CAFCL & CAFCC Group Stage Draw 2024
Nikumbushe niliposema Yanga itaburuza mkia msimu uliopita.

Na hapo nimesema kutoa sare ugenini sijasema mechi zote 6. Mlidai mnawataka Mamelodi, mmepangwa na TP Mazembe mnashangilia. Uto bana. Hapo hamna tena mbeleko ya kucheza mechi za nyumbani na ugenini Chamazi, Al Hilal wenyewe wanawapeleka LIbya. Mshukuru watacheza bila mashabiki wao, kidogo hapo ndiyo nafuu yenu ilipo ila kwenye pitch hamtakuwa na kazi rahisi hata na hao.
Wewe msimu uliopita si ulisema kwenye kundi atapita Ahly ahly na cr belouzdad? Au unadhani tumesahau!
 
Wewe msimu uliopita si ulisema kwenye kundi atapita Ahly ahly na cr belouzdad? Au unadhani tumesahau!
Hapo juu umesema nilisema Yanga itashika mkia, nionyeshe wapi nilisema hivyo.

Msimu uliopita nilisema mengi ikiwemo Yanga kufanya vizuri zaidi ya Simba, nikasema pia Yanga ikimtoa CRB itaipaisha Simba katika rank za CAF, hayo yote yalitimia.
 
Vipi nyie mnaojitaga Majayantiiiii mshatoboa, maana Magori kuna kipindi anahojiwa na Azam kipindi cha michezo cha Asubuhi, alisema malengo yenu ya msimu huu ni kuingia fainali shirikisho. So kabla hujawapa angalizo Yanga,ungeanza na kiongozi wa club yaok,maana yy mwenyewe kajipa asilimia zote.
Simba bado inajenga timu
 
Nikumbushe niliposema Yanga itaburuza mkia msimu uliopita.

Na hapo nimesema kutoa sare ugenini sijasema mechi zote 6. Mlidai mnawataka Mamelodi, mmepangwa na TP Mazembe mnashangilia. Uto bana. Hapo hamna tena mbeleko ya kucheza mechi za nyumbani na ugenini Chamazi, Al Hilal wenyewe wanawapeleka LIbya. Mshukuru watacheza bila mashabiki wao, kidogo hapo ndiyo nafuu yenu ilipo ila kwenye pitch hamtakuwa na kazi rahisi hata na hao.

Mnazisumbuaga timu maskini zisizo na experience.
Usije hapa kulia tukishampiga huyo Al Hilal wako

Yanga ni team kubwa

Kumbuka na Simba kapigwa 5

Na tarehe 19 mnaingia geto la pdidy
 
kuweni na staha za maneno na mtunze maneno baadae msianze mambo ya ajabu!
 
Usije hapa kulia tukishampiga huyo Al Hilal wako

Yanga ni team kubwa

Kumbuka na Simba kapigwa 5

Na tarehe 19 mnaingia geto la pdidy
Usije hapa kulia tukishampiga huyo Al Hilal wako

Yanga ni team kubwa

Kumbuka na Simba kapigwa 5

Na tarehe 19 mnaingia geto la pdidy
Wazee wa kujumlisha na kutoa, safari hii mnatupiga ngapi? Mbona sisikii tena 1+9 = 10?
 
Hivi ya makundi wametumia computa kuyapanga? Maana naona kama kuna balance sana.
 
Yanga wanafikiri Mazembe ni Pamba
1728304038033.png


TP Mazembe walipigwa nje ndani..!! Sema jingine..!!
 
Hapo Yanga na MAZEMBE ndio wanapita.
Al hilal tunampiga nje ndani akifanya utani.
Tutampiga hata kws mlungula 😀😆😆 japo tutegemee mechi ngumu sanaa kama za ligi mana washatujua kwamba tunahitaji kukaziwa
 
Back
Top Bottom