unahisi wanakupa bure?Yaani nukta hii nilikuwa najiuliza sana. Kila kukicha nasikia kauli ya 'TUNAJENGA KWA PESA ZETU SISI NI MATAJIRI' nashangaza hapa hii Bank ya standard chartered na mkopo inakujaje hapa ?
Waliokuwa wanamtegemea BINADAMU sasa wanaadhibiwa kwa makosa waliyoyatenda kwa kufanya maamuzi kwa kumtegemea BINADAMU badala ya kufuata taratibu zikizowekwa.Mzalendo na Rais wa wanyonge, kwa mlango wa nyuma alikuwa anatunyonga huku tukishangilia. Serikali iitishe wito wa kimataifa haya matrilinloni yarejeshwe kama vile ilivyofanywa kwa Sani AbachaView attachment 2582428
Kweli wewe ni Ndezi kweli!!!eti walitangaza tenda!!wakati mzabuni ni kampuni ya kituruki yap markez na kampuni moja ya kireno??!ila hiyo ya kireno badaye ilijitoa amebaki mmoja tu!!Shame on you kama hawasaini mkataba huwa wanaoenda kufanya nini ikulu? Na nakumbuka Samia suluhu mwenyewe alisema walitangaza tenda.shem on you Kwa kuongea uongo hadharani.
oneshen mali zake zinazofikia hata nusu ya 1.5TMagufuli alikua mwizi aisee dah!
ila hamuonesh mali zake , nyiny mmetumwa , watu km nyiny hukum yen ni kutenganisha vchwa tu maana mnaukumbatia wiz kwa kupewa buku 3 ya bandoJPM alikuwa mwizi sana, nadhani Afrika mashariki na kati ndiye Rais aliyeongoza kwa wizi
Shem on you kuna slot wamepewa hata wachina baada ya Magufuli kuondoka Acha kupotosha.Kweli wewe ni Ndezi kweli!!!eti walitangaza tenda!!wakati mzabuni wa reli nzima ni kampuni ya kituruki yap markez na kampuni moja ya kireno??!ila hiyo ya kireno badaye ilijitoa amebaki mmoja tu!!
Aliyeshinda hiyo tenda ya mama ni nani? pathetic!!!kwahiyo jpm alipokuwa anawaambia kuwa gharama yote ya kujenga SGR,)from Dar-mwanza)ni trilioni kadhaa alikuwa amezitoa wapi?!!
Hapa walikuwa wanasaini nini?Kweli wewe ni Ndezi kweli!!!eti walitangaza tenda!!wakati mzabuni wa reli nzima ni kampuni ya kituruki yap markez na kampuni moja ya kireno??!ila hiyo ya kireno badaye ilijitoa amebaki mmoja tu!!
Aliyeshinda hiyo tenda ya mama ni nani? pathetic!!!kwahiyo jpm alipokuwa anawaambia kuwa gharama yote ya kujenga SGR,)from Dar-mwanza)ni trilioni kadhaa alikuwa amezitoa wapi?!!
Sio kweli waturuki wamepewa Reli nzima Acha kupotosha.Kweli wewe ni Ndezi kweli!!!eti walitangaza tenda!!wakati mzabuni wa reli nzima ni kampuni ya kituruki yap markez na kampuni moja ya kireno??!ila hiyo ya kireno badaye ilijitoa amebaki mmoja tu!!
Aliyeshinda hiyo tenda ya mama ni nani? pathetic!!!kwahiyo jpm alipokuwa anawaambia kuwa gharama yote ya kujenga SGR,)from Dar-mwanza)ni trilioni kadhaa alikuwa amezitoa wapi?!!
umeandika ushuz sijui nan anawatuma kumchafua mtu asiyehusika , Gobole kaandika mchakato ulianza dec 2021 pind Jpm hayupo dunian , ww unasema ulianza enz za Jpm ila hutupi terehe au mwez au mwaka huu sio utapeli , watu kama nyiny soon mtalambishwa udongo na wananchiMchakato ulianza toka enzi ya awamu ya mwendazake ambapo bodi kadhaa za wakurugenzi wa TRC walisimamia
Bodi ya Wakurugenzi TRC tarehe 17 February 2023 chini ya mwenyekiti Prof. John Wajanga
Kondoro waliotambulishwa ni Bw. Benjamini Adam Mbimbi, Bw. Kondo Abdalah Kibugula, Bw. Joseph Elias Salema, Bw. Juma Samhando Kijavara na Bw. Peter Mayunga Noni.
Wajumbe waliomaliza muda wao ni Bw. Wolfgang Ephraim Salia, Bi. Consolata Chrisostom Ngimbwa, Bw. Karim Godfrey Mattaka, Bw. Rogatus Hussein Mativila na Bw. Mahamud Mashaka Mabuyu.
Wajumbe wanaoendelea na nafasi zao ni pamoja na Bw. Jabir Bakari na Bi Lilian Ngilangwa. Baadhi ya wajumbe waliomaliza muda wao walipata fursa ya kutoa neno kwa menejimenti ya Shirika na kupongeza jitihada kubwa zilizofanywa kuhakikisha watumishi wanafanya kazi kwa weledi na kuleta tija katika utendaji wa Shirika.
