Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
SIO RAHISIKila laheri mwakilishi wa nchi huko Cacl.....
Kibarua sio chepesi hiki...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SIO RAHISIKila laheri mwakilishi wa nchi huko Cacl.....
Kibarua sio chepesi hiki...
YANGA VS AL HILALKisasi kati ya timu ipi na ipi?
Was just a predictionHii mbona ipo tofauti na list ya mleta uzi?
Itakuwa GSM ametoa pesa kwa kina Keita haiwezekani kabsaKuna mchezo naanza kuuhisi,
kwanini Simba ipangiwe matimu magumu alafu hawa Vyura wapewe Timu rahisi huyu Hersi kajipenyeza huko Caf kwa makusudi kabisa.
Unaota wewe!Tulia utaukubali mzikiSidhani kama Simba watakuwa na confidence, hawawajui wapinzani wao
Hilo kundi sio rahisi mkuu...Kuna mchezo naanza kuuhisi,
kwanini Simba ipangiwe matimu magumu alafu hawa Vyura wapewe Timu rahisi huyu Hersi kajipenyeza huko Caf kwa makusudi kabisa.
Al hilal awezi kutoboa kwa yanga hii ya sasa, tuliwaona wanacheza mechi za kirafiki hapa na tumewaona pia wakicheza uko Mauritania ni wa kawaida sana kwa sasaHilo kundi sio rahisi mkuu...
Hapo nina shaka na al hilaly tu.
Na nyie mna waarabu wangapi?!Simba na waarabu wawili kazi anayo
Fc bravos ni kitonga
Labda apite kwanza kwa Didy CombsNaona damu tu dadeki...
Hapa Yanga hachomoki jamani.
Dua la kuku hiloNaona damu tu dadeki...
Hapa Yanga hachomoki jamani.
Na tp mazembe piaYANGA VS AL HILAL VS MC ALGER
Na nyie waarabu wangapi?!mkachukue tu yale mafuta ya PDidy mapema.Kazeni budi, draw hiyo sio ya Dodoma jiji, kuna waarabu 2.
😂Itakuwa GSM ametoa pesa kwa kina Keita haiwezekani kabsa
Hapo kachungulia kaona kuna Al Ahly, Esperance na Mazembe, kwa nini usiombee Mamelodi?
Ngoja mpangiwe Mamelodi, MC Alger na Al Hilal. Nitacheka saaana.
Haiwezekani!!!
Sio ile ya mwaka uleTP Mazembe 😃
Jamani nimefurahi tu kwani kuna shindo!??Sio ile ya mwaka ule