King Mswat 11
JF-Expert Member
- May 24, 2023
- 207
- 319
Wewe huku kwa wanaume mzeeMwaka jana mlisema hivihivi, tukafika fainali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe huku kwa wanaume mzeeMwaka jana mlisema hivihivi, tukafika fainali
Timu kubwaParamu hapo
Naona kwa Simba njia ni rahisi sanaKama ilivyotabiriwa na wengi! Naona safari Mikia Fc kushika mkia, imewadia! Hakuna pa kutokea msimu huu. Na tusisikie tena zile kelele zenu za kumkataa kocha.
Yupo kwenye Kundi la kifoJwaneng Galaxy huko huko alipo kashajua ametoka.
Ila Yanga kukutana na waarabu wawili mmmhhh
Timu kubwa tutafika mbaliNa CR belouizdad [emoji23][emoji23]
sisi tushawahi shinda mechi Algeria na Tunisia, yani Kwa kifupi huwa tunashinda popote.Na CR belouizdad [emoji23][emoji23]
Umejiona wewe kundi lako?Kama ilivyotabiriwa na wengi! Naona safari Mikia Fc kushika mkia, imewadia! Hakuna pa kutokea msimu huu. Na tusisikie tena zile kelele zenu za kumkataa kocha.
Algeria wengi ni Wafaransa na Wahispania.Jwaneng Galaxy huko huko alipo kashajua ametoka.
Ila Yanga kukutana na waarabu wawili mmmhhh
Huyo akili zake tunazijua. Hapo Simba ndio ana ahueni. Kundi D ni gumuNaona kwa Simba njia ni rahisi sana
Ila wewe jamaa ni mzima kweli kichwani samahan kwa kutumia lugha hiiKama ilivyotabiriwa na wengi! Naona safari ya Mikia Fc kushika mkia kwenye kundi lao, imewadia! Hakuna pa kutokea msimu huu. Na tusisikie tena zile kelele zenu za kumkataa kocha.
Angalia Usije kula maneno yako baadae..Kuna uwezekano yanga Africa akaondoka na point 2 tu .