CAF hawawezi kukubali Taifa stars kufuzu Afcon

CAF hawawezi kukubali Taifa stars kufuzu Afcon

Mpira ni biashara

Timu letu Bado ni bovu

Stars umeenda Afcon mara mbili mfululizo ila haijawahi kushinda wala kutoa sare

Timu letu kila likienda linapigwa na kututia aibu. Me Mtanganyika ila sitaki timu letu lifuzu
Yaani tumeikosa Ghana, tena tuikose Guinea, iyo Afcon itakuwa kama ndondo cup
Timu letu linapewa hamasa
Likishinda Kuna watu wanajipa hati miliki Bora lifungwe ili wote tunune

Kibiashara Taifa stars haitazamwi kama Guinea
Guinea ina professional wengi wanaocheza Europe

Yaani CAF waipitishe timu lililojaza wachezaji wa KMC, Mashujaa na Dodoma Jiji

Me nasimama na timu Baltasary Engonga, Guinea
Politics
 
Mpira ni biashara

Timu letu Bado ni bovu

Stars umeenda Afcon mara mbili mfululizo ila haijawahi kushinda wala kutoa sare

Timu letu kila likienda linapigwa na kututia aibu. Me Mtanganyika ila sitaki timu letu lifuzu
Yaani tumeikosa Ghana, tena tuikose Guinea, iyo Afcon itakuwa kama ndondo cup
Timu letu linapewa hamasa
Likishinda Kuna watu wanajipa hati miliki Bora lifungwe ili wote tunune

Kibiashara Taifa stars haitazamwi kama Guinea
Guinea ina professional wengi wanaocheza Europe

Yaani CAF waipitishe timu lililojaza wachezaji wa KMC, Mashujaa na Dodoma Jiji

Me nasimama na timu Baltasary Engonga, Guinea
Kuna Guinea tatu. Equitorial Guinea, Guinea Bissau na Guinea kavu. Usiwe mvivu nenda ka-google ujue Baltazary anatoka guinea ipi mshamba wewe ngara23
 
Kuna Guinea tatu. Equitorial Guinea, Guinea Bissau na Guinea kavu. Usiwe mvivu nenda ka-google ujue Baltazary anatoka guinea ipi mshamba wewe ngara23
Mbona unajibu Kwa hasira
 
Mpira ni biashara

Timu letu Bado ni bovu

Stars umeenda Afcon mara mbili mfululizo ila haijawahi kushinda wala kutoa sare

Timu letu kila likienda linapigwa na kututia aibu. Me Mtanganyika ila sitaki timu letu lifuzu
Yaani tumeikosa Ghana, tena tuikose Guinea, iyo Afcon itakuwa kama ndondo cup
Timu letu linapewa hamasa
Likishinda Kuna watu wanajipa hati miliki Bora lifungwe ili wote tunune

Kibiashara Taifa stars haitazamwi kama Guinea
Guinea ina professional wengi wanaocheza Europe

Yaani CAF waipitishe timu lililojaza wachezaji wa KMC, Mashujaa na Dodoma Jiji

Me nasimama na timu Baltasary Engonga, Guinea
Engonga ni Equatorial Guinea 🇬🇶 hii ni Guinea 🇬🇳 Conakry
 
Karibuni
 

Attachments

  • FB_IMG_1731958554940.jpg
    FB_IMG_1731958554940.jpg
    180.8 KB · Views: 1
Shida inayokera ni siasa tuu..goli la mama linakera sana hospital hakuna dawa...
 
Tatizo timu ya Taifa imeanza kuvalishwa koti la siasa,tayari watanzania wameanza kugawanyika juu ya timu ya Taifa
Viongozi wanafahamu fika,
Mada zilizopo midomoni mwa watanzania soka ndio linaongoza kwa sasa...

Yaani ukikuta assembly ya watu watatu au zaidi wanaojuana au wasiojuana mada inayowaungqnisha ni soka tena la ndani.

sasa ili kupata uungwaji mkono ni lazima wajipenyeze kwny soka.

Sio Taifa stars tu bali hata vilabu karibu vyote ni vya serikali.
 
Mleta mada umeokolewa kwenye kifusi nn? Kichwa hakijatulia,
Hao guinea waambie wasimame tu uwanjani tuwafunge then CAF wakatae tusiende morroco
 
Mleta mada umeokolewa kwenye kifusi nn? Kichwa hakijatulia,
Hao guinea waambie wasimame tu uwanjani tuwafunge then CAF wakatae tusiende morroco
Timu ya kuwafunga mnaya?
 
Back
Top Bottom