CAG afichua Serikali ya Magufuli ilivyoisababishia taifa hasara ya Sh 1.7 trilioni mradi wa SGR

Kwa nn report ya CAG haikuongelea hayo mambo Mwaka 2021 ,2022 ,?Mwaka wa pili mama anasherekea Urais ndio mnatuletea mambo ya Magufuli?Ambaye hayupo zaid ya miaka miwili?Acheni ujinga na upumbufu.Watanzania tuna akili na tunaelewa.
Mbona kama lot 3 na 4 aliyesaini ni Samia.
 
Huyo aliyekutuma na wewe wote hamna Akili Kwa Sababu kwanini upotoshe?lot 3 na 4 aliyesaini ni Samia.
 
Yaani nukta hii nilikuwa najiuliza sana. Kila kukicha nasikia kauli ya 'TUNAJENGA KWA PESA ZETU SISI NI MATAJIRI' nashangaza hapa hii Bank ya standard chartered na mkopo inakujaje hapa ?
 
Hasara ya Trillion 1.7 ! Astaghfirullah
 

Aliyesaini lot 3 na 4 ni Magufuli?View attachment 2582646
Awamu ya kwanza: Dar es salaam – Morogoro (Km 300). Ujenzi wa reli ya kisasa kwa awamu ya kwanza ulizinduliwa na Rais wa awamu ya tano. Dr John Pombe Magufuli siku ya tarehe 12, april 2017. Na kwa sasa ujenzi bado unaendelea chini ya mkandarasi YAPI MERKEZI kutoka Uturuki akishirikiana MOTA ENGIL AFRICA kutoka Ureno.

Awamu ya pili: Morogoro - Makutupora ( Km 442). Ujenzi wa mradi ulizinduliwa na Rais wa awamu ya tano. Dr John Pombe Magufuli siku ya tarehe 14, machi 2018. Na kwa sasa hatua za awali za ujenzi zimeanza chini ya mkandarasi YAPI MERKAZI.

Awamu ya 3, 4, na 5: Awamu hizi, ziko katika hatua mbalimbali za manunuzi.
Mkataba mkuu ulishasainiwa wote na JPM,hizo wanazosaini sasa ni kwa lot husika ili pesa iliyoishakubaliwa ianze kutoka hazina,kulingana na kazi inavyoendelea(raised certificates)
 
Waliosani mkataba lot ya 3 na 4 ni hawa hapa bado wapo hai wawajibishweView attachment 2582660
 
Kwaio awamu hii kila certificate ikiwa raised mnaenda Ikulu kusainiana?kuna wakati muwe mnaficha ujinga wenu...you are as dumb as f**k aisee...km hujui kitu ni bora kukaa kimya kuliko kujidhalilisha...
 
Umeshajibiwa na wenye akili
 
Kwaio awamu hii kila certificate ikiwa raised mnaenda Ikulu kusainiana?kuna wakati muwe mnaficha ujinga wenu...you are as dumb as f**k aisee...km hujui kitu ni bora kukaa kimya kuliko kujidhalilisha...
Daaaa!! pathetic!!kumbe huna ufahamu wowote wa jinsi wakandarasi wanavyolipwa?!!
Baada ya hoja yako ya kuwa awamu ya tano hawahusiki na lot hiyo kuipiga chini,ndio umedandia tena treni kwa mbele?!kwanza ungekuwa unajua anayepitisha hizo certificates usingeuliza ushuzi huuu!!!shame on u,kama una mpenda sana mlishaambiwa mmfuate wapi(MUNGU FUNDI)
 
Shame on you kama hawasaini mkataba huwa wanaoenda kufanya nini ikulu? Na nakumbuka Samia suluhu mwenyewe alisema walitangaza tenda.shem on you Kwa kuongea uongo hadharani.
 
huyo unayemuona ana akili kwako sio lazima na mimi nimuone hivyo(kulingana na uelewa wako anaweza kuwa genius kwako,lakini kwangu akawa pimbi tu)
Huoni lot 1,2 na 5 zilizosainiwa na serikali ya Magufuli ilivyokuwa clean?
 
Aliyesaini lot 3 na 4 ni mama yenu acheni upotoshaji.huyo aliyewatuma wote hamna Akili Kwa huu upotoshaji.
Hapa sio fb ambako watu hawana data!mchakato wa manunuzi wa vifaa vya lot 3,4,5 ulishaanza toka awamu ya tano.Hapa nani hana akili sasa??
 
una utoto mwing sana hata reply zako zinaonesha kbs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…