CAF: Draw ya makundi: Simba Group B, Yanga Group D
Jwaneng Galaxy huko huko alipo kashajua ametoka.

Ila Yanga kukutana na waarabu wawili mmmhhh
Jifunze kumuheshim mpinzani,huyo huyo aikupiga tatu kwa Mkapa.

Nishashinda kweny ardhi ya Waarabu mara mbili, ikiwemo USM Algers ambaye alimpiga Al Ahly kwenye mechi ya bingwa wa shirikiso na championship.

Tusiongee sana tukutane uwanjani.
 
Naitafuta ile Clip ambayo Ally Kamwe alikuwa anaicheka Simba baada ya kuona imepangiwa na Wydad.

Wao walipopangiwa na Rivers United walipiga makofi na vigelegele.

Nataka nijue na leo hali ilikuwa ni hivyo hivyo au leo haijapokelewa kwa furaha?
 
Umejiona wewe kundi lako?

Yani wakati mnajitafuta kujua wapi mlifeli kwa Ihefu, huko Al Ahly anawalia karanga na mihogo mibichi.
Hao Al Ahly wanawaonea nyinyi siku zote. Na haikushangaza hata pale alipowapiga goli 5 kwa ubuyu! Angalia historia uone kama anapocheza na Yanga mchezo unakuwa ni mwepesi kwake.

By the way, tangu mwanzo Yanga ilishajiwekea malengo ya kuhakikisha walau kwa msimu huu inafika hatua ya makundi! Na imefanya hivyo.

Ila nyinyi mbumbumbu mna wakati mgumu. Maana bosi wenu Mudi siku ya simba day aliahidi mbele ya Rais wa nchi kuleta kikombe cha ubingwa wa Afrika!!

Nimekaa pale 👉 😎 nikisubiri kukiona hicho kikombe.
 
Naitaguta ile Clip ambayo Ally Kamwe alikuwa anaicheka Simba baada ya kuona imepangiwa na Wydad.

Wao walipopangiwa na Rivers United walipiga makofi na vigelegele.

Nataka nijue na leo hali ilikuwa ni hivyo hivyo au leo haijapokelewa kwa furaha?
Ndo tutaona nani kidume kati ya Yanga na Simba,wote tunacheza na Al Ahyl,ahaaaaaaa
 
Hao Al Ahly wanawaonea nyinyi siku zote. Na haikushangaza hata pale alipowapiga goli 5 kwa ubuyu! Angalia historia uone kama anapocheza na Yanga mchezo unakuwa ni mwepesi kwake.
Kabla ya kusema Al Ahly anatuoneaga sisi ebu weka hapa stats za Al Ahly na Simba tuone nani kafungwa mara nyingi.

We unaongeaga tu lakini data huna, uliwahi kusema Wydad alitufunha goli 3.

Hauko makini na taarifa zako, unaandika tu ilimradi.
 
duh yanga yanga, mpira uwanjani ngoja tusubir
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Majira ya saa 9 alasiri leo kunafanyika draw ya makundi kwa timu zilizofuzu kuingia makundi.

Simba na Yanga ni timu pekee kutoka Tanzania zilizofuzu kwenye hatua hiyo ya Makundi.

Kaa hapa kupata updates zaidi.

Updates

Makundi ya Shirikisho

CAF CL
  1. USMA
  2. FUTURE
  3. SUPERSPORT
  4. Al HILAL
Group B
  1. ZAMALEK
  2. SaGRADA
  3. S.O.AR (GUI)
  4. ABU SALIM
Group C
  1. RIVERS UNITED
  2. CLUB AFRICAIN
  3. DREAMS FC
  4. APC LOBITO
Group D
  1. RS BERKANE
  2. DIABLES NOIRS (CGO)
  3. STADE MALIEN
  4. SEKHUKHUNE UNITED
CAF CHAMPION LEAGUE DRAW

GROUP A
  1. MAMELODY
  2. PYRAMIDS
  3. TP MAZEMBE
  4. FC NOUADHIBOU (MTN)
Group B
  1. WYDAD
  2. SIMBA
  3. ASEC MIMOS
  4. JWANENG GALAXY
Group C
  1. E.S.T
  2. ATLETCO PETROLIAS
  3. AL HILAL
  4. EPERENCE TUNIS
Group D
  1. AL AHLY
  2. CR BELOUUIZAD
  3. YANGA
  4. MEDEAMA FC
safi kabisa
 
Kabla ya kusema Al Ahly anatuoneaga sisi ebu weka hapa stats za Al Ahly na Simba tuone nani kafungwa mara nyingi.

We unaongeaga tu lakini data huna, uliwahi kusema Wydad alitufunha goli 3.

Hauko makini na taarifa zako, unaandika tu ilimradi.
Ishu siyo kushinda,ishu ni kwenda robo fainali
 
Kisasi ni Haki ..
Mwaka jana Yanga tulilipa kisasi kwa TP mazembe, Rivers na Us Alger japo alibeba kombe Kwa away goal Advantage....
Bado kuna timu zinatakiwa kupewa haki Yao moja wapo ni Madeama... Nashukuru Mungu kajileta....
Oi msije sema tulipangiwa vibonde sisi kazi yetu ni kulipa kisasi Tu...
[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kisasi ni Haki ..
Mwaka jana Yanga tulilipa kisasi kwa To mazembe, Rivers na Us Alger japo alibeba kombe Kwa away goal Advantage....
Bado kuna timu zinatakiwa kupewa haki Yao moja wapo ni Madeama... Nashukuru Mungu kajileta....
Oi msije sema tulipangiwa vibonde sisi kazi yetu ni kulipa kisasi Tu...
[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu nipe profile ya Belouizdad
 
Back
Top Bottom