Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huchoki kujifariji ? [emoji23][emoji23]Ngoja Jwaneng Galaxy aje apige kwenye mshono [emoji1787]
Wote watafungwa na Yanga,Waarabu ni wale waleKati ya hao waliopo hapo Yanga amemfunga nani?
😂😂😂😂😂 weweeJifunze kumuheshim mpinzani,huyo huyo aikupiga tatu kwa Mkapa.
Nishashinda kweny ardhi ya Waarabu mara mbili, ikiwemo USM Algers ambaye alimpiga Al Ahly kwenye mechi ya bingwa wa shirikiso na championship.
Tusiongee sana tukutane uwanjani.
Ndio mpira kwani msimu uliopita alinifunga na ubingwa nikachukua.😂😂😂😂😂 wewee
Wewe hizi hesabu unapiga huku ulimfunga USMA ihefu akakubatiza
Kwahyo ihefu bora kuliko wewe?
Na
Sisi malengo yetu yalishafikia group stage huko mbele nijalie sitaki pressure mimisafari ya Uto ishafika ukingoni 😀
Kwaio?Huyo uliyeshindwa kuchukua kombe mikononi mwake ndio huyu huku chini alikuwa anakaribia kushuka daraja.
View attachment 2773663
Sasa mnakutana na huyu hapa
View attachment 2773665
Ahly ya sasa ni bora zaidi kuliko kipnd mnacheza nayo.Haya sasa ahaaaaaaaa
Wote tunacheza na Al Ahyl acha tuone nani mbabe
Ndiyo Ili siku tukiwabaka wawe na mafuta mengi isichubukeNasikia CR belouizdad wameshaanza kuagiza karanga na asali mbichi kutokea Tanzania
Al Ahly tushamfunga taifa ,nishawahi kutoa nae droo kwake akatutoa kwa penati.Kati ya hao waliopo hapo Yanga amemfunga nani?
Masije mkabdilisha kauli akifa nje ndaniAhly ya sasa ni bora zaidi kuliko kipnd mnacheza nayo.
Ndio mpira kwani msimu uliopita alinifunga na ubingwa nikachukua
😂😂😂😂Al Ahly tushamfunga taifa ,akaenda kutoa kwake kwa penati.
Na Yanga ya sasa je? Ukilinganisha na ile ilochz na Al Ahly?Ahly ya sasa ni bora zaidi kuliko kipnd mnacheza nayo.
Naona ushajipa nafasi ya Umungu.Haiwezi kujirudia tena
Ila wewe jamaa ni mzima kweli kichwani samahan kwa kutumia lugha hii