi! Naona safari ya Mikia Fc kushika mkia kwenye kundi lao, imewadia! Hakuna pa kutokea msimu huu. Na tusisikie tena zile kelele zenu za kumkataa kocha.
Ratiba inatoka lini?Majira ya saa 9 alasiri leo kunafanyika draw ya makundi kwa timu zilizofuzu kuingia makundi.
Simba na Yanga ni timu pekee kutoka Tanzania zilizofuzu kwenye hatua hiyo ya Makundi.
Kaa hapa kupata updates zaidi.
Updates
Makundi ya Shirikisho
CAF CL
Group B
- USMA
- FUTURE
- SUPERSPORT
- Al HILAL
Group C
- ZAMALEK
- SaGRADA
- S.O.AR (GUI)
- ABU SALIM
Group D
- RIVERS UNITED
- CLUB AFRICAIN
- DREAMS FC
- APC LOBITO
CAF CHAMPION LEAGUE DRAW
- RS BERKANE
- DIABLES NOIRS (CGO)
- STADE MALIEN
- SEKHUKHUNE UNITED
GROUP A
Group B
- MAMELODY
- PYRAMIDS
- TP MAZEMBE
- FC NOUADHIBOU (MTN)
Group C
- WYDAD
- SIMBA
- ASEC MIMOS
- JWANENG GALAXY
Group D
- E.S.T
- ATLETCO PETROLIAS
- AL HILAL
- EPERENCE TUNIS
- AL AHLY
- CR BELOUUIZAD
- YANGA
- MEDEAMA FC
Kikubwa na kushinda nje ndaniYanga sio wanyonge kwa Al ahly View attachment 2773731
Gerezea hapaRatiba inatoka lini?
Aahàaaaaa,kwahiyo mwarabu ni yupi!!?Waarabu gani mmewafunga?
Unataka useme Club Africain?
Wale sio waarabu ni warangi
Agerezee hapa,muda wa mechi unafanana Kwa woteSijajua bado
Naitunza hii risitiCr Belouzidad na Al Ahly
Shukrani mkuu🙏Gerezea hapaView attachment 2773769
Waarabu gani mmewafunga?
Unataka useme Club Africain?
Wale sio waarabu ni warangi
Michuano ya Group stage si itaanza October?Gerezea hapaView attachment 2773769
Na Yanga alishinda algeriaUsma huku mfunga hapa tz alafu hapa naongea group stage
Mshuka daraja yule.Mrangi Usm Alger mbabe wa Al ahly alikufa kwake
Mshuka daraja yule.
Alimfunga Al Ahly akiwa amefanya rotation ya kikosi chake alichocheza fainali kwa 90%
Maana yake isingeweza kutamba kwa Al Ahly kama ingekuja na kikosi kile cha washuka daraja ambacho walicheza na nyie.
No November,Oktoba mwezi mzima mpka November katikati itakuwa ni shindano la African League ambalo Simba atalifungua Kwa kucheza na Al Ahyl tarehe 20/10/2023Michuano ya Group stage si itaanza October?
Aahaaaaaa,kwahiyo atakapocheza na nyie atakuwa kibonde au kipanga?Mshuka daraja yule.
Alimfunga Al Ahly akiwa amefanya rotation ya kikosi chake alichocheza fainali kwa 90%
Maana yake isingeweza kutamba kwa Al Ahly kama ingekuja na kikosi kile cha washuka daraja ambacho walicheza na nyie.