Wewe msimu uliopita si ulisema kwenye kundi atapita Ahly ahly na cr belouzdad? Au unadhani tumesahau!
 
Wewe msimu uliopita si ulisema kwenye kundi atapita Ahly ahly na cr belouzdad? Au unadhani tumesahau!
Hapo juu umesema nilisema Yanga itashika mkia, nionyeshe wapi nilisema hivyo.

Msimu uliopita nilisema mengi ikiwemo Yanga kufanya vizuri zaidi ya Simba, nikasema pia Yanga ikimtoa CRB itaipaisha Simba katika rank za CAF, hayo yote yalitimia.
 
Simba bado inajenga timu
 
Usije hapa kulia tukishampiga huyo Al Hilal wako

Yanga ni team kubwa

Kumbuka na Simba kapigwa 5

Na tarehe 19 mnaingia geto la pdidy
 
kuweni na staha za maneno na mtunze maneno baadae msianze mambo ya ajabu!
 
Usije hapa kulia tukishampiga huyo Al Hilal wako

Yanga ni team kubwa

Kumbuka na Simba kapigwa 5

Na tarehe 19 mnaingia geto la pdidy
Usije hapa kulia tukishampiga huyo Al Hilal wako

Yanga ni team kubwa

Kumbuka na Simba kapigwa 5

Na tarehe 19 mnaingia geto la pdidy
Wazee wa kujumlisha na kutoa, safari hii mnatupiga ngapi? Mbona sisikii tena 1+9 = 10?
 
Hivi ya makundi wametumia computa kuyapanga? Maana naona kama kuna balance sana.
 
Hapo Yanga na MAZEMBE ndio wanapita.
Al hilal tunampiga nje ndani akifanya utani.
Tutampiga hata kws mlungula πŸ˜€πŸ˜†πŸ˜† japo tutegemee mechi ngumu sanaa kama za ligi mana washatujua kwamba tunahitaji kukaziwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…