joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Jifunze kumuheshim mpinzani,huyo huyo aikupiga tatu kwa Mkapa.Jwaneng Galaxy huko huko alipo kashajua ametoka.
Ila Yanga kukutana na waarabu wawili mmmhhh
Nishashinda kweny ardhi ya Waarabu mara mbili, ikiwemo USM Algers ambaye alimpiga Al Ahly kwenye mechi ya bingwa wa shirikiso na championship.
Tusiongee sana tukutane uwanjani.