Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Naunga mkono hojaMkuu usiwaulize ilo swal uzur na wao watskutana nao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojaMkuu usiwaulize ilo swal uzur na wao watskutana nao
Mkaenda wapi baada ya kuwapiga ?Kwani yanga ajawahi kuwafunga waarabu au yanga ajawahi kupiga Al Ahly?
Tufike nusu fainali kabisaKumbuka Yanga ni miongoni mwa team bora sana kwa sasa Africa. Wenzetu ni AHLY, WYDAD NA MAMELOD.
Kama SIMBA ilitajwa kuwa ya 9 na ikajitahidi kufika robo vipi sisi YANGA wa 3?
Daima mbele
Njia nyepesi vp wakati bingwa wa shirikisho alimkanda bingwa wa ligi ya mabingwa kwenye supa cupHahahahaha mkuu umenifurahisha sana aisee.... Yani hizo solving ni nyepesi sana kwenye makaratas ila uwanjan yanga hizo points ni ndoto kuzipata....
Mkuu tukiacha ushabik msimu uliopita yanga walikua vizuri sana na pia njia waliyopita ilikua nyepesi.... Mayele ndio alikua Messi wa yanga but sasa hayupo
Na nyinyi baada ya kuwapiga mlipata kombe la africa?Mkaenda wapi baada ya kuwapiga ?
Kvp koloYanga wame changanyikiwa vichwa vinawaka moto wanaishia kuropoka tu [emoji23]
Aahaaaa,wanauruka huo mtego,Kwa kuwa tarehe 20 mwezi huu wanakutana naye taifaMAKOLO SEMENI KABISA AL AHLY WAGUMU AU NA WAO KIWANGO CHAO KIMESHUKA
MwambieCha ajabu nini ,mbona wewe ulipigwa tatu kwa mkapa,mbona Alh ahly alishindwa kuchukua kombe mbele ya USM Algers ndio mpira upo hivyo.
Tuombee yanga awe anaanza kucheza mechi zake vinginevyo akianza simba anaingilia michezo.Tuache utani usiokuwa na faida, Simba na Yanga wakiwa na kauli mbiu ya kila mtu ashinde mechi zake wote wanaingia robo fainali.
Kanuni ya group stage usikubali kufungwa Nyumbani, make sure hata awe nani anaacha point zote 3 maana yake unabeba point 9, mechi za nje hata ukipata drop moja unakwenda robo fainali, hii hesabu Al Ahaly ndio wanaiishi, ndio sababu huwakosi kwenye robo fainali.
Huyu anapewa baccaKibwana inabidi afanye kazi ya kumkaba huyu jamaaView attachment 2773707
Aahaaaaa, Gucci gang njoo hukuKwa hiyo kusema hivyo tuna kubaliana Galaxy ni mkubwa kuliko ww,sababu alikupiga tatu kwa Mkapa.
Kwakuwa walipigana wafike hatua hiyo, acha tuwaone wanavyoenda kujipapatua.Yanga wameumaliza mwendo.. Simba hapo timu zote tatu tunazijua tumecheza nao na tuliwamudu. Sasa jamaa zangu miaka 25 halafu anakutana na kundi gumu kama hili?
Unatamani kusema Al Ahyl ni mbovu kuliko msimu uliopita,ila unakumbuka kuwa na wewe unaye tarehe 20 mwezi huu,ahaaaaaUto hatoboi hata akitumia waganga bongo nzima
Naunga mkono hojaWote watafungwa na Yanga,Waarabu ni wale wale
Akifanikiwa kutoboa usisahau hii comment yako na wew jwaneng akikupigaUto hatoboi hata akitumia waganga bongo nzima
Wanaogopa 🤣🤣🤣Unatamani kusema Al Ahyl ni mbovu kuliko msimu uliopita,ila unakumbuka kuwa na wewe unaye tarehe 20 mwezi huu,ahaaaaa
Ahaaaaaaa,Tunataka kuwajua wale wazee wa kubadili gia angani ambao washaanza kubwata mitandaoni kuwa yanga apiti kwenye KUNDI kutokana na UGUMU wa KUNDI husika kuliko makundi yote,
Sasa tunahitaji tuwatambue vizuri wasije badae wakaleta mambo ya kikekike hapa ya kuwa Kama Malaya wasiokuwa na msimamo!
Tumeona makundi yote na KUNDI la mtani kapewa utelezi lakini kutokana na Hali yake ya kikosi tutakuja Kuona mengi wacha tusimalize maneno, kufuzu washindwe wao tu itakuwa ni maajabu ya mwaka!
Yanga kapewa waarabu wawili ambao ni moto wa kuotea mbali lakini ubora wa yanga unakwenda kuwafanya waonekane ni wa kawaida ndio maana ninasema kwa herufi kubwa kwamba je "KUNDI LA YANGA NI GUMU AMA NI WABOVU" ???
N;B tukumbuke Aly ahly wanakuja hapa trh 20 kucheza na simbwa ivyo itaturahisishia kujua Kama ni WABOVU ama lah🤣🤣🤣🤣