Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila ya Jwaneng Galaxy kwa mkapa yatajirudia tena [emoji16]Haiwezi kujirudia tena
Unajitahidi kuwa na roho hiyo.Mkuu, sijipi hope😀,
Kwenye hili pamoja na kusimama na timu yangu ya Yanga, lakini kamwe siwaombei Simba baya lolote lile.
Natamani nikija kuwa kiongozi katika nchi hii basi nikutane na changamoto mpya. Natamani waliopo wafanikishe mengi katika wakati wao ili mimi na wenzangu tutakapokuja basi angalau kama nchi kimichezo tuwe tumeshazoeleka kwenye majukwaa ya kimataifa.
Angalau mimi na wenzangu tutakapoingia, basi tuanze kuhangaika na uanzishwaji na usambazaji wa vituo vya mifumo ya kuchajisha umeme kwenye magari ya umeme, nitafurahi tukiivuka gas kabla hatujaitumia vyema kwenye magari na tuiache kwa ajili ya viwandani tu.
Ndiyo maana katika hili nawatakia Simba kila lenye heri, tuna uzalendo sana na hii nchi, ni vile tu hatupo kwenye mifumo yao hii ya kishenzi na kibadhirifu ingawa popote pale tulipo, hata umalaya tunaofanya si kwa sababu ya nyege bali kwa maslahi ya taifa, kwa uzalendo wetu kwa nchi.
Itajirudia.Haiwezi kujirudia
Hahahahaha mkuu umenifurahisha sana aisee.... Yani hizo solving ni nyepesi sana kwenye makaratas ila uwanjan yanga hizo points ni ndoto kuzipata....Huyu Medeama ana point zetu 6,Al Ahly ana 3 zetu na CR ana point zetu 4.
6+3+4=13.
Young to the quarter final.[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ambavyo ihefu alikufa nje ndani [emoji23][emoji23]Masije mkabdilisha kauli akifa nje ndani
wewe ni kati ya mashabiki wa Uto walio makini - kongole.Sisi malengo yetu yalishafikia group stage huko mbele nijalie sitaki pressure mimi
Kabisa mana huyu jamaa hakuwa hivi awali alikuwa anaongea kiwawanamichezo sana Lakin siku hizi amepwaya sana kiukweli.Huyo si mzima mkuu.
Huwa anashindilia ule msemo maarufu kuwa WENYE nazo ni wawili tu......
Si ndio hawa wamefungwa na USMA Alger au kuna wengine?Ahly ya sasa ni bora zaidi kuliko kipnd mnacheza nayo.
Yanga sio mayele ww yanga ni teamwork, sio simba akikosekana chama kwisha habari.Hahahahaha mkuu umenifurahisha sana aisee.... Yani hizo solving ni nyepesi sana kwenye makaratas ila uwanjan yanga hizo points ni ndoto kuzipata....
Mkuu tukiacha ushabik msimu uliopita yanga walikua vizuri sana na pia njia waliyopita ilikua nyepesi.... Mayele ndio alikua Messi wa yanga but sasa hayupo
Cha ajabu nini ,mbona wewe ulipigwa tatu kwa mkapa,mbona Alh ahly alishindwa kuchukua kombe mbele ya USM Algers ndio mpira upo hivyo.Huyo uliyeshindwa kuchukua kombe mikononi mwake ndio huyu huku chini alikuwa anakaribia kushuka daraja.
View attachment 2773663
Sasa mnakutana na huyu hapa
View attachment 2773665
Kwa hiyo kusema hivyo tuna kubaliana Galaxy ni mkubwa kuliko ww,sababu alikupiga tatu kwa Mkapa.😂😂😂😂😂 wewee
Wewe hizi hesabu unapiga huku ulimfunga USMA ihefu akakubatiza
Kwahyo ihefu bora kuliko wewe?
Na
Kumbuka Yanga ni miongoni mwa team bora sana kwa sasa Africa. Wenzetu ni AHLY, WYDAD NA MAMELOD.Masije mkabdilisha kauli akifa nje ndani
[emoji23][emoji23] kujifariji kipajiKumbuka Yanga ni miongoni mwa tean bora sana kwa sasa Africa. Wenzetu ni AHLY, WYDAD NA MAMELOD.
Kama SIMBA ilitajwa kuwa ya 9 na ikajitahidi kufika robo vipi sisi YANGA wa 3?
Daima mbele
Mkuu usiwaulize ilo swal uzur na wao watskutana naoMAKOLO SEMENI KABISA AL AHLY WAGUMU AU NA WAO KIWANGO CHAO KIMESHUKA
Kwani yanga ajawahi kuwafunga waarabu au yanga ajawahi kupiga Al Ahly?[emoji23][emoji23] kujifariji kipaji