Sources : TRC RELI TV / Mwanzo | TRC
waliobakia washikwenani kati ya hawa waliopo leo ni mgeni? hawa hawa walikuweko katika awamu iliyopita tena walikuwa kwenye nafasi za juu, sasa magufuli hayupo akamatwe nani?
HakikaAwamu ya sita watajifichia kwenye mgongo wa awamu ya Tano mpaka wanamaliza muda wao.
Ila awamu itayofuata itawavua nguo.
Mleta habari amesahau sentesi moja tu kuwa Magufuli na Samia walisababishia hasara Taifa maana wakati Magu akiwa Rais Samia alikua makamu wake hivyo wametusababishia Hasara wote wawili.
Kwakua Samia yupo Sasa ni muda wa kutujibu fedha zimepoteaje maana mwenzake hayupo
taja mnufaika wa awamu ya 5 , sasa hv sheli zinasimama , ghorofa zinavunjwa ili wajenge mpya ukanjanja umerud kwa kas sanaAcha upumbavu wewe,kwani hapo kioichoandikwa ni kweli au sio kweli?
Pili Samia sio kama yule aliyekuwa analinda Ufisadi ukifichua unafukuzwa au kupotezwa.
CAG sema ukweli wote,Nchi ilifiliaika sana awamu ya 5 na wanufaika mpo ndio maana mnatokwa na mapovu sana.
maisha ya marehem ni uthibitisho tosha kuwa hakuna ela aliiba , ila hawa ambao wana mabus na masheli kila uchochoro nyiny vilaza ndo mnawasifia eti waadirifuJibu ni kwann wewe unatumia nguvu kuitetea awamu iliyopita?
Km reli yoye ni mturuki, kipande cha 5 cha Mwanza-Isaka mchina anatafta nn?Kweli wewe ni Ndezi kweli!!!eti walitangaza tenda!!wakati mzabuni wa reli nzima ni kampuni ya kituruki yap markez na kampuni moja ya kireno??!ila hiyo ya kireno badaye ilijitoa amebaki mmoja tu!!
Aliyeshinda hiyo tenda ya mama ni nani? pathetic!!!kwahiyo jpm alipokuwa anawaambia kuwa gharama yote ya kujenga SGR,)from Dar-mwanza)ni trilioni kadhaa alikuwa amezitoa wapi?!!
PhotoshopHapa walikuwa wanafanya nini?View attachment 2582670
Uwe unaelewa mambo!!hizo kampuni mbili za kichina zinazojenga hiyo lot ya mwanza to isaka,zilipewa kazi hiyo baada ya wabunge kusema kama mshirika wa yap markez(mreno) amejitoa inakuwaje,atamaliza lini ndipo hao wachina wakapewa kazi.ila toka awamu ya tano hesabu yote ya ujezi wa lots kama 5 ulishatolewa ni kama trilioni 14.75(kama cjakosea)Km reli yoye ni mturuki, kipande cha 5 cha Mwanza-Isaka mchina anatafta nn? We jamaa mweupe sana, hujijui tu kua ww ni mweupe
Km wabunge walisema hayo uyasemayo kwann kipande cha 3 na cha 4 awamu ya 6 iliwarudishia waturuki?Uwe unaelewa mambo!!hizo kampuni mbili za kichina zinazojenga hiyo lot ya mwanza to isaka,zilipewa kazi hiyo baada ya wabunge kusema kama mshirika wa yap markez(mreno) amejitoa inakuwaje,atamaliza lini ndipo hao wachina wakapewa kazi.ila toka awamu ya tano hesabu yote ya ujezi wa lots kama 5 ulishatolewa ni kama trilioni 14.75(kama cjakosea)
Kwani waliwahi kunyang'amywa? Sana sana hizo lots za kuanzia tabora-isaka, fela-isaka, ndizo walisema wapewe wachina, kwani kazi itachelewa sana wakimtegemea huyu mmoja!! Na ki uhalisia wachina ndio walitakiwa kujenga reli yote, ndio hayo madudu yalifanyika(kulingana na ripoti ya CAG wakatoswa)mbunge mpina ndio alilishikia saba bango hilo suala hadi akataka iundwe kamati maalumu ya kufuatilia,kwani kuna sehemu km ndogo ,gharama kubwa,sehemu nyingine km kubwa gharama kidogo,akawa ana hisi kuna upigajiKm wabunge walisema hayo uyasemayo kwann kipande cha 3 na cha 4 awamu ya 6 iliwarudishia waturuki?
Na una ushahidi kua wachina walipewa kipande cha 5 baada ya wabunge kulalamika au unakisia kisia tu?
Mzalendo na Rais wa wanyonge, kwa mlango wa nyuma alikuwa anatunyonga huku tukishangilia. Serikali iitishe wito wa kimataifa haya matrilinloni yarejeshwe kama vile ilivyofanywa kwa Sani AbachaView attachment 2582428